Ufafanuzi mdogo kuhusu kauli ya mabadiliko ya kikokotoo

Ufafanuzi mdogo kuhusu kauli ya mabadiliko ya kikokotoo

DOMINGO THOMAS

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2023
Posts
365
Reaction score
365
Hapa tunarudi nyuma kidogo kabla ya kuanza kutumika kikokotoo cha Asilimia 33% kwenye kiinua mgongo na asilimia 67% kwenye pensheni ya kila mwezi, kulikuwa na mifuko 5 ambayo kila mfuko ulikuwa na Formula yake kwenye ukokotoaji mafao ya uzee ambapo :-
1. LAPF na PSPF ilikuwa ni asilimia 50% kwenye kiinua mgongo na asilimia 50% kwenye malipo ya kila mwezi (Monthly pension)
2. PPF, NSSF na GEPF ilikuwa ni asilimia 25% kwenye kiinua mgongo na asilimia 75% kwenye malipo ya kila mwezi

Kwa kauli hii ya waziri wa fedha Dkt. Mwigulu Nchemba - 13/06/2024.
1. Kwa walio kuwa wanachama wa LAPF na PSPF wao kwa sasa watalipwa asilimia 40% kama kiinua mgongo kutoka asilimia 33%, na Malipo ya kila mwezi yatakuwa asilimia 60% sio tena asilimia 67%.
2. Kwa walio kuwa wanachama wa GEPF, NSSF na PPF wao kwasasa watalipwa asilimia 35% kama kiinua mgongo na sio tena asilimia 33% na Malipo ya kila mwezi kwa sasa yatakuwa ni asilimia 65% na sio tena asilimia 67%.
3. Na kwa-walio kuwa wanachama wa PPF, GEPF, PSPF na LAPF (PSSSF) kabla mifuko kuungana na baada ya kuungana waka-hamia NSSF, na walio kuwa NSSF kabla mifuko kuungana na baada ya kuungana waka-hamia PSSSF hawa wanatumia Totalization formula.

NOTED
Kauli hii bado haija-anza kufanya kazi, mpaka pale miongozo na taratibu zitakapo tolewa.

Imeandikwa na
Thomas Ndipo Mwakibuja.
Social Protection Expert
 
Hapa tunarudi nyuma kidogo kabla ya kuanza kutumika kikokotoo cha Asilimia 33% kwenye kiinua mgongo na asilimia 67% kwenye pensheni ya kila mwezi, kulikuwa na mifuko 5 ambayo kila mfuko ulikuwa na Formula yake kwenye ukokotoaji mafao ya uzee ambapo :-
1. LAPF na PSPF ilikuwa ni asilimia 50% kwenye kiinua mgongo na asilimia 50% kwenye malipo ya kila mwezi (Monthly pension)
2. PPF, NSSF na GEPF ilikuwa ni asilimia 25% kwenye kiinua mgongo na asilimia 75% kwenye malipo ya kila mwezi

Kwa kauli hii ya waziri wa fedha Dkt. Mwigulu Nchemba - 13/06/2024.
1. Kwa walio kuwa wanachama wa LAPF na PSPF wao kwa sasa watalipwa asilimia 40% kama kiinua mgongo kutoka asilimia 33%, na Malipo ya kila mwezi yatakuwa asilimia 60% sio tena asilimia 67%.
2. Kwa walio kuwa wanachama wa GEPF, NSSF na PPF wao kwasasa watalipwa asilimia 35% kama kiinua mgongo na sio tena asilimia 33% na Malipo ya kila mwezi kwa sasa yatakuwa ni asilimia 65% na sio tena asilimia 67%.
3. Na kwa-walio kuwa wanachama wa PPF, GEPF, PSPF na LAPF (PSSSF) kabla mifuko kuungana na baada ya kuungana waka-hamia NSSF, na walio kuwa NSSF kabla mifuko kuungana na baada ya kuungana waka-hamia PSSSF hawa wanatumia Totalization formula.

NOTED
Kauli hii bado haija-anza kufanya kazi, mpaka pale miongozo na taratibu zitakapo tolewa.

Imeandikwa na
Thomas Ndipo Mwakibuja.
Social Protection Expert
Naona bado wakichezea laana ya wazee wetu. Dhuluma ni mbaya sana. Wazee hawa walirithia kikokotoo tofauti na wanachopangiwa sasa
Waziri anasema " Wizara imeona" hivyo kuweka wazi kuwa mtumishi hana haki ya kuhoji chochote.
 
Hapa tunarudi nyuma kidogo kabla ya kuanza kutumika kikokotoo cha Asilimia 33% kwenye kiinua mgongo na asilimia 67% kwenye pensheni ya kila mwezi, kulikuwa na mifuko 5 ambayo kila mfuko ulikuwa na Formula yake kwenye ukokotoaji mafao ya uzee ambapo :-
1. LAPF na PSPF ilikuwa ni asilimia 50% kwenye kiinua mgongo na asilimia 50% kwenye malipo ya kila mwezi (Monthly pension)
2. PPF, NSSF na GEPF ilikuwa ni asilimia 25% kwenye kiinua mgongo na asilimia 75% kwenye malipo ya kila mwezi

Kwa kauli hii ya waziri wa fedha Dkt. Mwigulu Nchemba - 13/06/2024.
1. Kwa walio kuwa wanachama wa LAPF na PSPF wao kwa sasa watalipwa asilimia 40% kama kiinua mgongo kutoka asilimia 33%, na Malipo ya kila mwezi yatakuwa asilimia 60% sio tena asilimia 67%.
2. Kwa walio kuwa wanachama wa GEPF, NSSF na PPF wao kwasasa watalipwa asilimia 35% kama kiinua mgongo na sio tena asilimia 33% na Malipo ya kila mwezi kwa sasa yatakuwa ni asilimia 65% na sio tena asilimia 67%.
3. Na kwa-walio kuwa wanachama wa PPF, GEPF, PSPF na LAPF (PSSSF) kabla mifuko kuungana na baada ya kuungana waka-hamia NSSF, na walio kuwa NSSF kabla mifuko kuungana na baada ya kuungana waka-hamia PSSSF hawa wanatumia Totalization formula.

NOTED
Kauli hii bado haija-anza kufanya kazi, mpaka pale miongozo na taratibu zitakapo tolewa.

Imeandikwa na
Thomas Ndipo Mwakibuja.
Social Protection Expert
Asilimia ya nini? Ya mshahara wake wa mwisho au?
 
Watupe pesa zetu zote wapuuzi hao.
Kipindi mifuko haija ungana, PPF mtu ulikuwa una-amua ulipwe Full pension au Monthly pension na Commuted pension, walio kuwa wanalipwa full pension baada ya miaka miwili walikuwa wanarudi kwenye mfuko kulia.. Kwamba na-wao wapewe monthly pension.

Ni-kuambie tu kwa hii Mishaara ya watumishi ni nadra sana kumkuta mtu ana-full pension inayo zidi Million mia-mbili.
 
Kuna mfanyakazi gani na kwa njia ipi alishirikishwa kufikia hiyo 40% ? Si vyema akashirikishwa?
Inaonekana hujafurahiswa tena na ongezeko la asilimia kwenye kiinua mgongo, yapi yalikuwa maoni yako sahihi.. Ulitaka asilimia ziwe vipi...!?
 
Hapana kabisa. Mbona nilichangia kwenye post nyingine kuwa ni mwanzo mzuri. Labda hujaiona. Nawapongeza kwa sababu imeongezeka kwa zaidi ya asilimi ishirini na moja (zaidi ya 21%).

Hapo unasemaje kaka!
 
Kipindi mifuko haija ungana, PPF mtu ulikuwa una-amua ulipwe Full pension au Monthly pension na Commuted pension, walio kuwa wanalipwa full pension baada ya miaka miwili walikuwa wanarudi kwenye mfuko kulia.. Kwamba na-wao wapewe monthly pension.

Ni-kuambie tu kwa hii Mishaara ya watumishi ni nadra sana kumkuta mtu ana-full pension inayo zidi Million mia-mbili.
Naona umetumwa na CCM,, serikali imefuja pesa kwenye hiyo mifuko then wanakuja na siasa
 
Back
Top Bottom