Uwe na mtaji mkubwa.Ivi mtu anaweza ishi kwakutumia hatifungani bila kufanya kazi yoyote ile?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante. Nilitamani nifahamishwe kuhusu mlinganyo huu:
Returns za mfuko+Pesa zilizowekwa vs Pesa zilizowekwa+Inflation.
CRDB kvp? Yani wao ni mawakala wa hisa izo au wanauza hisa kwny kampun yaoAaah sema kununua hisa unatumia mawakala wa Soko la hisa, wengi wapo dar but hata kupitia Crdb bank unaweza nunua
Habari wana Jf.
Hapa Tanzania Kuna fursa za uwekezaji katika Soko letu la hisa ( DSE) pamoja na UTT AMIS, lakini watanzani wengi hawajitokezi katika kufanya uwekezaji huo?
Je, unafikiri ni sababu zipi inapelekea hali hii? Na mambo gani yafanyike ili kuongeza wawekezaji katika Soko la hisa na UTT AMIS.
YOUNG INVESTORS FORUM- 3
Ushauri nnaokupa, hakikisha unawekeza kwenye kitu unachojua na ujue kwamba tuko kwenye awamu ya tano, na unaona hali halisi mtaani.
ThanksEe naam. Iwapo una hatifungani za thamani kubwa, na hasa za 20 yr maturity, kwa hakika utapata kipato safi.
Issue ni upate hiyo fedha ya kutosha kuwekeza huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa....dunia inaenda kasi sana mkuu.,biashara zimeshabadilika namna ya kuendeshwa...ndiyo maana Leo unaona kuna Watu wanaingiza pesa ndefu tu kupitia YouTube channel,Instagram n.k.
Tukubali mabadiliko Watanzania hasa kwenye kufanya biashara na uwekezaji kwa mbinu za kisasa,sayansi na technolojia tuitumie vyema itupe manufaa.
Leo mmiliki Wa Facebook,amazon,alibaba,n.k biashara zao sio za kubeba magunia yakaonekana kuwa hayo hapo yanauzwa,..ila.ndo matajiri wa dunia ya leo.(Mimi na wewe tunayekomaa na kubeba gunia mia za mahindi mpanda hadi.kahama tuko wapi? Mwaka wa kumi Leo...hahahaa...utani bhana)
Kinachowafanya wazidi kupaa juu kiuchumi hao matajiri ni kumiliki hisa tu za makapuni mbalimbali duniani,pia kupitia biashara zao nao wanauza hisa za makapuni yao ili kuongeza mitaji...hatimaye wanazidi kuwa matajiri.
Unaweza ukalima,ukawa mfugaji,mchimba madini,sijui msanii maarufu,nk.ila.usipojitahidi kuwekeza kwenye biashara mbalimbali hasa hizi mnazosema za kileo...(ingawa zipo tangu enzi) usitawi wako kimafanikio unaweza ukawa na changamoto zaidi kuliko wale Watu wanaoenda na mabadiliko ya kibiashara.
Hivyo basi UTT,ipo ni uwekezaji mzuri kwa Watu wenye malengo ya muda mrefu,na malengo ya kati,pia badala ya UTT,kuna hisa, hatifungani.
Pia biashara online zipo nyingi ambazo unaweza kuzitafuta mwenyewe na ukawekeza muda na akili yako huko na utapiga.pesa.
Hivi unadhani Millard ayo anapokuomba u subscribe YouTube yake,au u follow pages zake za kijamii unafiri hapati chochote?wee... thubutu yako. Lazima wa Tanzania tuamkie,tubadilike tuwe wa kisasa hasa Kwenye biashara za kisasa hizi nasi tunufaike.
Tuache ukale.
Nitag huko boss.....
Nimeuona huo uzi mkuuu!! Thanks
Hahahaa....dunia inaenda kasi sana mkuu.,biashara zimeshabadilika namna ya kuendeshwa...ndiyo maana Leo unaona kuna Watu wanaingiza pesa ndefu tu kupitia YouTube channel,Instagram n.k.kaifanyie bisahara, achana na huo upumbavu was wizi wa kileo
Umetisha bro!!🤝🤝🤝Hahahaa....dunia inaenda kasi sana mkuu.,biashara zimeshabadilika namna ya kuendeshwa...ndiyo maana Leo unaona kuna Watu wanaingiza pesa ndefu tu kupitia YouTube channel,Instagram n.k.
Tukubali mabadiliko Watanzania hasa kwenye kufanya biashara na uwekezaji kwa mbinu za kisasa,sayansi na technolojia tuitumie vyema itupe manufaa.
Leo mmiliki Wa Facebook,amazon,alibaba,n.k biashara zao sio za kubeba magunia yakaonekana kuwa hayo hapo yanauzwa,..ila.ndo matajiri wa dunia ya leo.(Mimi na wewe tunayekomaa na kubeba gunia mia za mahindi mpanda hadi.kahama tuko wapi? Mwaka wa kumi Leo...hahahaa...utani bhana)
Kinachowafanya wazidi kupaa juu kiuchumi hao matajiri ni kumiliki hisa tu za makapuni mbalimbali duniani,pia kupitia biashara zao nao wanauza hisa za makapuni yao ili kuongeza mitaji...hatimaye wanazidi kuwa matajiri.
Unaweza ukalima,ukawa mfugaji,mchimba madini,sijui msanii maarufu,nk.ila.usipojitahidi kuwekeza kwenye biashara mbalimbali hasa hizi mnazosema za kileo...(ingawa zipo tangu enzi) usitawi wako kimafanikio unaweza ukawa na changamoto zaidi kuliko wale Watu wanaoenda na mabadiliko ya kibiashara.
Hivyo basi UTT,ipo ni uwekezaji mzuri kwa Watu wenye malengo ya muda mrefu,na malengo ya kati,pia badala ya UTT,kuna hisa, hatifungani.
Pia biashara online zipo nyingi ambazo unaweza kuzitafuta mwenyewe na ukawekeza muda na akili yako huko na utapiga.pesa.
Hivi unadhani Millard ayo anapokuomba u subscribe YouTube yake,au u follow pages zake za kijamii unafiri hapati chochote?wee... thubutu yako. Lazima wa Tanzania tuamkie,tubadilike tuwe wa kisasa hasa Kwenye biashara za kisasa hizi nasi tunufaike.
Tuache ukale.