Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Simu yangu imeibiwa
2. Nimeibiwa simu yangu.
3. Simu yangu imeibwa.
1. Simu yangu imeibiwa
2. Nimeibiwa simu yangu.
3. Simu yangu imeibwa.
1. Simu yangu imeibiwa
2. Nimeibiwa simu yangu.
3. Simu yangu imeibwa.
Sentensi zote tatu zina maana inayo lingana kimaana katika hali ya mazoea, na utofauti wake upo katika maumbo (mofolojia) au mpangilio wa maneno pekee, hata hivyo sentensi namba 1, ina utata kwa msomaji au msikilizaji kwa maana kwamba inaweza maanisha simu ilikuwa na kitu fulani inachokimiliki, ie. yaweza kuwa ni programau au vyovyote na imeibiwa (imetolewa) kutoka katika simu hiyo. Hivyo simu ndiyo iliyoingia hasara kwa kuibiwa kifaa au programu yake iliyokuwa ikimiliki. Hivyo basi, kwa mtazamo wangu sentensi hii hutumika kimazoea zaidi na si kwa kuzingatia utaalamu na mintalafu ya lugha, hususani lugha ya kiswahili.
Hivyo kwa maelezo hayo ni dhahiri kuwa sentensi #2 n#3 ndizo tungo sahihi zaidi kuelezea tukio la wewe kuibiwa simu yako, na hiyo #1, hutumika katika hali ya mazoea ya kutumia lugha, na inamakosa kimantiki na kisarufi.
MAOMBA KUWASILISHA....
Sentensi zote tatu zina maana inayo lingana kimaana katika hali ya mazoea, na utofauti wake upo katika maumbo (mofolojia) au mpangilio wa maneno pekee, hata hivyo sentensi namba 1, ina utata kwa msomaji au msikilizaji kwa maana kwamba inaweza maanisha simu ilikuwa na kitu fulani inachokimiliki, ie. yaweza kuwa ni programau au vyovyote na imeibiwa (imetolewa) kutoka katika simu hiyo. Hivyo simu ndiyo iliyoingia hasara kwa kuibiwa kifaa au programu yake iliyokuwa ikimiliki. Hivyo basi, kwa mtazamo wangu sentensi hii hutumika kimazoea zaidi na si kwa kuzingatia utaalamu na mintalafu ya lugha, hususani lugha ya kiswahili.
Hivyo kwa maelezo hayo ni dhahiri kuwa sentensi #2 n#3 ndizo tungo sahihi zaidi kuelezea tukio la wewe kuibiwa simu yako, na hiyo #1, hutumika katika hali ya mazoea ya kutumia lugha, na inamakosa kimantiki na kisarufi.
MAOMBA KUWASILISHA....
1. Simu yangu imeibiwa
2. Nimeibiwa simu yangu.
3. Simu yangu imeibwa.