Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Mtumishi akisafiri Dar es salaam kikazi,atalipwa posho ya manispaa au jiji?
Petro E. Mselewa
Petro E. Mselewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itategemea ni mtumishi wa jiji au manispaa husikaMtumishi akisafiri Dar es salaam kikazi,atalipwa posho ya manispaa au jiji?
Petro E. Mselewa
Mkuu sijakuelewa hata kidogo. Ongezea nyamaHayo mambo ni sawa na ile kauli ya aliyeturoga kafa...maana alilivunja jiji halafu akaendazake, nyie ishini tu hivyo hivyo🤣🤸🐒
hivi haya maamuzi bado yanadumu?Pamoja na maelezo mengi ila umewaingiza chaka wasomaji wa Makala hii
Jiji la Dar es Salaam liko pale pale kimajukumu, kieneo na kiutaratibu was watu kutambulisha Maeneo yao,
Mkoa wa Dar es Salaam Ni jiji, ila kwenye masuala ya maulaji yao ndo wamepunguza, Cha msingi rejea maelezo yako yapange upya
Nanukuu
"Jiji la Dar es Salaam litaendelea kuwepo lakini tutachukua eneo fulani nafikiri Ilala inafaa kuwa jiji, ndio katikati ya jiji la Dar es Salaam, wewe Ubungo utasubiri kwanza kwasababu hata barabara bado hazijatengenezwa tengenezwa lakini nafanya haya ndugu zangu kwa kuangalia matumizi mazuri ya fedha zetu". Mwiso wa Nukuu
Ngoja tumsikie Maza atasemaje juu ya hilihivi haya maamuzi bado yanadumu?
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam , Wilaya ya IlalaKwa sasa kuna Jiji la Dar es salaam au kuna Jiji la Ilala? Kuuliza sio ujinga.