Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Daah huyo baharia wa Keko nini tulikua tunamwita Mzee Said baadae alikua mfupi anaongea balaa..Unanikumumbusha baharia wa zamani sana uswazi kwetu akiitwa Said Beirut.
Alikuwa akituonyesha picha zake na wanawake warembo sana wa Syria.
Kumbe mkardayo uko nondo kiasi hiki?Delilah alitokea the valley of Sorek Gazza. Na ndie mwanamke pekee wa Samson aliotembea nao ametajwa jina lake. Wengine wote hawajatajwa majina yao.
She was a Phillistine from Sorek valley Gazza strip.
Kwa hiyo wafilisti ndo walebanese?Na pia Lebanon ndipo alipotoka mwanamke mrembo aitwaye Delilah, aliyesababisha Samson kunyolewa nywele, kitendo kilichopelekea kuishiwa nguvu na hatimaye kukamatwa na Wafilisti.
Mkaldayo kwa nondo hizi tufungue kanisa Sasa.Kwa nyongeza tu Lebanon ndo alipotoka mwanamke katili Jezebel mke wa Ahab kwenye Biblia.
Mwanama huyu aliogopwa kwa Ukatili na alileta miungu yake ya Baal Israel. Alimpelekesha sana Nabii Elijah.
Alitokea mji wa Sidon kusin mwa Lebanon sasa hivi ngome kuu ya Hezbollah.
Lebanese walijulikana zamani kama Phoenician wafanyabiashara wakubwa sana long distance traders.
Kivutio cha Lebanon ni miti aina ya Cedar. Hii miti ni mingi sana Lebanon enzi na enzi na ni nembo yao ya taifa hata kwenye benders yao ipo.
View attachment 2165134View attachment 2165135
Saa ingine huku tunajibu tu kuona if someone can challenge.Dada Hekalu la Sulemani si lilikuwepo hapo uliopo msikiti wa Al Aqsa au Dome of Rock kwenye mlima Moria maana lilibomolewa na Nebukadineza ila lilikuja simamishwa mara ya pili na akina Zerubabeli na Yoshua Kuhani ambalo Yesu alilikuta kisha kuja kuharibiwa na Warumi au mimi sijakuelewa?
Ona jf walicho kuvalisha leo πππDelilah alitokea the valley of Sorek Gazza. Na ndie mwanamke pekee wa Samson aliotembea nao ametajwa jina lake. Wengine wote hawajatajwa majina yao.
She was a Phillistine from Sorek valley Gazza strip.