DOMINGO THOMAS
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 365
- 365
- Thread starter
-
- #21
Mimi wala sio mwana-siasaNaona umetumwa na CCM,, serikali imefuja pesa kwenye hiyo mifuko then wanakuja na siasa
Malipo yawe yanalipwa kupitia formula ipi....!?
Rudi tena kasikilize kauli ya Waziri wa Fedha.Mifuko si imeungana? Hii habari ya GEPF unaitoa wapi? Kwani huo mfuko bado upo?
Tangu Mwigulu awe wazirri wa fedha sisikilizi Tena hotuba ya bajeti. Ni kupoteza muda.Rudi tena kasikilize kauli ya Waziri wa Fedha.
Kwakutumia kanuni zipi....!?Mimi ikifika umri wa kustaafu nilipwe changu chote