peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kuna shida gani ? Ndio wameona ina airwortnrss kwa Rais.....abiria 230Mimi ni mtanzania mlipa Kodi.
Ninaomba wenye kuweza kunielewesha jambo hili.
Je ndege iliyo tumika kumpeleka Rais Samia Africa ya kusini kwenda kwenye uapisho wa Ramaphosa aina ya Boeing 787 inabeba abiria wangapi?
Nikipata jibu nitaulisa swali la pili?
Rais aliondoka na abiria 230 au alikuwa na abiria kumi angani?Kuna shida gani ? Ndio wameona ina airwortnrss kwa Rais.....abiria 230
Waulize wa buku 7 watakujibuuuuRais aliondoka na abiria 230 au alikuwa na abiria kumi angani?
2. Hii ndio ncho maskini ?
serikali ilikodi!Mimi ni mtanzania mlipa Kodi.
Ninaomba wenye kuweza kunielewesha jambo hili.
Je ndege iliyo tumika kumpeleka Rais Samia Africa ya kusini kwenda kwenye uapisho wa Ramaphosa aina ya Boeing 787 inabeba abiria wangapi?
Nikipata jibu nitauliza swali la pili?
Uliiona control number ya malipo hayoserikali ilikodi!
Unaitaka!Uliiona control number ya malipo hayo
Licha ya kuitaka malipo ya serikali sio siriUnaitaka!
What is your point?Mimi ni mtanzania mlipa Kodi.
Ninaomba wenye kuweza kunielewesha jambo hili.
Je ndege iliyo tumika kumpeleka Rais Samia Africa ya kusini kwenda kwenye uapisho wa Ramaphosa aina ya Boeing 787 inabeba abiria wangapi?
Nikipata jibu nitauliza swali la pili?
Helicopter inamfaa huyo bibiLinabeba watu kama 300 hivi
Ila ni sawa akipanda hilo kuliko helicopter
Matumizi mabaya ya Kodi za watanganyika!What is your point?
Kama ishu ni gharama serikali yako haina cha kupoteza.Mimi ni mtanzania mlipa Kodi.
Ninaomba wenye kuweza kunielewesha jambo hili.
Je ndege iliyo tumika kumpeleka Rais Samia Africa ya kusini kwenda kwenye uapisho wa Ramaphosa aina ya Boeing 787 inabeba abiria wangapi?
Nikipata jibu nitauliza swali la pili?
WAULIZE WAKURUGENZI WA MABASI YA UDART "BASI MOJA KUTOKA MBEZI MWISHO MPAKA POSTA LINA JAZA WATU WANGAPI"Mimi ni mtanzania mlipa Kodi.
Ninaomba wenye kuweza kunielewesha jambo hili.
Je ndege iliyo tumika kumpeleka Rais Samia Africa ya kusini kwenda kwenye uapisho wa Ramaphosa aina ya Boeing 787 inabeba abiria wangapi?
Nikipata jibu nitauliza swali la pili?
Nikipata jibu?WAULIZE WAKURUGENZI WA MABASI YA UDART "BASI MOJA KUTOKA MBEZI MWISHO MPAKA POSTA LINA JAZA WATU WANGAPI"