Ufafanuzi wa hii number plate WWD 83320

Ufafanuzi wa hii number plate WWD 83320

Mko makini sana kufuatilia Mambo ya kijingajinga. Laiti mngekuwa hodari kama hivi kufuatilia kanuni/policies gani za kiuchumi zitaboresha maisha ya watanzania tungekuwa mbali Sana .
Nashangaa umekuja fanya nini huku. Nenda kwenye majukwaa ya uchumi huko. Ukiwa kwenye policies za uchumi wewe unatosha.
 
Gari mpaka inatoka bandarin inatakiwa iwe imepass kila kitu yani ukimalizana na tbs nenda tra ukapewe registration No, then bandika ingia road. Gari inayotoka yard inakua tayar imesajilwa kinachobaki ni wewe kwenda kubadili umiliki tu vibao vinakwepo ndomana ukinunua gari yard huwez kuwa na registration no mpya kama mtu anae import mwenyew coz yard wanaagiza then wanasajili kabisa.

Gari kma haijapass tbs maybe ubadilishe tair ndo wakupe certificate inatakiwa uipark sehem na sio kuzurura nayo mjin kinyume na hapo ni kosa kisheria ndugu zako wale weupe wakikudaka nayo mwenge sijui wapi lazma wakuzingue tu

Ndio maana nikasema, kama taratibu zimebadilika, hapo sawa. Na mie naongelea wakati huo ukaguzi ulikua unafanyika Japan ( gari ilikotoka). Gari iliruhusiwa kuwepo barabarani mchana.

Nimeshakutana nao mara mbili walichoomba ni makaratari ya uhalali wa kuonyesha imeingia lini na mambo ya TRA.

Wengibe waliomba tu pesa ya maji kama chenji imebaji baada ya kujiridhisha na makaratasi.

Lakini kwa maelezo yako inaleta tija, gari inatakuwa iwe kamili kwenye usajili ndio ianze misele barabarani.
 
Gari mpaka inatoka bandarin inatakiwa iwe imepass kila kitu yani ukimalizana na tbs nenda tra ukapewe registration No, then bandika ingia road. Gari inayotoka yard inakua tayar imesajilwa kinachobaki ni wewe kwenda kubadili umiliki tu vibao vinakwepo ndomana ukinunua gari yard huwez kuwa na registration no mpya kama mtu anae import mwenyew coz yard wanaagiza then wanasajili kabisa.

Gari kma haijapass tbs maybe ubadilishe tair ndo wakupe certificate inatakiwa uipark sehem na sio kuzurura nayo mjin kinyume na hapo ni kosa kisheria ndugu zako wale weupe wakikudaka nayo mwenge sijui wapi lazma wakuzingue tu
Kaka kuna mahala unapotosha..!! Chasis number unaruhusiwa kutembea nayo kuanzia Saa 12 asubuhi mpaka Saa 12 jioni. Na unaruhusiwa kutembea na Chasis number kwa muda usiozidi siku 7 tangu gari itoke bandarini au Show room. Na siyo gari zote za Yard / Showroom zimeshasajiliwa TRA
 
Hio najua ila sheria hairuhusu kutembea na kibao chenye chasis mzeee ndomana police wakikudaka hawakuachi hvhv
Ukiwa unatumia chasis hautakiwi kuendesha zaidi ya saa 12 jioni tofauti na hapo polisi wanakukamata
 
Back
Top Bottom