Ufafanuzi tukio lilotokea kwenye Anga la Tanzania, Teknolojia inazidi kukuwa, Watanzania tunaachwa nyuma tunabaki kushangaa

Ufafanuzi tukio lilotokea kwenye Anga la Tanzania, Teknolojia inazidi kukuwa, Watanzania tunaachwa nyuma tunabaki kushangaa

You mean Nape angeruhusu Starlink hii inamaanisha watu wangeona hizo satellite juu wangejua ni satellite za starlink....HOW??

Unadhani watu ambao hawakujua kinachopira juu ni nini hawajui kuhusu Starlink, Elon, Space X and such stuffs ??

Hakun asiyeju satellite humu wewe umeju hizo satellite za starlink baada ya kusachi tu kama sisi instant ulivyoziona hukujua ni nini
Uko sahihi, walaji wanajali zaidi huduma wanayoipata kuliko miundombinu yake, maana hata kutofautisha minara ya mawasiliano eti huu wa Tigo, Vodacom, Zantel au Ttcl au hapa imepita cable ya mkongo wa taifa sidhani kama inawasaidia.
 
Sema nape anakula vijisenti pamoja na hivi vikampuni uchwara vya simu hapa bongo ndo sababu analeta udananda sana. Kwanini nchi zingine vibali vikamilike chap chap na tayari wanatumia hizo internet za Elon afu Tanzania ambao tulikua moja ya nchi za mwanzo kabisa kuhusishwa na hyo internet et ndo mpaka leo vibali vinashughulikiwa
 
Na wewe umekubali eti afadhali.....hiyo ni political promise mzee.....hakuna cha kukamilisha taratibu hao jamaa umepigwa pin kwa manufaa ya wachache
Ukiona umeandikiwa umetumia 75% ya bando lako la internet. Ujue na Nape naye kuna gawio lake linaingia
Mpk leo Paypal, huduma ya kupokea pesa bado kitendawili. Sasa hao Starlink itaharibu mambo mengi sana ya viongozi mafisadi ndiyo maana hawaitaki
 
Tanzania ukiwa na akili kama za Lucas mwashambwa unakuwa mteule in waiting.

Watu kama kina Mwijaku, Kitenge, Masanja, Dotto Magari, Mpoto, Aristote, Juma Lokole na fananizi nao ndo unaonekana thinktank wa nchi.

Tuendelee kupambania watawala ili watawale vizuri hata kama hawana nia njema na nchi
Umemsahau Baba levo mkuu😅
 
Internet hii inapatikana hata uwe bondeni, milimani, porini, kijijini, n.k. Internet haina kikomo utatumia unavyotaka (Unlimited), Kuna takribani satelaiti elf 5 za starlink zinazunguka juu ya anga la dunia kuhakikisha internet inapatikana sehemu zote duniani,
Hii ndiyo haitaki kabisa Nape
 
Ukiona umeandikiwa umetumia 75% ya bando lako la internet. Ujue na Nape naye kuna gawio lake linaingia
Mpk leo Paypal, huduma ya kupokea pesa bado kitendawili. Sasa hao Starlink itaharibu mambo mengi sana ya viongozi mafisadi ndiyo maana hawaitaki
That's right braza.
 
Siku ya leo jioni kumekuwa na taharuki baada ya watu kuona vitu vilivyopita angani mithiri ya nyota zinazoongozana katika mstari mmoja, wapo waliodhani ni nyota, wapo waliodhani ni vimondo, mpaka waliodhani ni miujiza.

Pia soma > Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

View attachment 2917833

Ukweli ni kwamba hizi zilikuwa ni satelaiti za kampuni ya internet ya starkink inayomilikiwa na Elon Musk.

View attachment 2917834

Internet hii inapatikana hata uwe bondeni, milimani, porini, kijijini, n.k. Internet haina kikomo utatumia unavyotaka (Unlimited), Kuna takribani satelaiti elf 5 za starlink zinazunguka juu ya anga la dunia kuhakikisha internet inapatikana sehemu zote duniani,

View attachment 2917421

Tanzania tulikua moja ya nchi za mwanzo kabisa kuhusishwa na hii internet lakini mpaka leo vibali vinashughulikiwa, Tangu mwaka jana mwezi wa pili Waziri wa Teknolojia, Nnape Nauye amekuwa akisema starlink hawajakamilisha vibali,. >> source <<

View attachment 2917835

Internet hii imepewa vibali nchi nyingi, Nchi jirani zinazofaidi huduma hii ni Kenya, Rwanda, Malawi, Zambia na Msumbiji. Kwa sasa sisi tutabaki kushangaa hizo satelaiti angani lakini wanaozitumia ni majirani,

View attachment 2917832
Kwani waganga wetu wa kienyeji wanasemaje?!😂😂😂😂😂
 
Huko Kwa wenzetu, gharama zake zinakuaje uki compare na internet ya mitandao ya simu???
 
Siku ya leo jioni kumekuwa na taharuki baada ya watu kuona vitu vilivyopita angani mithiri ya nyota zinazoongozana katika mstari mmoja, wapo waliodhani ni nyota, wapo waliodhani ni vimondo, mpaka waliodhani ni miujiza.

Pia soma > Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

View attachment 2917833

Ukweli ni kwamba hizi zilikuwa ni satelaiti za kampuni ya internet ya starkink inayomilikiwa na Elon Musk.

View attachment 2917834

Internet hii inapatikana hata uwe bondeni, milimani, porini, kijijini, n.k. Internet haina kikomo utatumia unavyotaka (Unlimited), Kuna takribani satelaiti elf 5 za starlink zinazunguka juu ya anga la dunia kuhakikisha internet inapatikana sehemu zote duniani,

View attachment 2917421

Tanzania tulikua moja ya nchi za mwanzo kabisa kuhusishwa na hii internet lakini mpaka leo vibali vinashughulikiwa, Tangu mwaka jana mwezi wa pili Waziri wa Teknolojia, Nnape Nauye amekuwa akisema starlink hawajakamilisha vibali,. >> source <<

View attachment 2917835

Internet hii imepewa vibali nchi nyingi, Nchi jirani zinazofaidi huduma hii ni Kenya, Rwanda, Malawi, Zambia na Msumbiji. Kwa sasa sisi tutabaki kushangaa hizo satelaiti angani lakini wanaozitumia ni majirani,

View attachment 2917832
WAtz mna pesa za ku afford packages za starlink kama hadi sasa kuna watu wanajiunga vifurushi vya jero na hapo unakuta mtu analipa deni la nyuma.
 
Back
Top Bottom