Ufafanuzi wa Serikali: Kuvuja maji Uwanja wa Mkapa ni sababu ya ukarabati mkubwa uwanjani hapo

Ufafanuzi wa Serikali: Kuvuja maji Uwanja wa Mkapa ni sababu ya ukarabati mkubwa uwanjani hapo

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Serikali kupitia wizara ya utamaduni, sanaa na michezo imetoa tamko rasmi kutokana na video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionesha kuvuja kwa maji katika moja ya sehemu ya Uwanja wa Benjamini Mkapa.

michezo.jpg
 
Mimi nilisema juzi kwenye mechi ya Yanga na Azam nikaonekana sina hoja. Kama pesa ipo, kwa nini uwanja usifungwe kabisa ili focus iwe kwenye kufanya huo ukarabati na kuumaliza mapema. Hivi vimechi vidogo sijui Yanga vs Azam, Yanga vs.

Singida vingeendelea kuchezewa huko huko Chamazi. Hii itawawezesha kuwahisha hatua kadhaa za ukarabati ili mechi za kimataifa zikianza, at least uweze kutumika wakati ukarabati maeneo mengine ukiendelea.

Yaani tunashindwa kufanya maamuzi madogo kama haya kweli, kila kitu tunataka kufurahisha watu? Hakuna ukarabati wa maana unaweza kufanyika wakati uwanja unatumia kila baada ya siku mbili, tuache kudanganyana.
 
Haya majitu Maongo sana .


HATA MAJANI HAYAJABADIRISHWA NI YAKE YALE.

AIBU YAO
 
Back
Top Bottom