cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hebu ainisha hapa hayo madhara. Na sie tuone.Ushoga ni laana mbaya sana, Madhara yake ni makubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu ainisha hapa hayo madhara. Na sie tuone.Ushoga ni laana mbaya sana, Madhara yake ni makubwa sana.
Je, Wewe ni shoga ?Hebu ainisha hapa hayo madhara. Na sie tuone.
Ahsante sanaNi waafrika wachache wenye maono kama Yako mungu akubaliki Sana. Long live Tanzania! Long live Africa!
Fanya ulichoambiwa kabla hujauliza. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Je, Wewe ni shoga ?
Uko sahihi. Na nimesema kuwa ushoga siyo jambo jipya. Mapya nimeyaelezea, na ndiyo tatizoBora usemee wee hapa.
Ahsante sana. Kwa kazi iliyokwishafanywa na mtafiti Catherine Kaabi ilihusisha wizara ya Mambo ya Ndani na kulikuwa na ufuatiliaji wa kina na taarifa nyingine zinapatikana YouTube. Andika Mwakyembe na mashoga. Nitajaribu kuweka link mojawapo humu.Kusema kweli katika kuishi kwangu huwa nahisi ushoga unatokana na kupagawa na roho chafu,,na zaidi sio jambo lililo katika mipangilio yoyote ya binadamu,,,ni kama kuwa na kichaa either cha kuzaliwa nacho ama cha kurogwa,,,yaani niliuwaza ushoga ktk superstition tu.
Ila katika huu uzi nimepata kitu kingine kwamba ushoga kutumika kwa faida za kimkakati wa kitaifa kwa mataifa makubwa ya kidunia.
Jambo lingine nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini taifa la marekani kuwa na wazo la kupunguza watu??kwani wingi wa watu unawaathiri nini?? ni nini kimejificha ndani ya ajenda zao kuhusu kila taifa,,,mbona wanaharibu hadi taifa lao wenyewe??
Basi nikajiridhisha kwamba either na wao kuna anaewamiliki na kuwaongoza au wana mkono ktk kila mali za mataifa mengine hivyo wanaogopa wasiwe wengi ili wapate umiliki wa mali za wengine...Nikiangalia kuanzia chanjo za watoto mahospitalini napata wasiwasi sana,,maana hizo chanjo wanajua siri yake na hatujawa tayari kukabiliana nao.
Suala la ushoga lipo ila nikajiuliza pia usalama wa taifa hawana wajibu wa kulinda raia au hakuna kitengo ndani ya wizara ya mambo ya ndani kulinda nchi zidi ya madhara ya watalii wanayoweza kuyaleta kwa wananchi, au kitengo hicho kifuatilie wageni wanafanya nini humu nchini hata kama ni ndani ya vyumba vyao (hasa wale walioamua kuishi hapa Tz) Ninahisi kama ushoga umekuwa silaha ya vita ya kiuchumi na sisi tumelala hivi,,basi tumeshafeli maana kama tz kunaweza kuwa na mashoga laki moja basi hio ni colateral damage.
Tutaanza kuwa wateja wa vilainishi na dawa za fangas sugu za mashoga na pampasi zao.Sijui mashoga wanatumia pampasi ngapi kwa siku.
Na wakiwa labda elfu 50 tayari kiwanda cha pampasi kinakuwa kinasuply kontena hata 30 kwa tz,,na usikute yule kimara haris (mliberali) aliingia hata ubia wa kutengeneza kiwanda hapa hapa cha pampasi na vilainishi,,maana tunawapenda sana wawekezaji kutokana na kuwa na viongozi dhoofu na ruber stamp ya waliberali.
Nakushukuru mtoa mada kwa kuniongezea elimu.
Uko sahihi. Lakini pamoja na kusali tufanye kile tunachoweza kufanya katika ubinadamu wetu kuepusha dhahama. Katika ķisa cha Sodoma na Gomola, angepatikana mtu mmoja safi, angeepusha adhabu jamii nzima. Kuhusu utabili wako wa masharti kwa nchi maskini, siyo miaka mitatu. Huko mbali! Fuatilia kinachoendelea kwa Museveni wiki hii.You have think in a big picture ,Hii vita ni ngumu sana tuendako bila Mungu hatutoboi miaka mitatu ijayo unaeza ambiwa usiporuhusu usenge nchini mwako basi utawekewa economic sanctions .Kwa nchi zetu za kiafrika ni ngumu sana kutoboa
Uko sahihi kuhusu haja ya kupambana zaidi kimaadili na kiimani, na hizi ndiyo mbinu kuu. Lakini ufanisi ni mdogo, na wimbi lenye kuhimiza kutoka Magharibi ni kubwa sana. Nguvu ya ziada inatakiwa. Mimi hapa nilikuwa nazungumzia wimbi lilivyo; ili jamii na serikali ione haja na namna ya kukabiliana nalo. Sula la namna gani tukabiliane na wimbi hili ni mada ya mjadala mwingine.Duh hizi estimations mbona ni exagerated sana. Mkuu hao mabeberu mbona Wana mbegu za kupandikiza siku hizi, yaani baba mmoja anaweza uza mbegu kwa wanawake hata 100 so uzazi sio issue sana kwamba ni lazima dume ampandie jike.
Sisi tujikite tu kwamba ushoga sio sawa KIIMANI na KIMAADILI ila kutafuta back up sijui ni genocide sijui kupoteza watoto nadhani ni kupanua mjadala kiasi kwamba mtawapa justifications wanaotetea ndoa hizi.
Kumbuka mapendekezo ya sheria mfano ya Uganda inasema shoga akikamatwa auwawe au kwa Tanzania afungwe miaka 30. Ina maana hata akifungwa si hatoweza kuzaa? Sio sababu ni shoga pekee ila sababu amefungwa au amenyongwa na serikali?
Nadhani unaona jinsi mnavyopanua mjadala hapo.
Uzi mrefu lakini ulicho kiandika ni uzushi, dhahania, uongo na propaganda tupuuu.
Kafanye utafiti afu urudi upyaa hapa tena.
Uzi mrefu lakini ulicho kiandika ni uzushi, dhahania, uongo na propaganda tupuuu.
Kafanye utafiti afu urudi upyaa hapa tena.
Una hoja nzuri mkuu ambayo unaweza ifanyia tafiti ukapata mabilioni na ukajengea hoja kwenye jumuiya za dini na serikali kupinga ushoga.
However takwimu zako na nadharia ziwe na uhalisia. Mfano unaposema Shoga ana madhara kuliko usagaji ilihali wanafanya Yale Yale inakua understatement sana.
Kama msagaji anaishi na msagaji mwenzake huyo mwanaume atamzalisha nani?
Ni hivi unapopinga ushoga lazima upinge na usagaji pamoja na anal sex. Maana yote yakiwa addictive issue hiyo hiyo ya genocide inatokea yaani kama wanaume hawatakua mashoga ila wanawake ni wasagaji au wanawake wanafanya anal sex then Bado watoto wengi watapotea pengine hata kuliko wanaume wakiwa mashoga ila wanawake sio wasagaji.
TLDR; Nguvu ya kupinga ushoga iende sambamba na kupinga usagaji na ngono kinyume na maumbile.
Wewe nakujua unasapoti huu ushetani mtoa mada kasema ukweli.Sio kweli
Umesema ukweli.hili jambo ni la kupingwa sana.Uzi kama huu utakosa wachangiaji, mkuu umeongea point sana.
Serikali, na jamii kwa ujumla watambue kuwa wimbi la ushoga ni vita kubwa. Mikakati iwekwe, sheria zitungwe na zitekelezwe.
Nilipoona video ya askari wa zanzibar nikawaza sana. Imagine miaka ijayo mnaingia vitani alafu jeshi nusu ya jeshi ni wanaume mashoga. Kuna kushinda vita kweli hapo?
Mbali na vita, idadi ya watu inapungua nchini. Watu ni muhimu sana katika taifa lolote. Bila watu hakuna nchi hakuna taifa.
Watu wakichukulia poa itafika wakati Tanzania watabaki watu 12.
Ushoga, punyeto, usagaji, ni vitu vya kupingwa vikali sana. Zote ni silaha za kivita kupunguza watu nchini.
Wachezaji wa Video za ngono wanalipwa pesa ndefu sana, yet kuangalia hio video hulipii chochote ni wewe na MB zako download basi. Huwazi? Huwazi kwanini watu waingie gharama kutengeneza hizo video alafu wewe uangalie bure tu?
Ukiomba kazi mashirika ya kimataifa alafu ukajielezea kwamba wewe ni shoga unapewa kipaumbele kikubwa hata kama una uwezo mdogo wa kiutendaji. Anaweza kuachwa mtu anayestahili ukachukuliwa wewe kwasababu ni shoga.
Kwanini wanafanya hivyo?
Kuna mashoga wanadai wao waliumbwa hivyo. Hivi kweli Mungu anaekataza ushoga alafu huyo hiyo Mungu aumbe mtu shoga? Atakuwa ni Mungu wa namna gani?
Watu wanahisi wameumbwa hivyo kumbe ni chanjo walizochomwa tangu wadogo, kumbe ni pampas walizovaa wakiwa wadogo, kumbe vyakula imported walivyokula wakiwa wadogo, cartoons, movies yaani majamaa wanatumia pesa nyingi na njia nyingi sana kusukuma ajenda yao.
HII NI VITA TENA SIO YA KITOTO. TANZANIA TUAMKE
UshirikinaHao mabahasha na mashoga wanalipwa wapi?haya mambo yapo kitambo tokea nipo primary Kuna watu walikuwa wanatatuliwa marinda,Kuna jamaa mmja alikuwa anamtatua mbaba mtu mzima mwenzake,paka Sasa hao wazee wapo na mmja alikuwa mwenyekiti wa chama Cha siasa
Mla vya watu na vyake huliwa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una kitoto chako unajua kitaendeleza Mbegu yangu duniani....siku moja unagundua sivyo unavyofikir kitoto kinaliwa nyuma na imechelewa Ile ya mnara kufa kabisa inaumaje?... Wewe unakula watoto wa wenzako ushawahi kuwaza ungejisikiaje wa kwako akiliwa hiyo kitu? .......Kuna vitu vinauma sana humu duniani basi tu
How much kupandkz, how many can affordDuh hizi estimations mbona ni exagerated sana. Mkuu hao mabeberu mbona Wana mbegu za kupandikiza siku hizi, yaani baba mmoja anaweza uza mbegu kwa wanawake hata 100 so uzazi sio issue sana kwamba ni lazima dume ampandie jike.
Sisi tujikite tu kwamba ushoga sio sawa KIIMANI na KIMAADILI ila kutafuta back up sijui ni genocide sijui kupoteza watoto nadhani ni kupanua mjadala kiasi kwamba mtawapa justifications wanaotetea ndoa hizi.
Kumbuka mapendekezo ya sheria mfano ya Uganda inasema shoga akikamatwa auwawe au kwa Tanzania afungwe miaka 30. Ina maana hata akifungwa si hatoweza kuzaa? Sio sababu ni shoga pekee ila sababu amefungwa au amenyongwa na serikali?
Nadhani unaona jinsi mnavyopanua mjadala hapo.
Nikweli lakin wazungu hayo madhara hawayaon?Ushoga ni laana mbaya sana, Madhara yake ni makubwa sana.