Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Warumi lugha ya malkia inapanda hivi au wamehack account yako??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lack of education , lack of integrity . Diamond Platnum has to be more prudent concerning mambo ya serikali, I have been watching lately , amekua akijifanya mdomo mdomo simply because of his tittle . He has to watch out , he is too young n soft to battle with Jmagufuli
Even though he has encountered such problem at the airport , he was supposed to send the complaints kwa wahusika by writing emails , wangempuuza ndo angekua na haki ya kuongea in public , hyo management yake fucken stupid .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utaolewa mjini hapa
Sidhani kama ulishawahi kumiliki angalau simu ya 400KHakuna kitu kinakera kama. Mpo kwenye Tukio la maana alafu kuna Mtu ana ki TECNO.. Alafu ndio ana KIHEREHERE CHA KUPIGA PICHA KILA SAA.. Hapo wenye IPhone X unakuta tumekausha tu.
Endelea kusubiri mkuu,lakini usiache kufanya shughuli zako.Kijana anapata kiburi na ujasiri uliokosa busara ngoja tuone mwisho wake.
Mwambie huyo,tena tumfanyie ushenzi,nielekeze kwenu nije nikuoe mie af tunamualika harusi roho imuumeMtoto wa kike kuolewa sunna bibie,kama ulizan umenitukana basi umekosea njia pita kuleee bwana domo akakukaze
Mwambie huyo,tena tumfanyie ushenzi,nielekeze kwenu nije nikuoe mie af tunamualika harusi roho imuume
Sidhani kama ulishawahi kumiliki angalau simu ya 400K
Msameheni bado hajakuaLack of education , lack of integrity . Diamond Platnum has to be more prudent concerning mambo ya serikali, I have been watching lately , amekua akijifanya mdomo mdomo simply because of his tittle . He has to watch out , he is too young n soft to battle with Jmagufuli
Even though he has encountered such problem at the airport , he was supposed to send the complaints kwa wahusika by writing emails , wangempuuza ndo angekua na haki ya kuongea in public , hyo management yake fucken stupid .
Sio one hour bali ni 40 min before departure kwa ndege za ndani ya nchi haijalishi ni ndege gani ni sheria hiyo ya aviation...!! Na kwa ndege za kimataifa kwa one hour ni sawaFastjet ukichelewa pesa yako inaliwa no refund, check in yao wanafunga one hour before departure ukifika muda huo huingii na ndege unaiona.
Kwa mashirika mengine ukichelewa flight unatozwa penalty ili kusafiri na next available flight.
Kapost wapi?dogo mjinga sana yule anajiona kama waziri hv nadhani kauli za jana hata Magu zime mkera ila leo kaomba msamaha kiaina kaposti yupo kwenye ndege anajifanya anasifia ATCL na kwamba zinakuna zingine mbili...kalishwaaneno apost hivo ili mkuu asichukie...hasa ile kauli ya kusema ndo maana shirika huwa linakufa...