Uenyekiti CHADEMA ni sawa na tunda la mti wa katikati pale Eden, ukiligusa tu unatupwa nje ya Bustani kama Zitto, Sumaye na Mwambe

Uenyekiti CHADEMA ni sawa na tunda la mti wa katikati pale Eden, ukiligusa tu unatupwa nje ya Bustani kama Zitto, Sumaye na Mwambe

Kwani Si Tuna Utaratibu Lazima MTU amalize Miaka 10?
Na hii so Ndio Demokrasia yetu tuliojiwekea? Kama Kuna MTU ndani ya Chama anataka Uraisi Kwanini Asiende Upinzani?
Wewe Unaonaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 10 ya urais iko kwa mujibu wa katiba ya JMT inachofanya CCM ni uboreshaji wa matumizi sahihi ya hicho kifungu.
 
Ahsante sana kwa Kunielimisha Kada Mwenzangu,
Nilikuwa Sijui Miaka 10 ya Katiba ya JMT
Ndio maana huwa napenda uwape Elimu wale jamaa zetu wa Ufipa,yaani Wao hawana cha Kufuata Katiba ya JMT,
Mkuu mi sio Bwashee ni Ngosha Mkuu!
Natokea Kijiji cha Mwandu ikigijo wilaya ya Maswa, Shinyanga.
Kama jina Langu linavyojieleza!
Wape Somo LA Katiba Mkuu!
Cc
Pascal Mayalla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisema hili mapema sana! Jf wakawa wanafuta michango yangu kuiondoa hum jf ili wana jf wasiisome, walizani wa wasiisome, nilijua una mtu wanamfurahisha ila hawakuzingatia nilichokisema!

labda nikumbushie kwa ufupi.
Nilisema , siasa nibiashara nzuri sana ukiipatia na nikatolea mfano kwa chadema kuwa nikibubu cha mbowee kupiga pesa, ndo maana anaona akiondoka pale masrahi yake na watu wake yataharibika na si masrahi ya chama.

nikatoa tahadhari ya chama kupukutika kwa kuwa viongozi waandamizi wa chama pamoja na wabunge walichoka kuchangishwa bila masrahi ya chama.
wanachama wamekuwa wakishuhudia matumizi ya fedha hovyo kwa baadhi ya watu ndani ya chama.
lakini pia wanachama na wabunge wameshuhudia teuzi za viongozi kwa lengo la ukaribu na mwenyekiti na kamati yke

Sasa chama kinaisha kwahoja rahisi eti WASALITI!!! mara wananunuliwa wanashawishiwa bila kuchunguza tatizo.
Narudia kuwaambia tatizo ni mbowe na mapato ya chama wataisha wte na watakao baki niwale wanaotafuna pesa tu.

CHADEMA amka fukuza mbowe na genge lake muokoe chama.
Ule msemo wa mbowe tuvushe umebadirika umekuwa mbowe tumalize.
Wewe hujui Kama siasa ni biashara!!!?...Sasa mtu kaanzisha chama mwenyewe wewe unataka kumwingilia nadhani utakua una shida kwenye kichwa chako!!!...
 
Po
Kiukweli kitendawili cha nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ni kigumu sana kukitegua.

Kwanini Mwenyekiti yuko madarakani kwa zaidi ya miaka 20, ndilo swali kuu!

Je, ni demokrasia, ubabe au udikteta?

Kwanini kila aliyetamani kuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii hayuko katika chama hicho chenye makao yake mtaa wa Ufipa?

Alianza Wangwe, akaja Zitto na kisha wamefuatia Mzee Sumaye na kinara wa Siasa za kusini Cecil Mwambe.

Binafsi naifananisha nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na tunda la mti wa katikati ambalo Mungu alimwambia Adam wa kwanza asilile.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
[/QUOT Point of correction Mbowe hajakaa kwa miaka zaidi ya ishirini mbowe alichaguliwa kuwa Mwenyekiti Chadema 2004 kwa hiyo ana miaka 16 ya uenyekiti chadema.
 
Kiukweli kitendawili cha nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ni kigumu sana kukitegua.

Kwanini Mwenyekiti yuko madarakani kwa zaidi ya miaka 20, ndilo swali kuu!

Je, ni demokrasia, ubabe au udikteta?

Kwanini kila aliyetamani kuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii hayuko katika chama hicho chenye makao yake mtaa wa Ufipa?

Alianza Wangwe, akaja Zitto na kisha wamefuatia Mzee Sumaye na kinara wa Siasa za kusini Cecil Mwambe.

Binafsi naifananisha nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na tunda la mti wa katikati ambalo Mungu alimwambia Adam wa kwanza asilile.

Nawatakia Dominica yenye baraka!

Hivi ulikuw ahujazaliw au ulikuw ahujajitambua?
tafuta habari za JOHN SHIBUDA alipogombea uenyekiti CCM kilimpata nini?
na hata alipojaribu kugombea ubunge chadema uchaguzi mdogo alipewa kesi gani na anni alimuokoa.
 
Kiukweli kitendawili cha nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ni kigumu sana kukitegua.

Kwanini Mwenyekiti yuko madarakani kwa zaidi ya miaka 20, ndilo swali kuu!

Je, ni demokrasia, ubabe au udikteta?

Kwanini kila aliyetamani kuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii hayuko katika chama hicho chenye makao yake mtaa wa Ufipa?

Alianza Wangwe, akaja Zitto na kisha wamefuatia Mzee Sumaye na kinara wa Siasa za kusini Cecil Mwambe.

Binafsi naifananisha nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na tunda la mti wa katikati ambalo Mungu alimwambia Adam wa kwanza asilile.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Sawa, lakini huko Lumumba hakukaliki kisa na mkasa ni huyu membe na wale wazee wanatamani kiti cha mkuu pale october
 
Kiukweli kitendawili cha nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ni kigumu sana kukitegua.

Kwanini Mwenyekiti yuko madarakani kwa zaidi ya miaka 20, ndilo swali kuu!

Je, ni demokrasia, ubabe au udikteta?

Kwanini kila aliyetamani kuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii hayuko katika chama hicho chenye makao yake mtaa wa Ufipa?

Alianza Wangwe, akaja Zitto na kisha wamefuatia Mzee Sumaye na kinara wa Siasa za kusini Cecil Mwambe.

Binafsi naifananisha nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na tunda la mti wa katikati ambalo Mungu alimwambia Adam wa kwanza asilile.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Sawa, lakini huko Lumumba hakukaliki kisa na mkasa ni huyu membe na wale wazee wanatamani kiti cha mkuu pale october
 
Nilisema hili mapema sana! Jf wakawa wanafuta michango yangu kuiondoa hum jf ili wana jf wasiisome, walizani wa wasiisome, nilijua una mtu wanamfurahisha ila hawakuzingatia nilichokisema!

labda nikumbushie kwa ufupi.
Nilisema , siasa nibiashara nzuri sana ukiipatia na nikatolea mfano kwa chadema kuwa nikibubu cha mbowee kupiga pesa, ndo maana anaona akiondoka pale masrahi yake na watu wake yataharibika na si masrahi ya chama.

nikatoa tahadhari ya chama kupukutika kwa kuwa viongozi waandamizi wa chama pamoja na wabunge walichoka kuchangishwa bila masrahi ya chama.
wanachama wamekuwa wakishuhudia matumizi ya fedha hovyo kwa baadhi ya watu ndani ya chama.
lakini pia wanachama na wabunge wameshuhudia teuzi za viongozi kwa lengo la ukaribu na mwenyekiti na kamati yke

Sasa chama kinaisha kwahoja rahisi eti WASALITI!!! mara wananunuliwa wanashawishiwa bila kuchunguza tatizo.
Narudia kuwaambia tatizo ni mbowe na mapato ya chama wataisha wte na watakao baki niwale wanaotafuna pesa tu.

CHADEMA amka fukuza mbowe na genge lake muokoe chama.
Ule msemo wa mbowe tuvushe umebadirika umekuwa mbowe tumalize.
Kwani shida iko wapi dogo??

Mi nadhani watz ndo tuamke tumfukuze magufuli na ccm yake, wametafuna tril. 2.4 alafu wakamfukuza CAG

Hizo story za mbowe na chadema yake ni petty issues
 
Kiukweli kitendawili cha nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ni kigumu sana kukitegua.

Kwanini Mwenyekiti yuko madarakani kwa zaidi ya miaka 20, ndilo swali kuu!

Je, ni demokrasia, ubabe au udikteta?

Kwanini kila aliyetamani kuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii hayuko katika chama hicho chenye makao yake mtaa wa Ufipa?

Alianza Wangwe, akaja Zitto na kisha wamefuatia Mzee Sumaye na kinara wa Siasa za kusini Cecil Mwambe.

Binafsi naifananisha nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na tunda la mti wa katikati ambalo Mungu alimwambia Adam wa kwanza asilile.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Vipi CCM ynagombewa kirahisi? Sumaye na Mwambe wanaweza kuchukua fomu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
johnthebaptist.

Hapajatokea mgombea mwenye ushawishi kumshinda Mbowe hasa wakati hii tulionao chini ya utawala wa awamu ya tano, wote tunaona wanavyohangaika na Mbowe, kuanzia kuharibu mali zake (mashamba, billicanas) mpaka kumsweka ndani hovyo kwa kesi za kutengeneza.

Walifikia hatua ya kutaka kumuua kwa risasi Mungu akamponya, bahati mbaya akafariki mtoto wa watu Mungu amlaze pema. Kwenye mazingira kama haya Mbowe atashinda sana, mpaka achoke mwenyewe.

Huyo Zitto alinyimwa uwenyekiti wakati ule alikuwa anafanya vikao vya siri na Kikwete, watu wakajua, then mtu wa aina hiyo ndio apewe uenyekiti wa CHADEMA?

Mwambe, huyo bado mchanga, alijaribu akashindwa, na CHADEMA wangekuwa wajinga kama wangempa uenyekiti wa chama, kuthibitisha asivyo mvumilivu leo keshakimbilia CCM.

Wote uliowaorodhesha hapo walipigiwa kura wakashindwa, wajumbe wanajitambua, wanajua wapi wanataka kuelekea kama chama chini ya mwenyekiti Mbowe.

Sasa kama hiyo sio demokrasia sijui kwako ni nini?


Sent using Jamii Forums mobile app
Yan umenisemea apa. Nlitaka kucoment ila umemaliza yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuondolee unafk wako hpa
Wakina membe tu na wengineo walipotaka kuchuana na bw mkubwa nyie mmekuwa mkipigaa keleleee
Toa unafk wakoooooo hko

Ova
Nilisema hili mapema sana! Jf wakawa wanafuta michango yangu kuiondoa hum jf ili wana jf wasiisome, walizani wa wasiisome, nilijua una mtu wanamfurahisha ila hawakuzingatia nilichokisema!

labda nikumbushie kwa ufupi.
Nilisema , siasa nibiashara nzuri sana ukiipatia na nikatolea mfano kwa chadema kuwa nikibubu cha mbowee kupiga pesa, ndo maana anaona akiondoka pale masrahi yake na watu wake yataharibika na si masrahi ya chama.

nikatoa tahadhari ya chama kupukutika kwa kuwa viongozi waandamizi wa chama pamoja na wabunge walichoka kuchangishwa bila masrahi ya chama.
wanachama wamekuwa wakishuhudia matumizi ya fedha hovyo kwa baadhi ya watu ndani ya chama.
lakini pia wanachama na wabunge wameshuhudia teuzi za viongozi kwa lengo la ukaribu na mwenyekiti na kamati yke

Sasa chama kinaisha kwahoja rahisi eti WASALITI!!! mara wananunuliwa wanashawishiwa bila kuchunguza tatizo.
Narudia kuwaambia tatizo ni mbowe na mapato ya chama wataisha wte na watakao baki niwale wanaotafuna pesa tu.

CHADEMA amka fukuza mbowe na genge lake muokoe chama.
Ule msemo wa mbowe tuvushe umebadirika umekuwa mbowe tumalize.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli kitendawili cha nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ni kigumu sana kukitegua.

Kwanini Mwenyekiti yuko madarakani kwa zaidi ya miaka 20, ndilo swali kuu!

Je, ni demokrasia, ubabe au udikteta?

Kwanini kila aliyetamani kuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii hayuko katika chama hicho chenye makao yake mtaa wa Ufipa?

Alianza Wangwe, akaja Zitto na kisha wamefuatia Mzee Sumaye na kinara wa Siasa za kusini Cecil Mwambe.

Binafsi naifananisha nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na tunda la mti wa katikati ambalo Mungu alimwambia Adam wa kwanza asilile.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Naskia celina mwambe kachukua fumo kuchuana na meko kwenye uenyekiti lumumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe taahira la karne Shwain kabisa.mrema ni mwenyekiti kwa muda gan?
Kiukweli kitendawili cha nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ni kigumu sana kukitegua.

Kwanini Mwenyekiti yuko madarakani kwa zaidi ya miaka 20, ndilo swali kuu!

Je, ni demokrasia, ubabe au udikteta?

Kwanini kila aliyetamani kuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii hayuko katika chama hicho chenye makao yake mtaa wa Ufipa?

Alianza Wangwe, akaja Zitto na kisha wamefuatia Mzee Sumaye na kinara wa Siasa za kusini Cecil Mwambe.

Binafsi naifananisha nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na tunda la mti wa katikati ambalo Mungu alimwambia Adam wa kwanza asilile.

Nawatakia Dominica yenye baraka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ulikuw ahujazaliw au ulikuw ahujajitambua?
tafuta habari za JOHN SHIBUDA alipogombea uenyekiti CCM kilimpata nini?
na hata alipojaribu kugombea ubunge chadema uchaguzi mdogo alipewa kesi gani na anni alimuokoa.
John Shibuda alimkimbia RIP Idd Simba pale CCM na wala si figisu za kugombea uenyekiti.

Shibuda alikataliwa Jumuiya ya wazazi CCM!
 
Back
Top Bottom