Ufafanuzi! Ngao ya jamii kwanini Simba na Yanga na Sio azam

Ufafanuzi! Ngao ya jamii kwanini Simba na Yanga na Sio azam

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Habarini wanajamvini, nimechanganyikiwa na kutoelewa ni utaratibu Gani umetumika katika kupangwa mechi ya Ngao ya jamii.
Nasikia kuwa mechi ya Ngao ya jamii itakuwa ni yanga dhidi ya Simba na sio Azam na hapo ndo ninapopagawa.

Navyofahamu ngao ya jamii ni mechi kati ya mshindi wa Ligi na Mshindi wa FA, na endapo kama mshindi wa Ligi na wa FA ni mmoja basi mechi itakuwa ni mshindi wa Ligi na mshindi namba mbili wa Ligi, hivyo Kwa utaratibu ngao ya jamii ilipaswa kuwa ni Yanga Vs Azam, na sio yanga vs Simba kama ilivyo msimu huu.

Wajuaji wa humu naombeni sababu kwanini mechi ya ngao ya jamii ni yanga vs Simba na sio yanga vs azam
 
Habarini wanajamvini, nimechanganyikiwa na kutoelewa ni utaratibu Gani umetumika katika kupangwa mechi ya Ngao ya jamii.
Nasikia kuwa mechi ya Ngao ya jamii itakuwa ni yanga dhidi ya Simba na sio azam na hapo ndo ninapopagawa.
Navyofahamu ngao ya jamii ni mechi kati ya mshindi wa Ligi na Mahindi wa FA, na endapo kama mahindi wa Ligi na wa FA ni mmoja basi mechi itakuwa ni mahindi wa Ligi na mahindi namba mbili wa Ligi, hivyo Kwa utaratibu ngao ya jamii ilipaswa kuwa ni Yanga Vs Azam, na sio yanga vs Simba kama ilivyo msimu huu.

Wajuaji wa humu naombeni sababu kwanini mechi ya ngao ya jamii ni yanga vs Simba na sio yanga vs azam
Wewe mpira haukufai, shabiki wa mpira au mdau wa mpira ni pamoja na ufuatiliaji wa matukio, sio unalala ndotoni unaota na wewe unatakuwa mtu wa mpira, abadani
 
Habarini wanajamvini, nimechanganyikiwa na kutoelewa ni utaratibu Gani umetumika katika kupangwa mechi ya Ngao ya jamii.
Nasikia kuwa mechi ya Ngao ya jamii itakuwa ni yanga dhidi ya Simba na sio azam na hapo ndo ninapopagawa.
Navyofahamu ngao ya jamii ni mechi kati ya mshindi wa Ligi na Mahindi wa FA, na endapo kama mahindi wa Ligi na wa FA ni mmoja basi mechi itakuwa ni mahindi wa Ligi na mahindi namba mbili wa Ligi, hivyo Kwa utaratibu ngao ya jamii ilipaswa kuwa ni Yanga Vs Azam, na sio yanga vs Simba kama ilivyo msimu huu.

Wajuaji wa humu naombeni sababu kwanini mechi ya ngao ya jamii ni yanga vs Simba na sio yanga vs azam
Wewe umesikia wapi??? Ngao ya jamii itakuwa timu nne, Simba, Yanga, Azam na Coastal Union.
 
Wewe umesikia wapi??? Ngao ya jamii itakuwa timu nne,Simba, Yanga, Azam na Coastal Union.
Tanzania, tuna taratibu zetu za ki pekee, ambazo hauzipati sehemu nyingine! Ufunguzi wa ligi kushirikisha timu nne badala ya mbili, kama alivyoshangaa mleta thread hii, timu iliyotelemka daraja, kupata nafasi ya kujitetea, akipambana na timu inayotaka kupanda! Ni KIVYETU VYETU tu!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Washajua kuwa safar hii tena simba hana chake kwahiyo wanataka wampe Ngao ya jamii kama kifuta jasho. Aje ajazie na mapinduzi tena, ndoo 2 anafungia kabatini 😂😂.

Nyie si mlifikiri mangungu hana akili?? Jamaa ana akil sana yule , ona lobbying anazofanya kuipambania simba!!
 
Habarini wanajamvini, nimechanganyikiwa na kutoelewa ni utaratibu Gani umetumika katika kupangwa mechi ya Ngao ya jamii.
Nasikia kuwa mechi ya Ngao ya jamii itakuwa ni yanga dhidi ya Simba na sio azam na hapo ndo ninapopagawa.
Navyofahamu ngao ya jamii ni mechi kati ya mshindi wa Ligi na Mahindi wa FA, na endapo kama mahindi wa Ligi na wa FA ni mmoja basi mechi itakuwa ni mahindi wa Ligi na mahindi namba mbili wa Ligi, hivyo Kwa utaratibu ngao ya jamii ilipaswa kuwa ni Yanga Vs Azam, na sio yanga vs Simba kama ilivyo msimu huu.

Wajuaji wa humu naombeni sababu kwanini mechi ya ngao ya jamii ni yanga vs Simba na sio yanga vs azam
Naona uzi umejaa mahindi tu.
 
Habarini wanajamvini, nimechanganyikiwa na kutoelewa ni utaratibu Gani umetumika katika kupangwa mechi ya Ngao ya jamii.
Nasikia kuwa mechi ya Ngao ya jamii itakuwa ni yanga dhidi ya Simba na sio azam na hapo ndo ninapopagawa.
Navyofahamu ngao ya jamii ni mechi kati ya mshindi wa Ligi na Mahindi wa FA, na endapo kama mahindi wa Ligi na wa FA ni mmoja basi mechi itakuwa ni mahindi wa Ligi na mahindi namba mbili wa Ligi, hivyo Kwa utaratibu ngao ya jamii ilipaswa kuwa ni Yanga Vs Azam, na sio yanga vs Simba kama ilivyo msimu huu.

Wajuaji wa humu naombeni sababu kwanini mechi ya ngao ya jamii ni yanga vs Simba na sio yanga vs azam
Mahindi tena yamefanyaje
 
Tanzania, tuna taratibu zetu za ki pekee, ambazo hauzipati sehemu nyingine! Ufunguzi wa ligi kushirikisha timu nne badala ya mbili, kama alivyoshangaa mleta thread hii, timu iliyotelemka daraja, kupata nafasi ya kujitetea, akipambana na timu inayotaka kupanda! Ni KIVYETU VYETU tu!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
ww unatakaje? unataka tuwaige wengine ndo uone tumefanya vizuri?
 
Washajua kuwa safar hii tena simba hana chake kwahiyo wanataka wampe Ngao ya jamii kama kifuta jasho. Aje ajazie na mapinduzi tena, ndoo 2 anafungia kabatini 😂😂.

Nyie si mlifikiri mangungu hana akili?? Jamaa ana akil sana yule , ona lobbying anazofanya kuipambania simba!!
na wewe maswala ya mpira achana nayo
 
Aliyekuwa nafasi ya tatu ligi kuu anacheza na nafasi ya kwanza ligi kuu. Nafasi ya nne anacheza na nafasi ya pili
 
Tanzania, tuna taratibu zetu za ki pekee, ambazo hauzipati sehemu nyingine! Ufunguzi wa ligi kushirikisha timu nne badala ya mbili,
System hii kwa taarifa yako inatumiwa na spain kati ya nchi zilizodevelop zaidi kimpira
timu iliyotelemka daraja, kupata nafasi ya kujitetea, akipambana na timu inayotaka kupanda! Ni KIVYETU VYETU tu!
Hii pia inatumiwa na nchi kama Ujerumani, South Africa kwa hapa kwetu kati ya nchi nazozifahamu.
Kwa kuongezea tu kafuatilie ligi kuu ya ubeligiji ambao unafanana na wa Tunisia ambapo ligi inachezwa hlf baadae timu za juu zinaanza ligi nyingine upyaa kumpata bingwa, mwakilishi wa UEFA, EUROPA na Conference ligue na zingine zinatengenezaigi yao kuwapata wa kushuka daraja. Nakuongezea na hii nenda Azerbaijan ambako ligi huchezwa kwa mizungumo minne (home x2, awayx2). Kikubwa kila ligi na mfumo wake ambao ni mzuri kwa mazingira yao
 
Back
Top Bottom