Ufafanuzi kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu

Rubbish
 
Kikotoo kimeletwa kuficha aibu ya serikali Kwa matumizi mabaya ya fedha za mifuko kwenye miradi isiyozalisha kama ujenzi wa majumba bila utaratibu ambayo yamefeli kuleta faida!!

Sasa wanakosa mamilioni ya kuwalipa wastaafu Kwa kikotoo Cha zamani ndio maana wastaafu wanateseka TU Kwa miaka mingi!!

Hizo formula ni blah blah tu!
 
Kwani wak

Kwani wakipewa fedha zao zote hawawezi kuendelea kuwa nazo mpaka pale umauti utakapo wakuta?
Wakizitumia zote zikaisha bado jamii itabidi kuwatunza..., ni aibu / hatari kuwa na jamii ya wazee omba omba na pia ni mzigo kwa watakaokuwa wanawatunza kipindi hicho kuhakikisha pia wanatoa pesa ya kuwatunza wazee... Biashara nyingi sio Bongo tu bali duniani 9 kati ya kumi zinazoanzishwa zinafeli ndani ya miaka mitano hivyo percentage-wise wengi wa hawa wazee watazipoteza au kutapeliwa....
Umesema habari za mfuko kukosa uwezo wa kuendelea kujiendesha,kwani muanzolishi wa huo mfuko ni mtumishi?

Aliyeuanzisha huo mfuko matarajio yake ilikuwa ni yapi na sasa anapata nini?
Mifuko hii ilianzishwa kama social security wanaofanya kazi sasa kuwachangia wazee ambao na wao siku wakizeeka watachangiwa siku wakistaafu..., ndio maana nchi kama Japana yenye ambayo ilikuwa na welfare system nzuri ya from Cradle to the Grave system zao zilipata shida baada ya wazee kuishi muda mrefu na wachangiaji kuwa wachache (yaani wazee wengi kuliko wanaowapa support) kufanya counter duniani ndio hapo unasikia watu wanaongeza umri wa watu ku-retire... All in all ni kuhakikisha Kibubu kilichopo kinawapa tufedha wazee until the day they die.....
 
Swali la kujibu. Ni kwa nini hakiwahusu wabunge na Mawaziri?
 
Kuna makundi makuu mawili kwa sasa hapa nchini


1.Kuna watumishi (Wastaafu watarajiwa)

2.Kuna wastaafu waliokwishalipwa Mkupuo na sasa wanapokea monthly pension


Tafuteni makundi yote mawili mtaona hoja zao ni tofauti.


Kundi la Kwanza linataka mkupuo mkubwa.


Kundi la pili ambalo walipokea mkupuo mkubwa wanalalamika kuhusu udogo wa monthly pension.

Kila siku wanasema walau pensheni ya kila mwezi iongezeke.


Ukiamua kwa hisia,utajikuta unatengeneza kundi kubwa la ombaomba siku za baadaye!
 
Nimesoma Mpaka Nusu na nimeona nisimalize maana Huwezi kushindwa kujua kuhusu Harufu ya Kitu
Kuna makundi makuu mawili kwa sasa hapa nchini


1.Kuna watumishi (Wastaafu watarajiwa)

2.Kuna wastaafu waliokwishalipwa Mkupuo na sasa wanapokea monthly pension


Tafuteni makundi yote mawili mtaona hoja zao ni tofauti.


Kundi la Kwanza linataka mkupuo mkubwa.


Kundi la pili ambalo walipokea mkupuo mkubwa wanalalamika kuhusu udogo wa monthly pension.

Kila siku wanasema walau pensheni ya kila mwezi iongezeke.


Ukiamua kwa hisia,utajikuta unatengeneza kundi kubwa la ombaomba siku za baadaye!
 
Kuna makundi makuu mawili kwa sasa hapa nchini


1.Kuna watumishi (Wastaafu watarajiwa)

2.Kuna wastaafu waliokwishalipwa Mkupuo na sasa wanapokea monthly pension


Tafuteni makundi yote mawili mtaona hoja zao ni tofauti.


Kundi la Kwanza linataka mkupuo mkubwa.


Kundi la pili ambalo walipokea mkupuo mkubwa wanalalamika kuhusu udogo wa monthly pension.

Kila siku wanasema walau pensheni ya kila mwezi iongezeke.


Ukiamua kwa hisia,utajikuta unatengeneza kundi kubwa la ombaomba siku za baadaye!
 
Kuna makundi makuu mawili kwa sasa hapa nchini


1.Kuna watumishi (Wastaafu watarajiwa)

2.Kuna wastaafu waliokwishalipwa Mkupuo na sasa wanapokea monthly pension


Tafuteni makundi yote mawili mtaona hoja zao ni tofauti.


Kundi la Kwanza linataka mkupuo mkubwa.


Kundi la pili ambalo walipokea mkupuo mkubwa wanalalamika kuhusu udogo wa monthly pension.

Kila siku wanasema walau pensheni ya kila mwezi iongezeke.


Ukiamua kwa hisia,utajikuta unatengeneza kundi kubwa la ombaomba siku za baadaye!
 
Mimi Ni mtumishi na Nashukuru Nimebakiza miaka 8 nistaafu..
Ninao Rafiki zangu wengi sanaa (You can imagine)..

Waliostaafu najua kikokotoo vizuri sana..
Kumnyima mtumishi 50% ni Udhulumaji
 
Bosi nchi hii ina wajinga wengi sana. Badala ya kutafuta ufumbuzi kwenye kuhakikisha watanzania wanapata elimu ya fedha na uwekezaji mapema minitu unakuta ina midevu inasema kikokotoo kibaya. Ukiuliza ubaya wake nini eti apewe hela zote, ukiuliza ukipewa eti nikifa niwe nimechukua hela yako, ukiukiliza je kwani ukiwa unapata kila mwezi ukifa hela yako si watapewa warithi yanasema oh mi nataka hela yangu yaani ni full ujinga mno.
 
Uzi wa hovyo niliokutana nao siku ya leo ndo huu.
 
Mstaafu mwenzio mwenye Cheo sawa na weww alikula milion 80 wew leo unaenda kuambulia mil 20 alafua anatokea mbwa mmoja anakwambia usenge wa calculator.... kunaa mtu atakulaa chumaa wazi waziii watu wa machungu sanaa na huu upuuzi unaoendeleaa.
 
Umejibu tofauti na ulivyoulizwa. Toa mfano halisi kama ulivyoulizwa.
 
Mimi Ni mtumishi na Nashukuru Nimebakiza miaka 8 nistaafu..
Ninao Rafiki zangu wengi sanaa (You can imagine)..

Waliostaafu najua kikokotoo vizuri sana..
Kumnyima mtumishi 50% ni Udhulumaji
Kuna makundi makuu mawili kwa sasa hapa nchini


1.Kuna watumishi (Wastaafu watarajiwa)

2.Kuna wastaafu waliokwishalipwa Mkupuo na sasa wanapokea monthly pension


Tafuteni makundi yote mawili mtaona hoja zao ni tofauti.


Kundi la Kwanza linataka mkupuo mkubwa.


Kundi la pili ambalo walipokea mkupuo mkubwa wanalalamika kuhusu udogo wa monthly pension.

Kila siku wanasema walau pensheni ya kila mwezi iongezeke.


Ukiamua kwa hisia,utajikuta unatengeneza kundi kubwa la ombaomba siku za baadaye!
 
Mie huwa nashangaa watu wanachanganya mada. Baada ya kukusoma unachozungumzia ni umuhimu wa ama kulipwa fedha zote au kubakiza upewe pension.
Kwa uelewa wangu mifuko ya jamii iko kwenye kundi la bima. Unawekeza ili baadaye upate mpaka hapo maisha yatakapokuchukua.
Najiuliza, kama mtu amefanya kazi miaka 30 hakuje nga, hana shamba, hana biashara. Anawezaje kupewa fedha za mkupuo ndio aanzishe mambo hayo akiwa hana ujuzi wowote? Nadhani ni ngumu. Watu wanapewa fedha wanakuwa wehu (sio wehu wa kurukwa na akili). Wakishtuka zimeisha. Au wanaazisha tu miradi ambayo haidumu maana matumizi yanabaki yaleyale na hana usimamizi bora. Hakuna mradi watakaoanzisha utakaopata faida zaidi ya pensheni ya kila mwezi.
Ni heri pensheni wangepigania pensheni kuongezwa kuliko kulipwa fedha zote ili zikiisha wasibaki na kitu.
Jamani, nayaona nina miaka 5 baada ya kustaafu. Pensheni nzuri jamani.
Nalipongeza andiko lako.
 
kwani kiongozi iyo ela ni ya kwenu au ya wanachama wenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…