Changalucha
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 508
- 593
Uko sahihi, walaji wanajali zaidi huduma wanayoipata kuliko miundombinu yake, maana hata kutofautisha minara ya mawasiliano eti huu wa Tigo, Vodacom, Zantel au Ttcl au hapa imepita cable ya mkongo wa taifa sidhani kama inawasaidia.You mean Nape angeruhusu Starlink hii inamaanisha watu wangeona hizo satellite juu wangejua ni satellite za starlink....HOW??
Unadhani watu ambao hawakujua kinachopira juu ni nini hawajui kuhusu Starlink, Elon, Space X and such stuffs ??
Hakun asiyeju satellite humu wewe umeju hizo satellite za starlink baada ya kusachi tu kama sisi instant ulivyoziona hukujua ni nini
Dar tumeona, tulishangaa sana tukadhani ni maandamano ya ndege..ha haaa mpaka tunaenda kulala hatukuwa tumepata jibu.mlioona hiyo satellite mnaishi mikoa gani mana sidhanii kua wadar wameonaππππ
vipi sasahivi umepata jibu?Dar tumeona, tulishangaa sana tukadhani ni maandamano ya ndege..ha haaa mpaka tunaenda kulala hatukuwa tumepata jibu.
Hii kauli ni tata sana.....hatua za mwisho?????hatua gani hzo????StarLink wanakamilisha hatua za mwisho za kuruhusiwa kuweka satelite katika anga la Tanzania-Napelape Nnauye.
Na wewe umekubali eti afadhali.....hiyo ni political promise mzee.....hakuna cha kukamilisha taratibu hao jamaa umepigwa pin kwa manufaa ya wachacheAfadhali....
Ukiona umeandikiwa umetumia 75% ya bando lako la internet. Ujue na Nape naye kuna gawio lake linaingiaNa wewe umekubali eti afadhali.....hiyo ni political promise mzee.....hakuna cha kukamilisha taratibu hao jamaa umepigwa pin kwa manufaa ya wachache
Umemsahau Baba levo mkuuπTanzania ukiwa na akili kama za Lucas mwashambwa unakuwa mteule in waiting.
Watu kama kina Mwijaku, Kitenge, Masanja, Dotto Magari, Mpoto, Aristote, Juma Lokole na fananizi nao ndo unaonekana thinktank wa nchi.
Tuendelee kupambania watawala ili watawale vizuri hata kama hawana nia njema na nchi
Kama nikila kitu ni yeye basi anatatizo kweliNape alipinga bwawa la Nyerere,.....Nape alimtukana JPM kwenye simu...Nape kabana Elon Musk asilete Huduma yake ....huyu Nape ni tatizo sana..ndio maana JPM alimtembeza juani IKULU...huyu mtu hana manufaa yoyote
Hatari sana mkuu. πUmemsahau Baba levo mkuuπ
Hii ndiyo haitaki kabisa NapeInternet hii inapatikana hata uwe bondeni, milimani, porini, kijijini, n.k. Internet haina kikomo utatumia unavyotaka (Unlimited), Kuna takribani satelaiti elf 5 za starlink zinazunguka juu ya anga la dunia kuhakikisha internet inapatikana sehemu zote duniani,
That's right braza.Ukiona umeandikiwa umetumia 75% ya bando lako la internet. Ujue na Nape naye kuna gawio lake linaingia
Mpk leo Paypal, huduma ya kupokea pesa bado kitendawili. Sasa hao Starlink itaharibu mambo mengi sana ya viongozi mafisadi ndiyo maana hawaitaki
Kwani waganga wetu wa kienyeji wanasemaje?!πππππSiku ya leo jioni kumekuwa na taharuki baada ya watu kuona vitu vilivyopita angani mithiri ya nyota zinazoongozana katika mstari mmoja, wapo waliodhani ni nyota, wapo waliodhani ni vimondo, mpaka waliodhani ni miujiza.
Pia soma > Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani
View attachment 2917833
Ukweli ni kwamba hizi zilikuwa ni satelaiti za kampuni ya internet ya starkink inayomilikiwa na Elon Musk.
View attachment 2917834
Internet hii inapatikana hata uwe bondeni, milimani, porini, kijijini, n.k. Internet haina kikomo utatumia unavyotaka (Unlimited), Kuna takribani satelaiti elf 5 za starlink zinazunguka juu ya anga la dunia kuhakikisha internet inapatikana sehemu zote duniani,
View attachment 2917421
Tanzania tulikua moja ya nchi za mwanzo kabisa kuhusishwa na hii internet lakini mpaka leo vibali vinashughulikiwa, Tangu mwaka jana mwezi wa pili Waziri wa Teknolojia, Nnape Nauye amekuwa akisema starlink hawajakamilisha vibali,. >> source <<
View attachment 2917835
Internet hii imepewa vibali nchi nyingi, Nchi jirani zinazofaidi huduma hii ni Kenya, Rwanda, Malawi, Zambia na Msumbiji. Kwa sasa sisi tutabaki kushangaa hizo satelaiti angani lakini wanaozitumia ni majirani,
View attachment 2917832
WAtz mna pesa za ku afford packages za starlink kama hadi sasa kuna watu wanajiunga vifurushi vya jero na hapo unakuta mtu analipa deni la nyuma.Siku ya leo jioni kumekuwa na taharuki baada ya watu kuona vitu vilivyopita angani mithiri ya nyota zinazoongozana katika mstari mmoja, wapo waliodhani ni nyota, wapo waliodhani ni vimondo, mpaka waliodhani ni miujiza.
Pia soma > Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani
View attachment 2917833
Ukweli ni kwamba hizi zilikuwa ni satelaiti za kampuni ya internet ya starkink inayomilikiwa na Elon Musk.
View attachment 2917834
Internet hii inapatikana hata uwe bondeni, milimani, porini, kijijini, n.k. Internet haina kikomo utatumia unavyotaka (Unlimited), Kuna takribani satelaiti elf 5 za starlink zinazunguka juu ya anga la dunia kuhakikisha internet inapatikana sehemu zote duniani,
View attachment 2917421
Tanzania tulikua moja ya nchi za mwanzo kabisa kuhusishwa na hii internet lakini mpaka leo vibali vinashughulikiwa, Tangu mwaka jana mwezi wa pili Waziri wa Teknolojia, Nnape Nauye amekuwa akisema starlink hawajakamilisha vibali,. >> source <<
View attachment 2917835
Internet hii imepewa vibali nchi nyingi, Nchi jirani zinazofaidi huduma hii ni Kenya, Rwanda, Malawi, Zambia na Msumbiji. Kwa sasa sisi tutabaki kushangaa hizo satelaiti angani lakini wanaozitumia ni majirani,
View attachment 2917832