By SAYANSIKIMU
Nyota hazina umbo maalumu .
Ni kweli !!!
Nyota ni kama sayari lakini ujazo wake mkubwa ni hewa, tofauti na sayari yetu tuiitayo DUNIA ambayo ujazo wake mkubwa ni miamba (rocky, au solid). Kwa sababu hewa ndio inayotengeneza hizi nyota, basi umbile lake haliwezi kuwa na umbo (umbile) maalumu. Mkuu SAYANSIKIMU hajakosea.
NB
Naona watu wengi wameshabikia hii mada. Kwenye mada yangu ya awali nilitaka kuongeza dondoo za:
- Nyota zinazaliwaje
- Nyota zinakufaje
- Black-holes na makaburi ya nyota zilizokufa.
Nitateremsha hizi nondo kama kuna anaezitaka.
By SAYANSIKIMU
Nyota hazina umbo maalumu .
Ni kweli !!!
Nyota ni kama sayari lakini ujazo wake mkubwa ni hewa, tofauti na sayari yetu tuiitayo DUNIA ambayo ujazo wake mkubwa ni miamba (rocky, au solid). Kwa sababu hewa ndio inayotengeneza hizi nyota, basi umbile lake haliwezi kuwa na umbo (umbile) maalumu. Mkuu SAYANSIKIMU hajakosea.
NB
Naona watu wengi wameshabikia hii mada. Kwenye mada yangu ya awali nilitaka kuongeza dondoo za:
- Nyota zinazaliwaje
- Nyota zinakufaje
- Black-holes na makaburi ya nyota zilizokufa.
Nitateremsha hizi nondo kama kuna anaezitaka.
[/QUOTE
Mkuu Kifyatu tupe ilmu. A,alaykum.
nyota ni ndogo sana kuliko dunia, ni kama mwezi. zinategemea mwanga wa jua. na nyota ulizoona zinazobadilika kutoka rangi kutokea ya blue kwenda ya kijani ni kutokana na kuzibwa na miti na bahari .na ukiona nyekundu ujue hapo kuna radi na mvua inanyesha.
Malizia story yako....kuna kitu inaitwa nyota ya jaa/Jah...yenye bahati. Ukiamka usiku iko tofauti na nyingine, ukiigundua basi inasemekana chochote utakachoomba utakipata interms of wealth.
By SAYANSIKIMU
Nyota hazina umbo maalumu .
Ni kweli !!!
Nyota ni kama sayari lakini ujazo wake mkubwa ni hewa, tofauti na sayari yetu tuiitayo DUNIA ambayo ujazo wake mkubwa ni miamba (rocky, au solid). Kwa sababu hewa ndio inayotengeneza hizi nyota, basi umbile lake haliwezi kuwa na umbo (umbile) maalumu. Mkuu SAYANSIKIMU hajakosea.
NB
Naona watu wengi wameshabikia hii mada. Kwenye mada yangu ya awali nilitaka kuongeza dondoo za:
- Nyota zinazaliwaje
- Nyota zinakufaje
- Black-holes na makaburi ya nyota zilizokufa.
Nitateremsha hizi nondo kama kuna anaezitaka.
ha ha ha ha:biggrin:Mh hii kali umenicha hoi kidogo
Mimi nataka haswa hicho kipengele cha black holes
By SAYANSIKIMU
Nyota hazina umbo maalumu .
Ni kweli !!!
Nyota ni kama sayari lakini ujazo wake mkubwa ni hewa, tofauti na sayari yetu tuiitayo DUNIA ambayo ujazo wake mkubwa ni miamba (rocky, au solid). Kwa sababu hewa ndio inayotengeneza hizi nyota, basi umbile lake haliwezi kuwa na umbo (umbile) maalumu. Mkuu SAYANSIKIMU hajakosea.
NB
Naona watu wengi wameshabikia hii mada. Kwenye mada yangu ya awali nilitaka kuongeza dondoo za:
- Nyota zinazaliwaje
- Nyota zinakufaje
- Black-holes na makaburi ya nyota zilizokufa.
Nitateremsha hizi nondo kama kuna anaezitaka.
[/QUOTE
Mkuu Kifyatu tupe ilmu. A,alaykum.
Aleykum Salaam brother. Nipe mda mkuu.
Teremsha nondo mkuu
Bibie usijali. Nafanyia kazi ombi lako. Subira dada!!
Nimekuwa natafuta sana kuelewa hizo Blac holes lakini imekuwa ngumu kwangu kuelewa uje na lugha rahisi kwa sisi tusiojua physics kuelewa maana niliwahi kusoma sehemu kuwa black holes yaweza kumeza hata dunia sijui kama ni kweli.
Bibie tulia.
Lengo langu hapa JF ni kutoa maelezo ambayo hata bibi (nyanya) yangu kule kijijini (never seen the inside of a classroom) anaweza kunielewa. Kama siwezi kufanya hivyo basi, pamoja na elimu yangu yote hii niliyokuwa nayo, mimi si mali kitu.
Dada nisubiri na jibu lako!!
Bibie tulia.
Lengo langu hapa JF ni kutoa maelezo ambayo hata bibi (nyanya) yangu kule kijijini (never seen the inside of a classroom) anaweza kunielewa. Kama siwezi kufanya hivyo basi, pamoja na elimu yangu yote hii niliyokuwa nayo, mimi si mali kitu.
Dada nisubiri na jibu lako!!
nyota ni ndogo sana kuliko dunia, ni kama mwezi. zinategemea mwanga wa jua. na nyota ulizoona zinazobadilika kutoka rangi kutokea ya blue kwenda ya kijani ni kutokana na kuzibwa na miti na bahari .na ukiona nyekundu ujue hapo kuna radi na mvua inanyesha.
ha ha ha ha, :tape::tape:Wewe jamaa sayansi inakupita kushoto.. sio fani yako
good explaination mkuuHaya, BISMILLAH.
Nyota ni nini?
Nyota ni kama jua letu, lakini ziko mbali sana.
Nyota ziko mbali kiasi gani?
Mwanga unasafiri kwa kasi (speed) ya 299,793 km/sekunde au 1,079 milioni km/saa. Mara nyingi umbali wa nyota hupimwa kwa muda utakaotumiwa na mwanga kusafiri mpaka kutufikia sisi. Kwa mfano, mwanga kutoka jua letu unasafiri kwa takriban dakika 8 hivi kutufikia sisi (au, jua liko umbali wa 8 light-minutes kutoka hapa duniani). Nyota iliyo karibu sana na sisi ni ile iitwayo alpha-Centauri (kwenye constellation ya Centaurus) ambayo iko umbali wa 4.4 light-years kutoka hapa (mwanga kutoka alpha-centauri huchukua miaka 4.4 kutufikia) ndio maana nyota zinaonekana ndogo sana ukifananisha na nyota yetu (jua) hapa duniani. Jua letu ni moja ya nyota ndogo sana. Kuna mizinga ya nyota kama Betelgeuse (kwenye Constellation ya Orion) ambayo ina ukubwa wa majua yetu 1,000 na iko umbali wa 643 light-years kutoka hapa.
Chanzo cha mwanga wa nyota.
Nyota zote (pamoja na jua letu) zinatoa mwanga, joto, na nishati nyingine kutokana na nguvu za nyuklia aina ya fusion. Fusion inachukua atom mbili za hewa ya hydrogen na kuziunganisha ili kutengeneza atom moja ya hewa ya Helium. Uzito wa zile atom mbili za hydrogen ni mkubwa kuliko uzito wa atom ya helium iliyotengenezwa. Hii tofauti ya uzito "m" haipotei bali hubadilika kuwa nishati (E) kufuatia kanuni ya mkulu Albert Einstein kuwa E=mC[SUP]2[/SUP]. Hii C ni ile kasi (speed) ya mwanga tuliyozungumzia hapo juu.
(Nguvu za nyuklia pia zinaweza kupatikana kwa kupasua (Fission) atom nzito kama za Urani (Uranium). Njia hii inatumika kwenye mitambo ya nyuklia inayozalisha umeme, mabomu, nk. Njia hii ya fission ni less efficient kuliko ile inayotokea kwenye jua kupitia fusion.)
Kwa kuwa nyota zote zina ujazo mkubwa sana wa hewa ya hydrogen, inachukua mabilioni ya miaka kuimaliza hii hydrogen. Kwa hiyo usiwe na wasiwasi, jua letu litaendelea kuwaka kwa mabilioni mengine ya miaka.
Rangi ya nyota nyingine kubadilika badilika (Nyekundu/bluu)
Nyota nyingi ziko moja moja, kama jua letu. Lakini kuna nyota nyingine zinakuwa pacha (mbili karibu karibu au Binary-stars). Zikiwa hivi basi zina-spin. Sisi hapa duniani tukiziangalia tunachoona ni matokeo ya hii spin (naomba mtu anisaidie maana ya spin).
Wakati moja ya hizi nyota ikiwa inakuja kwetu mwanga wake unaonekana kama una wave-length fupi (wave-length ya rangi ya bluu.) Ile nyota inayo tukimbia mwanga wake unaonekana kama una wave-length ndefu (wave-length ya rangi nyekundu). Hali hii inafanya tuone nyota ina-twinkle na rangi mbili, Nyekundu na bluu . Hii inajulikana kama Doppler-effect iliyogunduliwa na mwanasayansi Christian Doppler mwaka 1842 alipowasilisha mada yake kwenye kongamano huko Prague kuhusu hizi binary-stars na rangi zake (alikuwa ni Astro-Physicist Kutoka Austria).
Nawasilisha.
I am sorry if this is an overkill.
hypothetical wishes.except Green star for family planning.stars are wishes
hypothetical wishes.except Green star for family planning.