Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache wapumzike,wanasinzia tuu!Rais AMEMTEUA Jaji mstaafu Awadh Mohammed bawazir kuwa mwenyekiti wa mamlaka ya rufani ya zabuni za umma (PPAA) AKICHUKUA nafasi ya Jaji MSTAAFU SAUDA MJASIRI Ambaye AMESTAAFU
Yaleyale ya makamu mwenyekiti Ccm! Anastaafu mzee wa miaka 76, anateuliwa kijana wa mmiaka 84 ili amrith mstaafu!Waache wapumzike,wanasinzia tuu!
Hao ndio uwaambie katiba Mpya!Yaleyale ya makamu mwenyekiti Ccm! Anastaafu mzee wa miaka 76, anateuliwa kijana wa mmiaka 84 ili amrith mstaafu!
Afrika tunasafari
Hawatakubali KamweHao ndio uwaambie katiba Mpya!
Mstaafu Aliyeteuliwa kastaafu kumpisha mstaafuDuh aiseee
Vinachanganya watusaidieWanakuja wachangiaji wasubiri
Mbona imeeleweka mkuuRais AMEMTEUA Jaji mstaafu Awadh Mohammed bawazir kuwa mwenyekiti wa mamlaka ya rufani ya zabuni za umma (PPAA) AKICHUKUA nafasi ya Jaji MSTAAFU SAUDA MJASIRI Ambaye AMESTAAFU
Watumishi wa uma na wafanyakazi wa mashirika ya uma wanatoka nchi tofauti?Mbona imeeleweka mkuu
Jaji kateuliwa ,jaji aliekuwa mwenyekiti amestaafu
Hao ni majaji wastaafu wote ila wastaafu wa utumishi wa uma wanatumikia kama wenyeviti kwenye mashirika kutokana na uzoefu wao
Mashirika na taasisi za serikali namaanishaWatumishi wa uma na wafanyakazi wa mashirika ya uma wanatoka nchi tofauti?