UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

Unaambiwa Mudi alisafiri mpaka mbinguni na kurudi kwa kutumia flying donkey(Buraq)
 
Alipoulizwa yeye mwenyewe, aliionesha Qur'an.

Qur'an ni muujiza unaoishi. Siyo wa kuhadithiwa tu kama mingine yote.
Mudi alikaoa katoto kwa miaka sita, then akafanya naye sex (concumeted) akiwa na miaka 9.
je wewe unaweza kuniruhusu nimuingilie mtoto wako wa miaka tisa?
 
Amenyandua sana tutoto
 
Jibuni hoja,
 
Mimi naomba kujua tu je ni kweli alitembea na mtoto wa miaka tisa?! Au ni uzushi
Sio kutembea nae Tu 😂, alikuwa anampa Mimba zinatoka coz umri mdogo hawezi beba mimba
 
Mudi alikaoa katoto kwa miaka sita, then akafanya naye sex (concumeted) akiwa na miaka 9.
je wewe unaweza kuniruhusu nimuingilie mtoto wako wa miaka tisa?
Sasa unaleta ndoa za miaka 1,400 nyuma kwa kuhukumu kwa sheria za leo? Kwani miaka hiyo hiyo sheria ilikuwa ya ndoa ilikuwa ipi? Unaifahamu? Kama hauifahamu nakushauri usome kuhusu "age of consent" ya miaka 100 tu nyuma, popote pale duniani.

Hilo la kuoana na miaka 6 mbona jema sema hata leo hii? Labda huelewo maana ya kuowana.

Tanzania kuna mila mpaka leo hii anaolewa mtoto ana miaka 3, unalijuwa hilo?

Kijana, Mtume Muhammad hakufanya kosa kuowana Bi Aisha wakati huo.

Hiyo hoja yako imekosa mashiko na chukulia kuwa huo ni muuijiza piaambao mpaka leo una hadhi ya kuongelewa kwa sauti.
 
Msipende sana kulinganisha au kushindanisha mambo yaliyo juu ya uwezo wenu, mnachopaswa kutambua ni kwamba sote hatima yetu ni kifo.....baada ya kifo hakuna ajuaye kinacho fuata.....
 
Ukionyeshwa miujiza au ukiambiwa utamuamini?yesu mussa na wengine walitenda miujiza lakini amkuwaamini mkaishia kumuita yesu mungu na huyo shoga wenu kumuita mtume,nyiyi mnacho amini ni mazingaombwe makanisani kwenu huko
Umeulizwa uoneshe muujiza wa Muhammad
 
Mtoto ni mtoto haijalishi Mila potofu wala Nini
Pedophile Muhammad alitakiwa awe mfano ila yeye ndio alikuwa anashahuri watu waoe watoto Kuna jamaa alimtolea uvivu akamwambia hawezi kuoa mtoto kwani atakuja kucheza na watoto wenzake
 
Alioa kitoto cha miaka 9 kiitwacho aisha akawa anakibaka
 
MUUJIZA MKUBWA WA MUHAMMAD

Muhammad alikuwa anapiga wanawake tisa mtungo usiku mmoja tena anaoga mwishoni

Muhammad used to go round (have sexual relations with) all his wives in one night, and he had nine wives. Sahih al-Bukhari 5068

One day the Messenger of Allah had sexual intercourse with (all) his wives with a single bath. Sunan Abi Dawud 218
 
Eti mud alipaa! jamaa na masaaba wake walikuwa matpeli
 
Faiza kitabu hakiwezi kuwa muujiza... Muujiza ni Tukio linaloshuhudiwa na wengi na lisilo la kawaida. Mfano Musa alivyogawa Bahari...

Nataka tukio lililoshuhudiwa na watu likitendewa na Mtume Mohamad (SAW)

Huyo mdada sijui kasoma shule gani.
 

Kumbuka mod ni messanger wa Allah, inakuwaje anafanya mambo ambayo baaadae ,waumini wake wanaona ni vitu vilivyopitwa na wakati na vinapaswa kurekebishwa. Je mungu wa mod Hana uwezo wa kuona future.

Na Huku munasema Qur'an muujiza wake hakibadiliki, na Huku waumini wanakiri kuwa kuna mafundisho yamepitwa na wakati,

Tumia akili Dini ni ushezi
 
Kwanza kuwa na heshima ya kutamka jina vizuri.
 
Kumbe tyr tyr miujiza unaifaham lkn bado unaulizia mingine kwamba hiyo huikubali. Hapo hata wakikuandikia mingine ni vile vile tu hutaiamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…