bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Ana njaa huyuMahindi tena yamefanyaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana njaa huyuMahindi tena yamefanyaje
Acha gubu mkuu. Hiyo ni typing error tu.Mahindi wa FA,mahindi wa ligi na mahindi wa pili wa league. Kuna mashindano ya mahindi wapi?
😀😃😄 mwacheni ndugu yetu.Ana njaa huyu
Umesema 'unavyofahamu'. Mashindano hayaendeshwi kadiri ya mtu mmoja mmoja anavyofahamu yeye, tena bila hata kuelezea amefahamu kupitia taarifa ipi. Mashindano yoyote ya mpira wa soka yanaendeshwa kupitia kanuni za ligi, zilizowekwa na wajumbe wa vilabu vyote vinavyoguswa na mashindano hayo, ikiwemo Ihefu, Tabora United, Geita Gold, Mtibwa, Kagera Sugar, KMC, Prisons, Simba, Yanga, Azam, Coastal Union nk,Navyofahamu ngao ya jamii ni mechi kati ya mshindi wa Ligi na Mshindi wa FA, ...
Ila we unapenda sana kujitoa akili. Je neno 'ninavyofahamu' lina maana gani?Umesema 'unavyofahamu'. Mashindano hayaendeshwi kadiri ya mtu mmoja mmoja anavyofahamu yeye, tena bila hata kuelezea amefahamu kupitia taarifa ipi. Mashindano yoyote ya mpira wa soka yanaendeshwa kupitia kanuni za ligi, zilizowekwa na wajumbe wa vilabu vyote vinavyoguswa na mashindano hayo, ikiwemo Ihefu, Tabora United, Geita Gold, Mtibwa, Kagera Sugar, KMC, Prisons, Simba, Yanga, Azam, Coastal Union nk,
Fuatilia mpira hata spain , Germany wanatumia mfumo tunaotumia.Tanzania, tuna taratibu zetu za ki pekee, ambazo hauzipati sehemu nyingine! Ufunguzi wa ligi kushirikisha timu nne badala ya mbili, kama alivyoshangaa mleta thread hii, timu iliyotelemka daraja, kupata nafasi ya kujitetea, akipambana na timu inayotaka kupanda! Ni KIVYETU VYETU tu!
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Umekariri ligi ya England, embu uwe unafatilia na nchi zingineHabarini wanajamvini, nimechanganyikiwa na kutoelewa ni utaratibu Gani umetumika katika kupangwa mechi ya Ngao ya jamii.
Nasikia kuwa mechi ya Ngao ya jamii itakuwa ni yanga dhidi ya Simba na sio Azam na hapo ndo ninapopagawa.
Navyofahamu ngao ya jamii ni mechi kati ya mshindi wa Ligi na Mshindi wa FA, na endapo kama mshindi wa Ligi na wa FA ni mmoja basi mechi itakuwa ni mshindi wa Ligi na mshindi namba mbili wa Ligi, hivyo Kwa utaratibu ngao ya jamii ilipaswa kuwa ni Yanga Vs Azam, na sio yanga vs Simba kama ilivyo msimu huu.
Wajuaji wa humu naombeni sababu kwanini mechi ya ngao ya jamii ni yanga vs Simba na sio yanga vs azam
Hii ni Nchi ya siasa,hapo Azam ametibua ugali wa watu na wanaweza hata msukubu mmiliki Kwa kumpakazia kesi.Habarini wanajamvini, nimechanganyikiwa na kutoelewa ni utaratibu Gani umetumika katika kupangwa mechi ya Ngao ya jamii.
Nasikia kuwa mechi ya Ngao ya jamii itakuwa ni yanga dhidi ya Simba na sio Azam na hapo ndo ninapopagawa.
Navyofahamu ngao ya jamii ni mechi kati ya mshindi wa Ligi na Mshindi wa FA, na endapo kama mshindi wa Ligi na wa FA ni mmoja basi mechi itakuwa ni mshindi wa Ligi na mshindi namba mbili wa Ligi, hivyo Kwa utaratibu ngao ya jamii ilipaswa kuwa ni Yanga Vs Azam, na sio yanga vs Simba kama ilivyo msimu huu.
Wajuaji wa humu naombeni sababu kwanini mechi ya ngao ya jamii ni yanga vs Simba na sio yanga vs azam
Ni awareness kuhusu Ngao ya Hisani ya TFF (Tanzania), lakini ni kwa nafsi ya kwanza umoja (yaani wewe bila wengine).Ila we unapenda sana kujitoa akili. Je neno 'ninavyofahamu' lina maana gani?
Mahindi sio!😒Mahindi wa FA,mahindi wa ligi na mahindi wa pili wa league. Kuna mashindano ya mahindi wapi?