Ufafanuzi kuhusu NTA level 5 technician certificate

Ufafanuzi kuhusu NTA level 5 technician certificate

Naomba kuchangia wazo, NTA level4 ni certificate kamili ya vyuo vitoavyo fani za mwaka mmoja ukitoa vyuo vya afya,kilimo,ualim na vingine vinavyofanana na kozi hizo ambapo kada za afya,,kilimo na ualim ili uhitimu na uwe na uwezo wa kufanya kazi lazima usome miaka miwili na kupewa cheti chake cha 2years yaan NTA5. Lakin kada za social unapiga mwaka mmoja tayari unapewa cheti na kuanza kusoma diploma kwa miaka miwilNTA level4and5.ambapo afya na kada ambazo nimezitaja hapo mwanzo utapiga 2yrs nakupewa cheti yaan certificate NTAlevel4and5.
Kwahio mwenye diploma ya Nursing ni NTA level 6?
 
nta level 5 ni full technician certificate na nta level 6 ndio technician certificate
 
Labda hukunielewa,I mean ukiwa na certificate ya chuo chochote,je anaruhusiwa kujiunga chuo cha huria NTA 5 na ukifaulu vzuri anaruhusiwa kwenda degree!??
hapana lazima uwe na NTA level 6 ambayo ni ordinary diploma
 
Diploma sio miaka miwili, ila kuifikia diploma ndo inakupasa upitie hatua 2.

NTA level 5( technician certificate) mwaka mmoja then baadae NTA level 6 ( diploma)

Kuna baadhi ya vyuo, kila mwaka wa masomo wanatoa vyeti ikiwa mwanafunzi atataka.

Basic certificate (NTA 4) unapewa cheti.

Technician certificate (NTA 5) unapewa cheti.

Diploma (NTA 6) unapewa cheti.
Kwa ulivyoeleza, una point na inaibua hili: sasa hii ni kweli:

Hivi mwanafunzi wa NACTE, akimaliza mwaka wa kwanza akapasi na kwenda mwaka wa pili. Mwaka wa pili aka disco, je naweza kumwamisha nikampeleka chuo kingine akaanza mwaka wa pili tena baada ya kuhamisha taarifa zake za mwaka wa kwanza? maana ana cheti cha mwaka wa kwanza amepita, Utaratibu huu upo?
 
Muongozo sahihi ni kwamba:-

Anaetoka form four ili apate cheti anatakiwa asome NTA level 4 na 5 anakuwa awarded chet

Ataenda kusoma Ordinary diploma mwaka mmoja kupata NTA level 6

Anayetoja advance atasoma miaka 2 yaani level 5 na 6, na hapo hatapata cheti Cha Nta level 5, atapata Cha Nta level 6 ambayao ni Ordinary diploma

Akihitaji kupata NTA level 5, lazima aingilie kwa ufaulu wa kidato Cha nne na sio Cha sita.

Nimepitia hukoo na nina experience pia nimeajirwa Serikali kwa vigezo hivyoooo
Nisaidie kwa hili kama unalijua
Hivi mwanafunzi wa NACTE, akimaliza mwaka wa kwanza akapasi na kwenda mwaka wa pili. Mwaka wa pili aka disco, je naweza kumwamisha nikampeleka chuo kingine akaanza mwaka wa pili tena baada ya kuhamisha taarifa zake za mwaka wa kwanza? Utaratibu huu upo?
 
Sasa je ikiwa nafasi iliyotoka ni NTA level 5 je na alieomba ana NTA level 6 je anaruhusiwa au anaweza kataliwa
 
Back
Top Bottom