Ufafanuzi wa kisheria watolewa kufuatia kujiondoa kwa Jaji Elinaza Luvanda kesi ya uhujumu uchumi na ugaidi wa Freeman Mbowe na wenzake..

Ufafanuzi wa kisheria watolewa kufuatia kujiondoa kwa Jaji Elinaza Luvanda kesi ya uhujumu uchumi na ugaidi wa Freeman Mbowe na wenzake..

Kwa vijana wa Chadema, Jaji kujitoa kwenye kesi wanafikiri is a big deal, lakini kumbe ni jambo la kawaida kabisa. Nina rafiki yangu hapa Mwanza ana kesi na mimi ndie mshauri wake kwenye hiyo kesi na wote hatujasomea sheria na hatujui sana sharia, lakini juzi tumepeleka hoja ya kutokuwa na imani na Hakimu na Hakimu amejitoa temepangiwa Hakimu mwingine.
Haya ni maoni ya mtu aliyevimbiwa kiporo cha makande yaliyochacha
 
Za mamaako!
IMG_20210829_032751_977.jpg
 
Biblia inasema hivi ktk Isaya 1.17 "Jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa; mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane"

Majaji mmepewa kazi ngumu sana kiimani. Kwa hakika ni bora kujiuzuru ikiwa kama mtatumia nafasi mliopewa kuwaridhisha wateule wenu au watawala.

Sintashangaa kabisa baadhi yenu, mkajauawa hadharani. Neno la Mungu halipiti wakati Ardhi inashuhudia. Tafakarini hayo.
Amina. Haki huinua Taifa.
 
Wapi unaposoma popote kwenye bandiko langu haya?:

"katiba ndio inaelekeza kuwe na vikao/mikutano ya kuhamasisha maandamano yasiyo na kikomo au uvunjaji wa sheria/amani,"

Au ni kuota ndoto za mchana ghafla? Au kwenu nyinyi amani na utulivu ni mnapojipa nafasi za kumbambikizia watu kesi kwa raha zenu?

Short cited ni wewe. Kutokuheshimu katiba ndiyo u short cited wenyewe.

Anajuta sasa hivi Alpha Conde kwa kutaka kusigina katiba.

Ukiukwaji Katiba, Tanzania tunafeli Wapi?

Haki, usawa, uhuru na utawala wa kidemokrasia si kwa hisani ya mtu yeyote bali kwa mujibu wa katiba.

Habari ndiyo hiyo.
Kaka tatizo tunakuwa wanaharakati zaidi bila kujua namna ya kutafsiri haki za kikatiba, naomba usome ibara ya 30 ya katiba utaelewa vizuri andiko langu.kikubwa ni kuwa haki,uhuru haviko absolute, kwamba kwakuwa una haki ya mikutano ama maandamano sasa ukaonyesha na viashiria vya kuvunja amani/utulivu kwa mwamvuli wa katiba, uzuri sasa katiba yenyewe imetoa exceptions to the general rule and that is article 30... na ndio maana kuna vyombo na taasisi za serikali ambazo zimepewa jukumu la kuweka law and order in case ya viashiria vyovyote. be so informed
 
Hali hii haina afya na hasa kwa serikali ya SSH na washirika wake:

1. Jaji kakubaliana na upande wa utetezi kuwa hati ya mashtaka ni batili.
2. Jaji badala ya kutumia busara kuonyesha haki inatendeka kachagua kuwa upande wa mashtaka ili walete nyingine.

Effectively kutokea hapo na katika mazingira haya:

3. Mh. Mbowe yuko ndani pasipokuwa na hati ya mashtaka.
4. Mh. Mbowe yuko ndani kinyume cha sheria na kinyume cha katiba.

Mh. Mbowe kamlalamikia jaji "in person" wasiwasi uliopo kuhusiana na kutenda haki yakiwamo anayotuhumiwa nayo jaji huyu:

5. Jaji kakubaliana na hoja za Mh. Mbowe kujitoa.

Katiba inaendelea kusiginwa chini ya macho ya tuliyempa dhamana ya kuhakikisha inalindwa. Yeye mwenyewe akiwa kwenye "tour" kama zilivyo "Tour de France" au "Tour de Rwanda."

Mwendelezo huu wa kubambikiza watu kesi na kuweka majaji mahsusi wa kuhakikisha mahitajio yenu serikali yanatimilika kinyume cha katiba, kunaendeleza kukuzwa kwa chuki baina ya watu na serikali na baina ya watu na watu.

SSH na washirika wako mnako tupeleka siko tulikokubaliana. Kwamba hamuwajibiki kwetu bali mna ajenda zenu zenye maslahi yenu binafsi?

Hali hii bado tu haiwafikirishi?

Cc: Jumbe Brown zandrano
Sioni kama marehemu atafufuka hapa mnachelewesha mazishi , kurefusha matanga na kuwachosa walala matanga
 
Kwa vijana wa Chadema, Jaji kujitoa kwenye kesi wanafikiri is a big deal, lakini kumbe ni jambo la kawaida kabisa. Nina rafiki yangu hapa Mwanza ana kesi na mimi ndie mshauri wake kwenye hiyo kesi na wote hatujasomea sheria na hatujui sana sharia, lakini juzi tumepeleka hoja ya kutokuwa na imani na Hakimu na Hakimu amejitoa temepangiwa Hakimu mwingine.
Is not about vijana wa CHADEMA. It's about mtu yeyote ukiwemo wewe "mtu wa CCM" kujua na kuelewa inapotokea hivi ktk kesi yoyote kisheria inakuwa na maana gani...

Ni bahati mbaya sana kwako unayejinasibu kama Mwanasheria na mshauri wa kisheria unatoa argument inayonukia itikadi za kisiasa badala ya kutumia ufahamu wako wa sheria kuelimisha wasio na basics za kisheria...
 
Kufuatia kujitoa kwa Jaji Elinaza Luvanda anayesikiliza shauri linalowakabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ndugu Freeman A. Mbowe na wenzake watatu katika kesi ya uhujumu uchumi na ugaidi iliyoko mahakamu kuu DSM, baada ya mshitakiwa namba 3 Freeman Mbowe kuonesha "kutokuwa na imani" naye, wengi tumekuwa tukitoa maoni yetu hewani bila kuwa na reference ya kisheria....

Katika video hii, mawakili wa mahakama kuu wasomi ndugu Peter Madeleka na Fatuma Karume wanatupa ufahamu wa kisheria jinsi mambo yalivyo na baada ya kuwasikiliza, kila mtu awe huru kutoa maoni yake sasa iwapo ilikuwa ni halali kwa Jaji huyu kujitoa au vinginevyo...
View attachment 1927053
Taaluma ya sheria inatumika vibaya tanzania na mawakili wa hovyo kama Mh.Kibatala
 
Hali hii haina afya na hasa kwa serikali ya SSH na washirika wake:

1. Jaji kakubaliana na upande wa utetezi kuwa hati ya mashtaka ni batili.
2. Jaji badala ya kutumia busara kuonyesha haki inatendeka kachagua kuwa upande wa mashtaka ili walete nyingine.

Effectively kutokea hapo na katika mazingira haya:

3. Mh. Mbowe yuko ndani pasipokuwa na hati ya mashtaka.
4. Mh. Mbowe yuko ndani kinyume cha sheria na kinyume cha katiba.

Mh. Mbowe kamlalamikia jaji "in person" wasiwasi uliopo kuhusiana na kutenda haki yakiwamo anayotuhumiwa nayo jaji huyu:

5. Jaji kakubaliana na hoja za Mh. Mbowe kujitoa.

Katiba inaendelea kusiginwa chini ya macho ya tuliyempa dhamana ya kuhakikisha inalindwa. Yeye mwenyewe akiwa kwenye "tour" kama zilivyo "Tour de France" au "Tour de Rwanda."

Mwendelezo huu wa kubambikiza watu kesi na kuweka majaji mahsusi wa kuhakikisha mahitajio yenu serikali yanatimilika kinyume cha katiba, kunaendeleza kukuzwa kwa chuki baina ya watu na serikali na baina ya watu na watu.

SSH na washirika wako mnako tupeleka siko tulikokubaliana. Kwamba hamuwajibiki kwetu bali mna ajenda zenu zenye maslahi yenu binafsi?

Hali hii bado tu haiwafikirishi?

Cc: Jumbe Brown zandrano
Hii kesi serikali haina ujanja. Kwa tukio hili, sasa imethibitika bila shaka kuwa hii kesi ni ya kubumba...

Lolote litakalotokea, WATU WOTE DUNIANI KOTE NA WAJUE HIVYO...!

By the way, kila mtu alishangaa sana kwa Jaji huyu kujitoa kirahisi kwa namna ile kwa hoja za mshtakiwa jambo ambalo huwa ni gumu sana kwa mahakimu/majaji wengi unless kuwe na debate ili kuthibitisha sababu ya kumtaka Jaji/hakimu kukaa pembeni....

Ni wazi serikali inawapa wakati mgumu sana majaji/mahakimu pale inapowatengenezea mazingira ya kuwalazimisha kupindisha sheria na haki ktk mahakama zetu kwa maslahi ya watawala...

Hii Mungu haipendi na haitaki asilani. Lazima wapigwe upofu na wapoteane kabisa...
 
Kwa vijana wa Chadema, Jaji kujitoa kwenye kesi wanafikiri is a big deal, lakini kumbe ni jambo la kawaida kabisa. Nina rafiki yangu hapa Mwanza ana kesi na mimi ndie mshauri wake kwenye hiyo kesi na wote hatujasomea sheria na hatujui sana sharia, lakini juzi tumepeleka hoja ya kutokuwa na imani na Hakimu na Hakimu amejitoa temepangiwa Hakimu mwingine.
Kwa hyo...?akili za kichattle hizi.
 
Kwa vijana wa Chadema, Jaji kujitoa kwenye kesi wanafikiri is a big deal, lakini kumbe ni jambo la kawaida kabisa. Nina rafiki yangu hapa Mwanza ana kesi na mimi ndie mshauri wake kwenye hiyo kesi na wote hatujasomea sheria na hatujui sana sharia, lakini juzi tumepeleka hoja ya kutokuwa na imani na Hakimu na Hakimu amejitoa temepangiwa Hakimu mwingine.
Hiyo ni aibu kubwa sn kwa mahakama kama hujui
 
Hii kesi serikali haina ujanja. Kwa tukio hili, sasa imethibitika bila shaka kuwa hii kesi ni ya kubumba...

Lolote litakalotokea, WATU WOTE DUNIANI KOTE NA WAJUE HIVYO...!

By the way, kila mtu alishangaa sana kwa Jaji huyu kujitoa kirahisi kwa namna ile kwa hoja za mshtakiwa jambo ambalo huwa ni gumu sana kwa mahakimu/majaji wengi unless kuwe na debate ili kuthibitisha sababu ya kumtaka Jaji/hakimu kukaa pembeni....

Ni wazi serikali inawapa wakati mgumu sana majaji/mahakimu pale inapowatengenezea mazingira ya kuwalazimisha kupindisha sheria na haki ktk mahakama zetu kwa maslahi ya watawala...

Hii Mungu haipendi na haitaki asilani. Lazima wapigwe upofu na wapoteane kabisa...
Kuanzia yule bibi katili apate hata ajali
 
Taaluma ya sheria inatumika vibaya tanzania na mawakili wa hovyo kama Mh.Kibatala

Really..?

Uko timamu kweli wewe katika ufahamu wako..?

Wakati mwingine ujifunze kusikiliza wenzako wanapozungumza ili uelewe ili uchangie hoja kama mtu mwenye akili timamu...!

Hapa hujasoma wala kumsikiliza wakili Peter Madeleka na Fatima Karume. Umejibu kwa msikumo yako binafsi tu...

Pole sana..
 
Nafkiri swala la mikutano, wangeheshimu huo wito wa kukutana ma IGP na msajili, kwani unaposema sheria imesema mnapeleka taarifa kwa ocd ni ili kurahisisha mchakato tu lakininuhalisia OCD yupo chini ya RPC na RPC yupo chini ya IJP, hivyo ocd akipigwa stop na wakubwa zake hawezi kukiuka maagizo,hivyo ni vyema mkakutana na top bosses ili kutengeneza namna bora/utaratibu kwa nchi nzima.pia kwa nyongeza ya uelewa mwenye mamlaka na utendaji wa jeshi la polisi ni IJP, hayo mengine ni katika kurahisisha taratibu za utendaji kwani huwezi kutegemea kila kibali/barua zote zielekezwe kwa IJP, ndio maana kuna makamishna,rpcs,ocds,rtos etc
Maoni yako siyo, hayaendani na sheria (PPA #5/1992 RE 2019).
 
Wanajilisha tu ujinga ambao unamgharimu Mbowe. Ataozea rumande
Pamoja na fikra zako dhaifu kama hizi, hebu jibu swali hili kwa ufasaha kama una akili huru na timamu kweli;

Kwamba, unadhani ni kwa nini serikali ilipeleka hati mbovu mahakamani..?
 
6 Sept 2021

Mhe. Tundu Lissu azungumzia Jaji Elinazer Luvanda kujitoa kusikiliza kesi ya Mhe. Freeman Mbowe



Mhe. Tundu Lissu azungumzia kesi inayomkabili Mhe. Freeman Mbowe ya ugaidi na uhujumu uchumi na kujiondoa kwa Jaji Elinazer Luvanda kutoka kwa kesi hiyo.
Source : Mwanzo TV

Wanasheria wa hovyo kama Lissu wanachafua nafasi ya sheria katika jamii
 
Really..?

Uko timamu kweli wewe katika ufahamu wako..?

Wakati mwingine ujifunze kusikiliza wenzako wanapozungumza ili uelewe ili uchangie hoja kama mtu mwenye akili timamu...!

Hapa hujasoma wala kumsikiliza wakili Peter Madeleka na Fatima Karume. Umejibu kwa msikumo yako binafsi tu...

Pole sana..
Fatuma kasema kujitoa ka jaji si sawa na kusema jaji kakiri kuwa yeye ana upendeleo.
 
Hii kesi serikali haina ujanja. Kwa tukio hili, sasa imethibitika bila shaka kuwa hii kesi ni ya kubumba...

Lolote litakalotokea, WATU WOTE DUNIANI KOTE NA WAJUE HIVYO...!

By the way, kila mtu alishangaa sana kwa Jaji huyu kujitoa kirahisi kwa namna ile kwa hoja za mshtakiwa jambo ambalo huwa ni gumu sana kwa mahakimu/majaji wengi unless kuwe na debate ili kuthibitisha sababu ya kumtaka Jaji/hakimu kukaa pembeni....

Ni wazi serikali inawapa wakati mgumu sana majaji/mahakimu pale inapowatengenezea mazingira ya kuwalazimisha kupindisha sheria na haki ktk mahakama zetu kwa maslahi ya watawala...

Hii Mungu haipendi na haitaki asilani. Lazima wapigwe upofu na wapoteane kabisa...
mnapewa kamba ndefu lakini ndo yuko ndani hivyo huyo gaidi
 
Back
Top Bottom