Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,305
Habari wadau,
Kumekuwa na kujichanganya sana kuhusu muda wa pambano la "The Fight of The Century".Ukweli ni kwamba kwa huku kwetu Pambano sio Tarehe 2 bali ni Tarehe 3 saa kumi na mbili asubuhi ndio pambano linaanza ila milango itafunguliwa kwa huku kwetu saa saba(1:00 AM) usiku wa kuamkia tarehe 3.
Kumekuwa na kujichanganya sana kuhusu muda wa pambano la "The Fight of The Century".Ukweli ni kwamba kwa huku kwetu Pambano sio Tarehe 2 bali ni Tarehe 3 saa kumi na mbili asubuhi ndio pambano linaanza ila milango itafunguliwa kwa huku kwetu saa saba(1:00 AM) usiku wa kuamkia tarehe 3.