Ufafanuzi wa Diamond kuhusu kilichotokea jana uwanja wa ndege Mwanza

Ufafanuzi wa Diamond kuhusu kilichotokea jana uwanja wa ndege Mwanza

Lack of education , lack of integrity . Diamond Platnum has to be more prudent concerning mambo ya serikali, I have been watching lately , amekua akijifanya mdomo mdomo simply because of his tittle . He has to watch out , he is too young n soft to battle with Jmagufuli

Even though he has encountered such problem at the airport , he was supposed to send the complaints kwa wahusika by writing emails , wangempuuza ndo angekua na haki ya kuongea in public , hyo management yake fucken stupid .
Kumbe Warumi lugha ya malkia inapanda hivi au wamehack account yako??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna kitu kinakera kama. Mpo kwenye Tukio la maana alafu kuna Mtu ana ki TECNO.. Alafu ndio ana KIHEREHERE CHA KUPIGA PICHA KILA SAA.. Hapo wenye IPhone X unakuta tumekausha tu.
Sidhani kama ulishawahi kumiliki angalau simu ya 400K
 
Mtoto wa kike kuolewa sunna bibie,kama ulizan umenitukana basi umekosea njia pita kuleee bwana domo akakukaze
Mwambie huyo,tena tumfanyie ushenzi,nielekeze kwenu nije nikuoe mie af tunamualika harusi roho imuume
 
Lack of education , lack of integrity . Diamond Platnum has to be more prudent concerning mambo ya serikali, I have been watching lately , amekua akijifanya mdomo mdomo simply because of his tittle . He has to watch out , he is too young n soft to battle with Jmagufuli

Even though he has encountered such problem at the airport , he was supposed to send the complaints kwa wahusika by writing emails , wangempuuza ndo angekua na haki ya kuongea in public , hyo management yake fucken stupid .
Msameheni bado hajakua
 
Fastjet ukichelewa pesa yako inaliwa no refund, check in yao wanafunga one hour before departure ukifika muda huo huingii na ndege unaiona.

Kwa mashirika mengine ukichelewa flight unatozwa penalty ili kusafiri na next available flight.
Sio one hour bali ni 40 min before departure kwa ndege za ndani ya nchi haijalishi ni ndege gani ni sheria hiyo ya aviation...!! Na kwa ndege za kimataifa kwa one hour ni sawa
 
dogo mjinga sana yule anajiona kama waziri hv nadhani kauli za jana hata Magu zime mkera ila leo kaomba msamaha kiaina kaposti yupo kwenye ndege anajifanya anasifia ATCL na kwamba zinakuna zingine mbili...kalishwaaneno apost hivo ili mkuu asichukie...hasa ile kauli ya kusema ndo maana shirika huwa linakufa...
Kapost wapi?
 
ELIMU ELIMU ELIMU lakini mkamfanyia figisu mzee wetu
 
Back
Top Bottom