Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Wakuu.
Nimekuja kwenu hapa wale wenye ujuzi wa leseni za magari nina maswali naomba majibu kupatiwa majibu, najua natakiwa kwenda kuwauliza askari wa barabarani au TRA Tanzania ila sasa naomba majibu yenu hapa kwanza
Swali namba 1:
Leseni ya kuendesha pikipiki zipo makundi kuna Class A, A1, A2 na A3 sasa nikijifunza kuendesha pikipiki najaziwa zote hizo kwenye leseni yangu yaan Class A, A1, A2 na A3 au najaziwa moja moja?
Swali namba 2:
Leseni ya kuendesha magari ya Umma zipo makundi kuna Class C, C1, C2, na C3, sasa nikisomea Class C1 ambayo ipo juu ya C2 na C3 je najaziwa zote kwenye leseni yangu yaan C1, C2 na C3 au najaziwa moja tu?
Soma pia: Namna rahisi ya kupata leseni ya udereva
Naombeni ufafanuzi wenu wakuu kwa faida ya wengine pia.
Nimekuja kwenu hapa wale wenye ujuzi wa leseni za magari nina maswali naomba majibu kupatiwa majibu, najua natakiwa kwenda kuwauliza askari wa barabarani au TRA Tanzania ila sasa naomba majibu yenu hapa kwanza
Swali namba 1:
Leseni ya kuendesha pikipiki zipo makundi kuna Class A, A1, A2 na A3 sasa nikijifunza kuendesha pikipiki najaziwa zote hizo kwenye leseni yangu yaan Class A, A1, A2 na A3 au najaziwa moja moja?
Swali namba 2:
Leseni ya kuendesha magari ya Umma zipo makundi kuna Class C, C1, C2, na C3, sasa nikisomea Class C1 ambayo ipo juu ya C2 na C3 je najaziwa zote kwenye leseni yangu yaan C1, C2 na C3 au najaziwa moja tu?
Soma pia: Namna rahisi ya kupata leseni ya udereva
Naombeni ufafanuzi wenu wakuu kwa faida ya wengine pia.