Uelewa wa Ulimwengu unatisha Maajabu ya Jua (Sun) nilichoona 5-march-2018 huenda kuna mabadiliko makubwa kila uchao.

Uelewa wa Ulimwengu unatisha Maajabu ya Jua (Sun) nilichoona 5-march-2018 huenda kuna mabadiliko makubwa kila uchao.

hii hali ilitokea uko kwenu tu,aalaah sometimes usiliazi unatakiwa

hongera nikupongeze kwa kuwa na jua lenu,kumbe majua yapo mengi ee
Mkuu katika solar system yetu tuna (nyota) Jua moja lakini katika milk away Galaxy tuna (nyota) majua mengi sana na kuna ma galaxies mengi yaliyo beba ma trillion ya (nyota) Jua
 
Wasione wanao tazama hizo anga za juu na kila aina za mifumo ya teknologia za kutizama hizo anga uone wewe na kikamera chako hiyo itakuwa ni njaa na kiu kali imekuchezea.
 
Wasione wanao tazama hizo anga za juu na kila aina za mifumo ya teknologia za kutizama hizo anga uone wewe na kikamera chako hiyo itakuwa ni njaa na kiu kali imekuchezea.
Mkuu tatizo letu ni ufinyu wa fikira yafa tutiane moyo na sikukatishana tamaa ila nilichokiona nimekiandika kama kiu ama njaa sawa ndivyo uonavyo siwezi badiri mtizamo wako wa fikira
 
Wazungu wanasema, "interaction with unidentified flying object/extraterrestrials."

Camera kufail "is probably due to electromagnetic interference caused by the phenomenon itself"

-Discovery science
 
Natamani ni join na wewe kwenye utafiti wa jua, kwakweli hii tufe lina mambo mengi bado hayaja weka kwenye vitabu,

Na utafiti wa tufe hili lina hitaji vifaa vizito sana vitakavyo weza kubili hali ya tufe sio camera zetu hizi,
 
Wazungu wanasema, "interaction with unidentified flying object/extraterrestrials."

Camera kufail "is probably due to electromagnetic interference caused by the phenomenon itself"

-Discovery science
Asante kwa ufafanuzi.
 
Natamani ni join na wewe kwenye utafiti wa jua, kwakweli hii tufe lina mambo mengi bado hayaja weka kwenye vitabu,

Na utafiti wa tufe hili lina hitaji vifaa vizito sana vitakavyo weza kubili hali ya tufe sio camera zetu hizi,
Binafs nataman kujua haya mambo akikukubalia msinisahau japo nijifunze kiasi
 
  • Thanks
Reactions: sab
Jua linazunguka dunia na halipo umbali huo ambao NASA wanatuaminisha......
 
Back
Top Bottom