Ufahamu kuhusu vyeo vya Kamandi ya Jeshi la Wanamaji nchini

Ufahamu kuhusu vyeo vya Kamandi ya Jeshi la Wanamaji nchini

Mateso chakubanga

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2021
Posts
587
Reaction score
800
Jana tarehe 29.5.2021 katika kituo cha luninga TBC niliona kikosi cha Jeshi la wananchi wa Tanzania kamandi ya wanamaji akiongea Mkuu wao Afande Makanzo katika majukumu yao, lakini begani alivaa alama fulani kwa kweli sizijui kabisa lakini aliandikwa Rear Admiral Makanzo wajameni hiki ni cheo gani na kinafanana na cheo gani vya kamandi nyingine kama nchi kavu,na Anga? au vya majeshi mengine mwenye uelewa tafadhali.
 
Wajameni,Jana tarehe 29.5.2021 katika kituo cha luninga TBC niliona kikosi cha Jeshi la wananchi wa Tanzania kamandi ya wanamaji akiongea Mkuu wao Afande Makanzo katika majukumu yao, lakini begani alivaa alama fulani kwa kweli sizijui kabisa lakini aliandikwa Rear Admiral Makanzo wajameni hiki ni cheo gani na kinafanana na cheo gani vya kamandi nyingine kama nchi kavu,na Anga? au vya majeshi mengine mwenye uelewa tafadhali.
Ni sawa na meja jenerali
 
Makanzo amehamishwa sasa atakuja mwingine ila ni Maj Gen huyo ....nadhani amepewa ubalozi anaondoka soon....vyeo vimebadilika sana zile insignia hasa kuanzia Capt ...Major ....kwenda juu....ziko tofauti kidogo na kamandi zingine
 
Makanzo amehamishwa sasa atakuja mwingine ila ni Maj Gen huyo ....nadhani amepewa ubalozi anaondoka soon....vyeo vimebadilika sana zile insignia hasa kuanzia Capt ...Major ....kwenda juu....ziko tofauti kidogo na kamandi zingine
Sawa kiongozi weka vipicha maana kwa bahati mbaya au nzuri naweza kukutana nao nikajua sio Jeshi letu
 
Kuna vyeo pia niliviona katika Jeshi la Uhifadhi Tanzania ni jipya sana
 
IMG-20210513-WA0005.jpg
 
Jana tarehe 29.5.2021 katika kituo cha luninga TBC niliona kikosi cha Jeshi la wananchi wa Tanzania kamandi ya wanamaji akiongea Mkuu wao Afande Makanzo katika majukumu yao, lakini begani alivaa alama fulani kwa kweli sizijui kabisa lakini aliandikwa Rear Admiral Makanzo wajameni hiki ni cheo gani na kinafanana na cheo gani vya kamandi nyingine kama nchi kavu,na Anga? au vya majeshi mengine mwenye uelewa tafadhali.
Rear admiral, kwa vyeo vya nchi kavu ni sawa na Meja Jenerali.
 
Back
Top Bottom