Ufahamu kuhusu nyota za angani

Ufahamu kuhusu nyota za angani

Mpaka sasa wanasayansi hawajagundua sehemu yeyote ile yenye uhai. Lakini hii ni kwa muda tu. Naamini kabisa sisi sio viumbe pekee katika huu ulimwengu (universe) wetu.
Space X wametengeneza chombo kinachoitwa nanocraft kinachotumia technolojia ya lesser ambacho kitasafiri kuichunguza Alpha safari yaka itachukua karibia miaka 20 inasemekana technolojia ya lesser INA speed 20% ya mwanga
 
Nyota zinajizalishia mwanga zenyewe bila kutegemea kutoka kwenye biggest star[ Sun]. Kila nyota inazungukwa na sayari nyingi tu. Kwa sisi galaxy yetu inaitwa milky way galaxy ambapo ndipo inapopatikana sayari yetu ya dunia.
Kiufupi kuna billions of stars na kupelekea kuwepo kwa billions of billions of planets. Zingine ziko kwenye galaxy za mbali ambapo kuzifikia itamchukua binadamu light years [ miaka isiyohesabika/billion of years]. Na nyota zingine hatuwezi kuziona kwa macho bila msaada wa telescope.
Ni kweli zingine zinazooneka juu ni setelite.



si kweli kwamba kila nyota inazungukwa na sayari....zipo nyota nyingi sana zisizo na sayari kuliko zenye sayari.

light years tafsiri yake si bilioni of years, light years ni muda ambao mwanga husafiri toka kwenye chanzo chake mpaka kutufikia. kwaiyo, 1 light year, maana yake ni kamba, mwanga umetumia mwaka mmoja toka kwenye chanzo mpaka kutufikia. mwanga hutumia dakika 8 kusafiri toka kwenye jua na kutufikia...kwaiyo jua tunaliliona sasa, ni ndivyo lilivyokiwa dakika nane zilizopita.

kuna nyota zilizombali sana, ambazo bado zinaonekana angani, ila kiuhalisia hazipo tena ulimwenguni, zilishakufa kitambo, ila zinaonekana maana ndivo zilivyokuwa miaka milion kadhaa iliyopita na mwanga wake wa enzi izo ndio unatufikia sisi hizi sasa.

kwenye miaka ya sabini, kuna supernova ilitokea, nyota moja kulipuka na kutoa mwanga mkali sana. tukio hili lilinaswa na cameras za watafiti wanyota wa kipindi icho, nanilidumu kwa week kadhaa kabla mwanga haujapungua. inasemekana kwamba, tukio hilo la kulipuka kwa nyota lilitokea miaka billion kadhaa iliyopita, na mwanga wake kuifikia dunia kwenye miaka ya 70.

kingine, satelite ni neno pana sana, chochote kinachoizunguka dunia ni satelite, ila kuna natural satelites kama mwezi na man made satelites kama vinazopelekwa angani na NASA, warussi, wachina etc. hizi man made satelite ni ndogo sana haziwezekani kuonekana kwa macho ukiwa duniani. na mwanga unaokuwa reflected nazo ni mdogo sana kuweza kuwa visible duniani. ila kwa kutumia telescope unaweza kuziona, pia kuna satelite kubwa zaidi kama maabara kubwa ya utafiti angani, intanational space station, huonekana pia kwa darubini.
 
si kweli kwamba kila nyota inazungukwa na sayari....zipo nyota nyingi sana zisizo na sayari kuliko zenye sayari.

light years tafsiri yake si bilioni of years, light years ni muda ambao mwanga husafiri toka kwenye chanzo chake mpaka kutufikia. kwaiyo, 1 light year, maana yake ni kamba, mwanga umetumia mwaka mmoja toka kwenye chanzo mpaka kutufikia. mwanga hutumia dakika 8 kusafiri toka kwenye jua na kutufikia...kwaiyo jua tunaliliona sasa, ni ndivyo lilivyokiwa dakika nane zilizopita.

kuna nyota zilizombali sana, ambazo bado zinaonekana angani, ila kiuhalisia hazipo tena ulimwenguni, zilishakufa kitambo, ila zinaonekana maana ndivo zilivyokuwa miaka milion kadhaa iliyopita na mwanga wake wa enzi izo ndio unatufikia sisi hizi sasa.

kwenye miaka ya sabini, kuna supernova ilitokea, nyota moja kulipuka na kutoa mwanga mkali sana. tukio hili lilinaswa na cameras za watafiti wanyota wa kipindi icho, nanilidumu kwa week kadhaa kabla mwanga haujapungua. inasemekana kwamba, tukio hilo la kulipuka kwa nyota lilitokea miaka billion kadhaa iliyopita, na mwanga wake kuifikia dunia kwenye miaka ya 70.

kingine, satelite ni neno pana sana, chochote kinachoizunguka dunia ni satelite, ila kuna natural satelites kama mwezi na man made satelites kama vinazopelekwa angani na NASA, warussi, wachina etc. hizi man made satelite ni ndogo sana haziwezekani kuonekana kwa macho ukiwa duniani. na mwanga unaokuwa reflected nazo ni mdogo sana kuweza kuwa visible duniani. ila kwa kutumia telescope unaweza kuziona, pia kuna satelite kubwa zaidi kama maabara kubwa ya utafiti angani, intanational space station, huonekana pia kwa darubini.
Umesomeka mkuu. Ahsante kwa mwendelezo
 
si kweli kwamba kila nyota inazungukwa na sayari....zipo nyota nyingi sana zisizo na sayari kuliko zenye sayari.

light years tafsiri yake si bilioni of years, light years ni muda ambao mwanga husafiri toka kwenye chanzo chake mpaka kutufikia. kwaiyo, 1 light year, maana yake ni kamba, mwanga umetumia mwaka mmoja toka kwenye chanzo mpaka kutufikia. mwanga hutumia dakika 8 kusafiri toka kwenye jua na kutufikia...kwaiyo jua tunaliliona sasa, ni ndivyo lilivyokiwa dakika nane zilizopita.

kuna nyota zilizombali sana, ambazo bado zinaonekana angani, ila kiuhalisia hazipo tena ulimwenguni, zilishakufa kitambo, ila zinaonekana maana ndivo zilivyokuwa miaka milion kadhaa iliyopita na mwanga wake wa enzi izo ndio unatufikia sisi hizi sasa.

kwenye miaka ya sabini, kuna supernova ilitokea, nyota moja kulipuka na kutoa mwanga mkali sana. tukio hili lilinaswa na cameras za watafiti wanyota wa kipindi icho, nanilidumu kwa week kadhaa kabla mwanga haujapungua. inasemekana kwamba, tukio hilo la kulipuka kwa nyota lilitokea miaka billion kadhaa iliyopita, na mwanga wake kuifikia dunia kwenye miaka ya 70.

kingine, satelite ni neno pana sana, chochote kinachoizunguka dunia ni satelite, ila kuna natural satelites kama mwezi na man made satelites kama vinazopelekwa angani na NASA, warussi, wachina etc. hizi man made satelite ni ndogo sana haziwezekani kuonekana kwa macho ukiwa duniani. na mwanga unaokuwa reflected nazo ni mdogo sana kuweza kuwa visible duniani. ila kwa kutumia telescope unaweza kuziona, pia kuna satelite kubwa zaidi kama maabara kubwa ya utafiti angani, intanational space station, huonekana pia kwa darubini.
uchambuzi yakinifu kabisa
 
Haya mambo yanafikirisha sana, embu tujiulize mwanadamu hupimaje ukubwa wa jua ambalo hata hajaota kulifikia achilia mbali nyota zingine zilizoko mbali zaidi?

Huu uumbaji ni wenye kufikirisha sana.
 
Naomba kuuliza.Kutokana na maendeleo ya sayansi technology Katika dunia ya Leo binadamu wametengeneza vyombo mbalimbali vya usafiri wa anga,baharini,nchi kavu,n.k.Lakini tumeshuhudia ajari Katika vyombo hivyo na kupelekea vifo na watu kupoteza viungo vyao.
Je,hizi sayari/magimba ambayo yanaelea angani yanaweza kugongana?na kama ynaweza kugongana ni athari gani inaweza kutokea?kama yamewahi kugongana kuna madhara ambayo yalifika hadi Katika dunia yetu?.Ni tahadhari gani tunaweza kuchukuwa..
 
Space X wametengeneza chombo kinachoitwa nanocraft kinachotumia technolojia ya lesser ambacho kitasafiri kuichunguza Alpha safari yaka itachukua karibia miaka 20 inasemekana technolojia ya lesser INA speed 20% ya mwanga
Mkuu kifaa hiki kitatumia nishati gani? Na lini kitaruka?
 
si kweli kwamba kila nyota inazungukwa na sayari....zipo nyota nyingi sana zisizo na sayari kuliko zenye sayari.

light years tafsiri yake si bilioni of years, light years ni muda ambao mwanga husafiri toka kwenye chanzo chake mpaka kutufikia. kwaiyo, 1 light year, maana yake ni kamba, mwanga umetumia mwaka mmoja toka kwenye chanzo mpaka kutufikia. mwanga hutumia dakika 8 kusafiri toka kwenye jua na kutufikia...kwaiyo jua tunaliliona sasa, ni ndivyo lilivyokiwa dakika nane zilizopita.

kuna nyota zilizombali sana, ambazo bado zinaonekana angani, ila kiuhalisia hazipo tena ulimwenguni, zilishakufa kitambo, ila zinaonekana maana ndivo zilivyokuwa miaka milion kadhaa iliyopita na mwanga wake wa enzi izo ndio unatufikia sisi hizi sasa.

kwenye miaka ya sabini, kuna supernova ilitokea, nyota moja kulipuka na kutoa mwanga mkali sana. tukio hili lilinaswa na cameras za watafiti wanyota wa kipindi icho, nanilidumu kwa week kadhaa kabla mwanga haujapungua. inasemekana kwamba, tukio hilo la kulipuka kwa nyota lilitokea miaka billion kadhaa iliyopita, na mwanga wake kuifikia dunia kwenye miaka ya 70.

kingine, satelite ni neno pana sana, chochote kinachoizunguka dunia ni satelite, ila kuna natural satelites kama mwezi na man made satelites kama vinazopelekwa angani na NASA, warussi, wachina etc. hizi man made satelite ni ndogo sana haziwezekani kuonekana kwa macho ukiwa duniani. na mwanga unaokuwa reflected nazo ni mdogo sana kuweza kuwa visible duniani. ila kwa kutumia telescope unaweza kuziona, pia kuna satelite kubwa zaidi kama maabara kubwa ya utafiti angani, intanational space station, huonekana pia kwa darubini.
Asante mkuu kwa maeelezo yako, kwa miaka hii ya karibuni kuna supernova yoyote ambayo wanasayansi wanataarifa nayo yaweza kutokea?
Hii nyota ya Sirius ndiyo inaaminika kuwa na mwanga mkali (brightest) kushinda nyota nyingine zilizo nje ya mfumo wa jua letu, nini kinaifanya nyota hii iwe hivyo?
 
Mkuu kifaa hiki kitatumia nishati gani? Na lini kitaruka?
Alpha centuary IPO umbali wa mail I trillion zaid ya 25. Chombo kama voyager kinaweza kutumia miaka 30000 mpaka kuifikia hiyo nyota.lakini chombo kilichopewa jina la Nanocraft chenye speed ya km million 100 kwa saa kitatumia miaka 20 tu kiifikia nyota ya alpha. Nanocraft itaendesha kwa nguvu za jua ambazo zinapatikana kutoka katika mwale wa lesser unaorushwa kutoka duniani. Mpango huu umepewa Nina LA STARSHOT na utagharimu dola mil 100 na unafadhiliwa na bilionea Yuri Milner na Mark Zucketberg. UmezinduliwaApril2016
 
Alpha centuary IPO umbali wa mail I trillion zaid ya 25. Chombo kama voyager kinaweza kutumia miaka 30000 mpaka kuifikia hiyo nyota.lakini chombo kilichopewa jina la Nanocraft chenye speed ya km million 100 kwa saa kitatumia miaka 20 tu kiifikia nyota ya alpha. Nanocraft itaendesha kwa nguvu za jua ambazo zinapatikana kutoka katika mwale wa lesser unaorushwa kutoka duniani. Mpango huu umepewa Nina LA STARSHOT na utagharimu dola mil 100 na unafadhiliwa na bilionea Yuri Milner na Mark Zucketberg. UmezinduliwaApril2016

sidhani kama kuna ukweli kwenye hii, huwezi kutumia mwanga wa jua kwa hii device kufanya kazi, kwan kinavyozidi kwenda mbali ndivyo mwanga wa jua hupungua na kifaa kukosa nguvu. ndo maana vyombo vya masafa marefu kama voyger ambacho kwa sasa kimeshafanikiwa kutoka nje ya mfumomwetu wa jua, kinatumia bettery kubwa zinazochargiwa na nguvu ya neuclear....

mfumo wa lesser utatumika tu katika kufanya mawasiliano kati ya device, na ground station na wala si kuendesha mifumo yake ya umeme..

kingine, sidhan kama kuna mbinu moya iliyo practical ya kufanya icho kifaa kitembee angani kama hakitumii rocket engine....so far rocket engine or rocket nossels ndo njia pekee ya kusafirisha vyombo kwenye outerspace...hakuna mbinu mpya mpaka sasa iliyo practical ukiachana na science fiction...kwaiyo swala la kuifikia iyo nyata kwa nanocraft ni fiction tu.
 
Naomba kuuliza.Kutokana na maendeleo ya sayansi technology Katika dunia ya Leo binadamu wametengeneza vyombo mbalimbali vya usafiri wa anga,baharini,nchi kavu,n.k.Lakini tumeshuhudia ajari Katika vyombo hivyo na kupelekea vifo na watu kupoteza viungo vyao.
Je,hizi sayari/magimba ambayo yanaelea angani yanaweza kugongana?na kama ynaweza kugongana ni athari gani inaweza kutokea?kama yamewahi kugongana kuna madhara ambayo yalifika hadi Katika dunia yetu?.Ni tahadhari gani tunaweza kuchukuwa..

kugongana kwa haya maumbo ya angani ni jambo la kawaida sana, japo yanatokea kwa nadra sana. mfano, kimondo kilichoanguka mbozi au kwenye jangwa la arizona, huu ni mfano wa kugongana kati ya dunia na maumbo haya ya angani. na kwa siku ni zaidi ya vimondo milioni moja kukaribia kugongana na dunia ila msuguano katinya maumbo haya na tabaka la hewa la dunia huviyeyusha na kuwa vumbi hali vikiwa angani.

kati ya theories pia zinazoonesha adhari za kugongana kwa maumbo haya ni pamoja na ile inayoelezea kupotea kwa maisha ya dinosaurs mamilioni ya miaka iliyopita. watafiti wanasema moja ya sababu ya kupotea kwa maisha ya hawa viumbe ni pamoja na hilo janga lililoikumba dunia wakati huo...

pia baadhi ya theories, zinasema mwezi wetu uliundwa kutokana na collision pia kati ya dunia na maumbo ya angani. kipande kilichomeguka baada ya ajali iyo ndicho kiliumba mwezi.
 
kugongana kwa haya maumbo ya angani ni jambo la kawaida sana, japo yanatokea kwa nadra sana. mfano, kimondo kilichoanguka mbozi au kwenye jangwa la arizona, huu ni mfano wa kugongana kati ya dunia na maumbo haya ya angani. na kwa siku ni zaidi ya vimondo milioni moja kukaribia kugongana na dunia ila msuguano katinya maumbo haya na tabaka la hewa la dunia huviyeyusha na kuwa vumbi hali vikiwa angani.

kati ya theories pia zinazoonesha adhari za kugongana kwa maumbo haya ni pamoja na ile inayoelezea kupotea kwa maisha ya dinosaurs mamilioni ya miaka iliyopita. watafiti wanasema moja ya sababu ya kupotea kwa maisha ya hawa viumbe ni pamoja na hilo janga lililoikumba dunia wakati huo...

pia baadhi ya theories, zinasema mwezi wetu uliundwa kutokana na collision pia kati ya dunia na maumbo ya angani. kipande kilichomeguka baada ya ajali iyo ndicho kiliumba mwezi.
We unaamini hizo theory, hivi ni kweli kila yanapo gongana basi yanakuwa vumbi mbona dunia yetu haiwi vumbi kwanini?najifunza
 
We unaamini hizo theory, hivi ni kweli kila yanapo gongana basi yanakuwa vumbi mbona dunia yetu haiwi vumbi kwanini?najifunza

chief hii sio theory, ni fact.....mara nyingi miamba hii ikigongana hutengeneza vipisi vidogovidogo vya miamba angani....na baadhi hupelekea maumbo haya kubadili hata mwelekeo wake.


sasa inapokuja kwenye maumbo haya kugongana na dunia ndipo nikasema, dunia inamfumo wake wa kujikinga. mfumo huu ni kuunguza miamba hii ka msuguano mkali pale inapoingia kwenye anga ya dunia. Fatilia kwann vimondo huungua na kutoa mkia mrefu kisha kupotea kabla havijagusa uso wa dunia..ni kwamba vimondo huunguzwa na msuguano wa hewa ya dunia na kuwa vumbi tupu kabla havijafika ardhini..
 
Asante mkuu Ginner kwa muendelezo wa thread yetu pendwa. Pia asante kwa masahihisho machache uliyoyafanya, naimani wote tupo hapa kujifunza. Much appreciations mkuu
 
Ufaham kuhusu nyoya angani!!!.
Kimya saaana jukwaa hili.
Kifyatu umepotea kabisa ???

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wapendwa salama, hii ndo mada/somo ya kujadili hapa si zile blabla zisizo na ujazo ktk AKILI.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Kifyatu na wengine tuendeleeni na mada yetu hii pendwa ya kujifunza, nilitamani sana kujua kuhusu MULTIVERSE ambako tulikuwa tunaelekea. Vilevile ingependeza kama Mods wangeiwekea mada hii sticker ionekane muda wote maana yawezekana kuna wengi wanajua vitu hivi ila hawana pa kuvitolea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa hii mada inapoa sababu haionekani kwa watu wengi.. Kwa wale wapenzi wa muvi mivi za hivi vitu vya space and time travel tafuteni series kama dark matter na the expanse.. Japokuwa ni muvi tu ila zina kupa idea flani hivi ya hizi vitu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom