Ufahamu mfuko wa uwekezaji UTT

Ivi mtu anaweza ishi kwakutumia hatifungani bila kufanya kazi yoyote ile?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiuhalisia vipande unavyoiuzia tena utt haviuzwi kwa mwingine. Hivyo hakuna kusubiri eti viuzwe ndio upate fedha yako.
Ukizihitaji unazipata kwa utaratibu maalumu,,wa kujaza fomu na vipande vyako kuuzwa kwa mwingine,,Halafu ndani ya siku 5 za kazi unapewa mzigo wako..Iko hivyo kama sikosei

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nikawekeza kwenye mfuko wa DESI ikabaki week moja nivune serilkali ikafanya yake ndo basi tena kwa sasa siwezi kukuelewa mambo ya uwekezaji japo sina hela zenyewe

UTT unaweza wekeza kuanzia elfu 8 kwa mwezi. Kwenye uwekezaji muda ndio kitu muhimu kuliko ukubwa wa mtaji. Mwaka 2005 kipande kimoja cha mfuko wa UMOJA kilikuwa kinauzwa kwa 103.77 tzs lakini kwa rekodi za jana kipande hicho kina bei ya 623.79 tzs.

Hii inamaanisha kama ungewekeza milioni 1 mwaka 2005 kwa ajili ya mwanao wa miaka mitano kwenye mfuko wa UMOJA leo ungempatia mwanao huyo milioni 6 kama mtaji. Ikizingatiwa hapo kati ulikuwa huongezi uwekezaji.

UTT ipo chini ya wizara ya fedha Net Asset Value | UTTAMIS - Asset Management and Investor Services Plc
 
iseee mwendo wa kinyonga
 
What about it?

Kwa wanaoweza kufanya biashara mbalimbali kwa mafanikio, returns probably zitakuwa kubwa na kuzidi kabisa mapato ya hisa, utt, bonds nk. Inflation huko itashindwa. Lakini pia risk huko ni kubwa zaidi - hatari ya kupoteza mtaji ni kubwa zaidi.

Kwa tusioziweza biashara kwa sababu mbalimbali, au kwa wanaoogopa risk za biashara, kuweka akiba zao utt au katika hatifungani ni very logical. Very low risk.
What about inflation?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Asante. Mimi siyo mtaalam wa masuala ya fedha. Nilitamani nifahamishwe kuhusu mlinganyo huu:

Returns za mfuko+Pesa zilizowekwa vs Pesa zilizowekwa+Inflation.
 
Uwekezaji wa hisa kwenye hii awamu ya tano ni sawa na kuchoma pesa.

Awamu hii mauzo ya hisa yalishuka kwa kiwango ambacho hakija wahi onekana dokea DSE ianze.



Sent using Jamii Forums mobile app

Bei zikishuka si ni ndio wakati bora wa kununua hisa?

"Soko la hisa ndilo soko pekee ambalo wanunuzi hulikimbia bei ikishuka." - simkumbuki.
 

UTT ni mfano mzuri sana wa miradi mizuri ya serikali kusaidia wananchi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…