Ufafanuzi: Kuvunjwa Halmashauri ya Jiji la Dar kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Jiji

Ufafanuzi: Kuvunjwa Halmashauri ya Jiji la Dar kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Jiji

Kwa sasa kuna Jiji la Dar es salaam au kuna Jiji la Ilala? Kuuliza sio ujinga.
 
Hayo mambo ni sawa na ile kauli ya aliyeturoga kafa...maana alilivunja jiji halafu akaendazake, nyie ishini tu hivyo hivyo🤣🤸🐒
 
Pamoja na maelezo mengi ila umewaingiza chaka wasomaji wa Makala hii

Jiji la Dar es Salaam liko pale pale kimajukumu, kieneo na kiutaratibu was watu kutambulisha Maeneo yao,
Mkoa wa Dar es Salaam Ni jiji, ila kwenye masuala ya maulaji yao ndo wamepunguza, Cha msingi rejea maelezo yako yapange upya

Nanukuu

"Jiji la Dar es Salaam litaendelea kuwepo lakini tutachukua eneo fulani nafikiri Ilala inafaa kuwa jiji, ndio katikati ya jiji la Dar es Salaam, wewe Ubungo utasubiri kwanza kwasababu hata barabara bado hazijatengenezwa tengenezwa lakini nafanya haya ndugu zangu kwa kuangalia matumizi mazuri ya fedha zetu". Mwiso wa Nukuu
hivi haya maamuzi bado yanadumu?
 
Back
Top Bottom