Parvovirus
JF-Expert Member
- May 24, 2020
- 268
- 188
So swala la mimi kujua udzungwa national park iko mkoa wa iringa.Wewe unajua hifadhi ya udzungwa ipo mkoa gani ndugu???
Nawaza tuu.....Huu mgawanyo wa majimbo umeutoa wapi? Kagera itoe huko ulikoipeleka! Mwanza pia itoe huko, Mara pia itoe huko ulikoipeleka! Tuanzie hapo kwanza!
So swala la mimi kujua udzungwa national park iko mkoa wa iringa.
80% ipp wilaya ya iringa vijijin na 20% ni wilaya ya kilombero. So u cant loudly say udzungwa is in morogoro buddy
We ndo mpuuzi maana hata huelewi.. nakushauri utumie muda huu uelewe kwanza falsafa ya kupeleka madaraka endelevu kwa wananchi halafu ndo urudi. Ili usionekane kiazl, uchambue huo mfumo unaoupinga ukionesha mapungufu, fursa, changamoto na uthabiti.. else mie naona umeandika batcrap hapaNapingana na hii sera ya majimbo kwa nguvu zote, ni ya kipuuzi na inapaswa kupuuzwa
Wazo zuri pia !! Vyovyote vile mfumo wa majimbo ndo mfumo bora zaidi wa kuendeleza nchi yetu!Nawaza tuu.....
Kwa Tanzania majimbo au kanda zingetakiwa kama ifuatavyo kwa mtazamo wangu:
Jimbo la kanda ya ziwa
1. Kagera
2. Geita
3. Mwanza
4. Simiyu
5. Mara
Jimbo la Kaskazini
1. Manyara
2. Arusha
3. Kilimanjaro
4. Tanga
Jimbo la Mashariki
1. Dar es salaam
2. Mkoa wa Pwani
3. Morogoro
Jimbo la Kusini
1. Lindi
2. Mtwara
3. Ruvuma
4. Part of Mkoa wa Pwani
Jimbo la Nyanda za juu Kusini
1. Iringa
2. Njombe
3. Songwe
4. Mbeya
5. Part of Rukwa
Jimbo la Magharibi
1. Kigoma
2. Tabora
3. Shinyanga
4. Part of Rukwa
Jimbo la Kati
1. Singida
2. Dodoma
3. Part of Morogoro
4 Part of Manyara
Jimbo la Visiwani
1. Unguja
2. Pemba
Pamoja sana ndugu. Ni wajibu wetu kuwaelimisha watanzania wote waelewe na kujifunzaHongera sana kwa andjko zuri. Binafsi nimeelewa sana na nitasaidia kwa wengine
Ccm wamekaririshwa ndugu. Muonee tu huruma. Hawana uelewa wowote ule na mambo ya dunia na maendeleo, wamekalia propaganda uchwara tuWe ndo mpuuzi maana hata huelewi.. nakushauri utumie muda huu uelewe kwanza falsafa ya kupeleka madaraka endelevu kwa wananchi halafu ndo urudi. Ili usionekane kiazl, uchambue huo mfumo unaoupinga ukionesha mapungufu, fursa, changamoto na uthabiti.. else mie naona umeandika batcrap hapa
Isikilize hotuba yake ya Mei Mosi 1995 kule Mbeya na sehemu zingine aliwahi kukiri makosa.Alikiri wapi na lini? Tupe ushahidi
Chadema mnachekesha sana. Mnaongelea sera ya majimbo wakati chama chenu kinalaumiwa kuwa na uongozi wenye kubagua baadhi ya maeneo!!.Acha kupiga ramli. Wewe waongelee watu wako wa Ccm mliotawala hii nchi kwa miaka karibu 60 ila hadi sasa ujinga, maradhi na umasikini vimekuwa changamoto. Sie tuache tuwaongelee chadema ambao hawajawai kuiongoza hii nchi
baaada ya hapo kitakachofatia ni "wachaga wamekuja kuchukua ajira zetu waha kigoma"Napingana na hii sera ya majimbo kwa nguvu zote, ni ya kipuuzi na inapaswa kupuuzwa
Vizuri Sana aisee. Hebu basi nichekie na mimi uzi huu umefikia status gani maana waliandika kuwa wanaucheki kabla ya kuuachia kuja kwa ummaAsante mods kwa kufanya marekebisho
Hakuna kitu rahisi ni kujituma na kutumia vichwa ambavyo tunavyo. Mfumo tuliokua nao hautusaidii kwa kweli. Swala sio uhusiano wa jimbo na jimbo bali ni kwa kiasi gani serikali kuu itaziwezesha serikali za majimbo kupumua na kujiamulia mambo yao.Asili na misingi ya serikali hizo hapa kwetu ni ngumu kufanya kazi.
Napingana na hii sera ya majimbo kwa nguvu zote, ni ya kipuuzi na inapaswa kupuuzwa
Hivyo tuu? Yaani hiyo ndo hoja yako?Napingana na hii sera ya majimbo kwa nguvu zote, ni ya kipuuzi na inapaswa kupuuzwa
Napingana na hii sera ya majimbo kwa nguvu zote, ni ya kipuuzi na inapaswa kupuuzwa