Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
- Thread starter
- #21
Hapa mkuu sijakuelewa labda ungenifafanulia tena vizuri kidogo uniweke sawa yaan ukisomea udereva wa pikipiki unapewa Class A tu ila ukisomea na Bajaj unapewa A1, A2 na A3 maana yake inabidi ukishasomea pikipiki usomee na Bajaj pia ndio ujaziwe madaraja yote kwenye leseni?*Kwenye madaraJa "A
Ni madaraja ya pikipki ila ukiendq kusoma kuendesha pikipiki unapewa daraja "A plain ila ukisoma na Bajaj ynapewa madaraja yote ya "A