Nyatyo
Member
- Sep 21, 2017
- 89
- 78
Wakuu naomba ufafanuzi hii imekaaje.
Inasemekana kuna wanawake wana baraka na wengine wana nuksi ukitembea nao wanakuachia nuksi zao.
Je, ikiwa mtu kachepuka na mdada mwenye nuksi akirudi nyumban akatembea na mkewe tena je hizo nuksi alizozibeba kwa mchepuko zitampata na mkewe?
Na je hizo nuksi zinaweza zikambadirisha mkewake nae akawa na nuksi au imekaaje hapo wadau.!
Kuna namna yakujisafisha hizo nuksi zisikupate?
Kwa anae elewa hizi mambo msaada jamani…
Kejeri haziruhusiwi[emoji106]
Inasemekana kuna wanawake wana baraka na wengine wana nuksi ukitembea nao wanakuachia nuksi zao.
Je, ikiwa mtu kachepuka na mdada mwenye nuksi akirudi nyumban akatembea na mkewe tena je hizo nuksi alizozibeba kwa mchepuko zitampata na mkewe?
Na je hizo nuksi zinaweza zikambadirisha mkewake nae akawa na nuksi au imekaaje hapo wadau.!
Kuna namna yakujisafisha hizo nuksi zisikupate?
Kwa anae elewa hizi mambo msaada jamani…
Kejeri haziruhusiwi[emoji106]