Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,097
Ukichunguza utakuta Huyu ni mwalimu anayefundisha taifa la kesho.
Dalaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukichunguza utakuta Huyu ni mwalimu anayefundisha taifa la kesho.
Mkuu jua ndio nyota kubwa kuliko zote. So a sun is a star too
Msaada zaidi: just google ''Sun"
Mkuu hapo umekosea kabisaaa,jua siyo nyota kubwa japo kwa macho inaonekana kama kubwa bali ni nyota iliyokaribu na DuniaMkuu jua ndio nyota kubwa kuliko zote. So a sun is a star too
Msaada zaidi: just google ''Sun"
nyota ni ndogo sana kuliko dunia, ni kama mwezi. zinategemea mwanga wa jua. na nyota ulizoona zinazobadilika kutoka rangi kutokea ya blue kwenda ya kijani ni kutokana na kuzibwa na miti na bahari .na ukiona nyekundu ujue hapo kuna radi na mvua inanyesha.
nyota ni ndogo sana kuliko dunia, ni kama mwezi. zinategemea mwanga wa jua. na nyota ulizoona zinazobadilika kutoka rangi kutokea ya blue kwenda ya kijani ni kutokana na kuzibwa na miti na bahari .na ukiona nyekundu ujue hapo kuna radi na mvua inanyesha.
Baadhi ya nyota unazoziona si zote ni nyota zingine ni sayari,ukiamka alfajiri sana kuanzia saa 10 hadi saa 12,kuna nyota huwa zinang'aa sana na kubwa mno kuliko zingine zote,huwa hazizidi mbili,zile ni sayari,hata dunia tuliyomo nayo ni sayari,maajabu ni kwamba ukienda kwenye
nyota ni ndogo sana kuliko dunia, ni kama mwezi. zinategemea mwanga wa jua. na nyota ulizoona zinazobadilika kutoka rangi kutokea ya blue kwenda ya kijani ni kutokana na kuzibwa na miti na bahari .na ukiona nyekundu ujue hapo kuna radi na mvua inanyesha.
Usikute nae huyu kapita chuo kikuu😱
nyota ni ndogo sana kuliko dunia, ni kama mwezi. zinategemea mwanga wa jua. na nyota ulizoona zinazobadilika kutoka rangi kutokea ya blue kwenda ya kijani ni kutokana na kuzibwa na miti na bahari .na ukiona nyekundu ujue hapo kuna radi na mvua inanyesha.
Nyota hazina umbo maalumu .
Usikute nae huyu kapita chuo kikuu😱
new to me copy..

WAKUU,Napoangaliaga angani wakati wa usiku huwa naona nyota zingine ambazo hazina mwanga wa rangi moja,yan inabadilika badilika mara nyekundu,kijan,bluu.
Karibuni wadau wa Sayansi ya anga