Ngaramtoni
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 430
- 61
kwa mujibu wa supersport 2 na supersport 6,wameonyesha pambano litakuwa saa tisa na nusu usiku kuamkia Jumapili,sasa kama kuakuwa na mapambano ya utangulizi toka saa tisa na nusu hadi saa kumi na mbili asubuhi ndo pambano kuu lipigwe hapo sina hakika na hilo.kwamba kutakuwpo na mapambano ya utangulizi,hilo ni lazima,ambacho siwezi kuwaambia ni yatachukua muda gani