Kwa nyongeza tu Lebanon ndo alipotoka mwanamke katili Jezebel mke wa Ahab kwenye Biblia.
Mwanama huyu aliogopwa kwa Ukatili na alileta miungu yake ya Baal Israel. Alimpelekesha sana Nabii Elijah.
Alitokea mji wa Sidon kusin mwa Lebanon sasa hivi ngome kuu ya Hezbollah.
Lebanese walijulikana zamani kama Phoenician wafanyabiashara wakubwa sana long distance traders.
Kivutio cha Lebanon ni miti aina ya Cedar. Hii miti ni mingi sana Lebanon enzi na enzi na ni nembo yao ya taifa hata kwenye benders yao ipo.
View attachment 2165134View attachment 2165135