Kwahio mwenye diploma ya Nursing ni NTA level 6?Naomba kuchangia wazo, NTA level4 ni certificate kamili ya vyuo vitoavyo fani za mwaka mmoja ukitoa vyuo vya afya,kilimo,ualim na vingine vinavyofanana na kozi hizo ambapo kada za afya,,kilimo na ualim ili uhitimu na uwe na uwezo wa kufanya kazi lazima usome miaka miwili na kupewa cheti chake cha 2years yaan NTA5. Lakin kada za social unapiga mwaka mmoja tayari unapewa cheti na kuanza kusoma diploma kwa miaka miwilNTA level4and5.ambapo afya na kada ambazo nimezitaja hapo mwanzo utapiga 2yrs nakupewa cheti yaan certificate NTAlevel4and5.
Ndo hivyoKwahio mwenye diploma ya Nursing ni NTA level 6?
AsanteNdo hivyo
hapana lazima uwe na NTA level 6 ambayo ni ordinary diplomaLabda hukunielewa,I mean ukiwa na certificate ya chuo chochote,je anaruhusiwa kujiunga chuo cha huria NTA 5 na ukifaulu vzuri anaruhusiwa kwenda degree!??
Kwa ulivyoeleza, una point na inaibua hili: sasa hii ni kweli:Diploma sio miaka miwili, ila kuifikia diploma ndo inakupasa upitie hatua 2.
NTA level 5( technician certificate) mwaka mmoja then baadae NTA level 6 ( diploma)
Kuna baadhi ya vyuo, kila mwaka wa masomo wanatoa vyeti ikiwa mwanafunzi atataka.
Basic certificate (NTA 4) unapewa cheti.
Technician certificate (NTA 5) unapewa cheti.
Diploma (NTA 6) unapewa cheti.
Nisaidie kwa hili kama unalijuaMuongozo sahihi ni kwamba:-
Anaetoka form four ili apate cheti anatakiwa asome NTA level 4 na 5 anakuwa awarded chet
Ataenda kusoma Ordinary diploma mwaka mmoja kupata NTA level 6
Anayetoja advance atasoma miaka 2 yaani level 5 na 6, na hapo hatapata cheti Cha Nta level 5, atapata Cha Nta level 6 ambayao ni Ordinary diploma
Akihitaji kupata NTA level 5, lazima aingilie kwa ufaulu wa kidato Cha nne na sio Cha sita.
Nimepitia hukoo na nina experience pia nimeajirwa Serikali kwa vigezo hivyoooo