Pamoja na maelezo mengi ila umewaingiza chaka wasomaji wa Makala hii
Jiji la Dar es Salaam liko pale pale kimajukumu, kieneo na kiutaratibu was watu kutambulisha Maeneo yao,
Mkoa wa Dar es Salaam Ni jiji, ila kwenye masuala ya maulaji yao ndo wamepunguza, Cha msingi rejea maelezo yako yapange upya
Nanukuu
"Jiji la Dar es Salaam litaendelea kuwepo lakini tutachukua eneo fulani nafikiri Ilala inafaa kuwa jiji, ndio katikati ya jiji la Dar es Salaam, wewe Ubungo utasubiri kwanza kwasababu hata barabara bado hazijatengenezwa tengenezwa lakini nafanya haya ndugu zangu kwa kuangalia matumizi mazuri ya fedha zetu". Mwiso wa Nukuu