Ufahamu kuhusu nyota za angani

Thanks mkuu.
 

I would like to update this 2007 post of mine as follows:

At present, the closet known galaxy to the Milky Way is the Canis Major Dwarf Galaxy, a.k.a the Canis Major Overdensity. This stellar formation is about 42,000 light years from the galactic center, and a mere 25,000 light years from our Solar System
However, our nearest neighbour Spiral galaxy remains to be the Andomeda galaxy,positioned at a distance of about 2.537 million light years from our own galaxy
 
Malizia story yako....kuna kitu inaitwa nyota ya jaa/Jah...yenye bahati. Ukiamka usiku iko tofauti na nyingine, ukiigundua basi inasemekana chochote utakachoomba utakipata interms of wealth.
... Nyota ya Jaha ni Haley Comet ambayo hupita duniani kila baada ya miaka 75, kama sijakosea sana, kwa hiyo kuonekana kwake ni vigumu sana maana hutumia kama siku Saba tu kukatisha Anga la dunia kwa maana hiyo ikipita kama una miaka 20 kwenda juu ni vigumu sana kuja kuiona tena katika Uhai wako!
Mara ya mwisho kupita hapa duniani ilikuwa ni mwaka 1986 na inatazamiwa kupita tena anga la dunia yetu hii miaka AROBAINI ijayo!!!
Unaweza ukapata picha ya ukubwa wa dunia ukifikiria tu kwamba toka ilipokatisha eneo hili la anga ya dunia miaka THELATHINI iliyopita nyota hii inaendelea kupuyanga kwa kasi ya kutisha, na itaendelea kufanya hivyo kwa miaka AROBAINI ijayo, katika hapo nyota hiyo ambayo njia yake sio ya mviringo kuinzunguka dunia bali ipo parable kama yai...itafika mwisho wa parable yake na kupinda kona kurejea duniani ambapi itapita karibu nasi usawa wa nyota nyingine miaka AROBAINI ijayo!!
Nilibahatisha kuiona mwaka 1986 nikiwa pale nyumbani Tanga kwa wiki nzima wakati ikikatisha duniani. Nikiwa na miaka 27, kwa maana hiyo sitegemei kuiona tena wakati ikikatisha tena anga hili mwaka 2056..miaka 75 baadaye, japo miaka 36 imeishapita na imebaki miaka kama 40 hivi...!!! Hiyo nyota ya Jaha, Haley's Comet. Una nafasi moja tu ya kuiona katika maisha yako yote!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapa narecomend series ya manifest ... Wadau wazidi kuelewa zaidi kuhusu Time Travel ....
 
Habari wakuu, kwa idhini yenu naomba kuufufua uzi huu lakini naona huzuni nikicheki last seen ya mkuu Kifyatu na pia neo1 zinaashiria kukosekana muda mrefu hapa jukwaani.

yonga @

vinginevyo tungejadili mengi kwa uzuri zaidi na ziada ya elimu.
 
Je black hole inapomeza nyota humeza na sayari zake zote zingukayo hiyo nyota?
 
Yeah is the biggest star, and it produce its own light and heat.. sema sasa jua halisogea (halifanyi movement) lakini nyota zingine zinatembea angani pamoja na vimondo(comets)
Mitaala ibadilishwe tu!!
 
Ivi kumbe wale waliochora Solar sytem na kutuambia jua ni biggest atom wametudanganya!
Kwanza toa neno atom hapo halihusiki kabisa na halimaanishi chochote kwenye mada unayoizungumzia, pili once ukisema solar system maana yake mfumo wa jua(solar=jua) hivo jua ndilo kubwa kuliko sayari ambalo ndizo zinalizunguka jua(star) lakini unapaswa kujua kuwa kuna mifumo ya jua mingi sana yaani billions of solar systems in the universe hivo kuna majua makubwa kuliko hili letu. Sijua kama umeelewa hii concept.
 
Malizia story yako....kuna kitu inaitwa nyota ya jaa/Jah...yenye bahati. Ukiamka usiku iko tofauti na nyingine, ukiigundua basi inasemekana chochote utakachoomba utakipata interms of wealth.
Leo nitaamka usiku lazima...iwe kweli au si kweli
 
kwahiyo sisi tupo ndani ya nyota dunia??????
hapa sayansi imeongopa
mbna jua lipo mbali kabisa mkuuuuuuu
Wanaposema dunia ipo ndani ya nyota(jua) maana yake ipo kwenye mfumo wa hiyo nyota(jua) kwa lugha ya kigeni wanasema solar system, epuka kutumia neno uongo kwenye mambo ambayo huyaelewi ama umeelekezwa lakini umeshindwa kuelewa.
 
Kwanza kabisa unatakiwa kujua nini maaa ya mbingu
 
What if Mbingu=universe, hapo vipi? Je umejaribu kufikiri hivi?
 
Naweka kambi hapa kuna meng ya kujifunza.
 
NYOTA ni kama jua lakini ziko mbali sana na dunia kushinda jua.NYOta ni kubwa kushinda jua.
Umenena vyema dunia inaingia mara milioni moja kwa jua na nyota ni kubwa kuliko jua imagine huo kubwa na inasemekana zinatoa joto ndio maana jua wanasema ni nyota linashare features na nyota nyingine
 
Thank u !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…