DOMINGO THOMAS
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 365
- 365
- Thread starter
-
- #201
1/580 × Miezi ya uchangiaji × APE × 0.33 × 12.5na jingine mbona hiyo formula haizingatii umri wa mtu kwenye ajira. maana inaangalia wastani wa mishahara ya miaka 10 tu ambayo maana yake mtu aliyefanya kazi kwa miaka 30 atakuwa hana tofauti ya maslahi yake ya mwisho na yule alifanya kazi kwa miaka 15 na pengine kama huyu wa miaka 15 alikuwa na mshahara mkubwa basi atamwacha mbali sana huyo wa miaka 30 au hilo likoje? nini kitakachowatofautisha hao watu wawili kwenye maslahi watakayopata?
Huwezi kuandika bila matusi..!? Niicho kijibu kipo sahihi na ndivyo ilivyo.Acha ujinga, na jifunze kuacha upumbavu as well, wewe hujui kitu hata kidogo, kwa taarifa yako kilichofilisi mifuko sio formula ya zamani hata kidogo, inaonyesha wewe hata husomi sbb kuu za upotevu wa fedha kwenye mifuko ya jamii, sbb wewe ni kichwa maji hujui kitu nikupe taarifa hii from CAG, unatia hasira sana wewe kichwa maji.
1: Sbb kuu ya upotevu mkubwa wa fedha za wastaafu katika mifuko ya jamii kutokana na taarifa ya CAG ni Serikali kukopa hela trillions na haijarejesha fedha hizo katika mifuko husika kwa miaka mingi, na sio formula, umeelewa wewe kichwa maji ambaye hujui kitu hata nukta, sbb sio formula
2: Mifuko ya Jamii iliwekeza katika miradi ya hasara mikubwa mfano maghorofa makubwa makubwa yakijengwa ambayo mengi hayajarudisha hiyo investment, na sio formula ya zamani umeelewa wewe kichwa maji? Unajua majengo makubwa sana hasa Dar na miji mingine, of which haina kabisa ROI in business sense..!! Poor investment and not the formula, umeelewa wewe kichwa maji
3: Mifuko ja Jamii iliwekeza katika bank ya Azania na kama hujui bank ya Azania inamilikiwa na 98% na mifuko ya Jamii, PSSSF, NSSF and NHIF, sasa bank hii juzi umesikia ina mikopo chechefu ya mabilioni yaani juzi wametoa katika magazeti, na mikopo chechefu in billions ni hela za wastaafu, meaning hela za wastaafu zimewekwa bank ambayo usimamizi wa mikopo ni mbovu sana na kupata mikopo chechefu yaani isiyolipika na wanashitakiana mahakamani, unajua kwanza maana ya mikopo chechefu? So fedha za wastaafu zinapotea sana hivyo thru Azania Bank na kamwe sio sbb ya formula ya zamani, umeelewa wewe kichwa maji, maana huelewi kitu hata nukta..
Mifuko ya Jamii duniani kote ni nadra sana kufilisika, mfano mifuko ya Bima yoyote ile kufilisika ni ngumu mnoo, ni uzembe mkubwa sana ikitokea imefilisika sbb yenyewe ni kupokea hela tu na matumizi ni madogo mnooooooooo na fedha unaweza lipa wastaafa hata kwa riba tu na principal unabakiwa nayo, like wise Mifuko ya wastaafu kufilisika ni ngumu mnooo, so sio formula ni vitu vingine kama poor management, wizi na mikopo chechefu billions, sio formula hata kidogo umeelewa wewe 🐗🐗
So acha kuelezea mambo ambayo hujui hata kidogo, alafu unaleta habari za kutaka wastaafu waumizwe kwa haki zao, acha huo upuuzi..!!
View: https://youtu.be/IdUMzHHKHw4?si=XTS-51ZAyo4sUnXg
Mimi sio mtu wa ofisi, na sipo ofisi yoyote. Mimi ni mtaalamu wa hifadhi ya jamii ( Social protection expert ) Naongea kitu ambacho nimekisoma na nina uzoefu nachomkuu DOMINGO THOMAS kwanini mnapost haya mambo muhimu kwa maslahi ya maisha ya wengi kwa kutumia akaunti za uchepe?
kwanini msitumie akaunti rasmi ya ofisi? mbona taasisi mbalimbali zina akaunti humu? nyinyi mnaogopa nini? kwanini mnakaa nyuma ya vivuli vyenu?
na je haya majibu mnayotoa hapa kwa hizi akaunti za uchepe yanawezaje kuchukuliwa kwa u-serious kama ndio msimamo wa ofisi?
Kipindi LAPF na PSPF zinakosa fedha za kuwalipa wastaafu, zilikuwa zina matumizi makubwa ya pesa ( Expenses ) kuliko kile wanacho ingiza.. Mtu kachangia Million 40 anakuja kulipwa kiinua Mgongo million 120 na Monthly pension inakuwa 700k, mara tatu zaidi ya kile alicho changia hapa sustainability ya mfuko lazima ufe.Ni wale waliosumbuliwa hapo katikati mfuko ulipofilisika
Sana lo Kikokotoo siooo kabisa!
Tumesha ongea sana kuwa madiwani, wakuu wa mikoa, wabunge sio wanachama na hawachangii kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii PSSSF/NSSF na hawalipwi na hiyo mifuko.Hicho kikokotoo ni Kwa watumishi wa hali ya chini tu, vipi diwani, mkuu wa wilaya,mkoa, wazri mbunge. Inamaana wao tu ndo wenye akili za matumizi ya pesa
Hakuna mtu ambaye hajalipwa na kikokotoo hii nchi, kiwe cha zamani au kipya vyote ni vikokotoo.Sana lo Kikokotoo siooo kabisa!
Nasemea hiki cha sasa ni Hatari kwa afya ya mafao asee!Hakuna mtu ambaye hajalipwa na kikokotoo hii nchi, kiwe cha zamani au kipya vyote ni vikokotoo.
Mmoja anapata kingi mwanzoni Vs Mwengine anapata Kingi Mwishoni, Mmoja akifa tegemezi wake wanakuwa hawana cha kupata Vs Mwengine akifa tegemezi wake wanacho cha kilipwa.
- Kiinua Mgongo ni zaidi ya kile ulicho changia kwenye mfuko, simply mtu akisha lipwa kiinua mgongo inakuwa hakuna pesa ambayo umebakiza kwenye mfuko.
Sawasawa!- Kiinua Mgongo ni zaidi ya kile ulicho changia kwenye mfuko, simply mtu akisha lipwa kiinua mgongo inakuwa hakuna pesa ambayo umebakiza kwenye mfuko.
- Ni ngumu kuielewa zana ya Hifadhi ya jamii, kama unalengo la kupinga na kukosao sio kujifunza mfumo wa hifadhi ya jamii unafanya kazi vipi.
😆mkuu samehe tu. watu wamevurugwa vichwa vimeshawaka motoHuwezi kuandika bila matusi..!? Niicho kijibu kipo sahihi na ndivyo ilivyo.
Angalia post number 170Unaweza kuuliza tena, na ukaachana na matusi.
Next week jumamosi nitakuja na uo uzi hapa, nipo na uandaa hauja kamilika badoAngalia post number 170
Mimi sijakuelewa. Mfano nimestafu nikiwa na mshahara wa 1ml kwa mwezi. Kwa kikokotoo kipya fedha ya mkupuo (lump sum) itakuwa kiasi gani?Haujafafanua kama nilivotegemea kukuta
Nipe muda lakini kwa kifupi:👇🏿Kwamba kujibu hoja hiyo mpaka jumamosi?
Mkuu umekosea. Mimi pia simuelewi mleta madaMimi sijakuelewa. Mfano nimestafu nikiwa na mshahara wa 1ml kwa mwezi. Kwa kikokotoo kipya fedha ya mkupuo (lump sum) itakuwa kiasi gani?
1. Kwenye kikokotoo hatutumii mshaara wa mwisho tunatumia wastani wa mishaara bora ya miaka mitatu ndani ya miaka 10 kabla ya kustaafu.Mimi sijakuelewa. Mfano nimestafu nikiwa na mshahara wa 1ml kwa mwezi. Kwa kikokotoo kipya fedha ya mkupuo (lump sum) itakuwa kiasi gani?
1. Kwenye kikokotoo hatutumii mshaara wa mwisho tunatumia wastani wa mishaara bora ya miaka mitatu ndani ya miaka 10 kabla ya kustaafu.Mkuu umekosea. Mimi pia simuelewi mleta mada