Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 683
Habari Mh Rais!
Kuhusu kinachoendelea kwenye suala la milabaha kinachoonekana mahesabu take yametengenezwa katika mazingira ya kiupigaji na kizurumati ,
Kuna wasanii wakubwa sana wa zamani hawapo kwenye list na hiyo milabaha na wengine kupewa pesa kiduchu sana Sasa kwa inavyoonekana ni kama radio flani imehusika katika kupanga na kuharibu hii milabaha kwa sio ya hiyo radio mpk ikukubali ndo uwekwe kwenye list ni ya wasanii wote wa Tanzania kulingana na walivyojituma
Mwisho naona ifatiliwe namna walivyopiga hayo mahesabu na takwimu zao zilivyowekwa
Asante
Kuhusu kinachoendelea kwenye suala la milabaha kinachoonekana mahesabu take yametengenezwa katika mazingira ya kiupigaji na kizurumati ,
Kuna wasanii wakubwa sana wa zamani hawapo kwenye list na hiyo milabaha na wengine kupewa pesa kiduchu sana Sasa kwa inavyoonekana ni kama radio flani imehusika katika kupanga na kuharibu hii milabaha kwa sio ya hiyo radio mpk ikukubali ndo uwekwe kwenye list ni ya wasanii wote wa Tanzania kulingana na walivyojituma
Mwisho naona ifatiliwe namna walivyopiga hayo mahesabu na takwimu zao zilivyowekwa
Asante