Ufahamu; Ndege aliyotumia Rais kwenda SA kwenye uapisho wa Ramaphosa ,Boeing 787 inabeba abiria wangapi?

Ufahamu; Ndege aliyotumia Rais kwenda SA kwenye uapisho wa Ramaphosa ,Boeing 787 inabeba abiria wangapi?

Rais aliondoka na abiria 230 au alikuwa na abiria kumi angani?
2. Hii ndio ncho maskini ?

hata kama ni abiria 1 au 0 maadamu wamelipia full gharama sioni ratizo, ila kama ilienda bure basi yaani wamiliki wa ndege hawakulipwa kuna tatizo …
 
Unakumbuka watawala wa shithole walipandishwa chai maharage pale London kwenye msiba wa queen 👑
 
Matumizi mabaya ya Kodi za watanganyika!
Would it be cheaper kupanda ya wazungu kama ruto alivyofanya au kuchukua commercial yenye connection ya Nairobi au Addis?

Cost yake kwa direct flight na entourage yake ni ngapi ? Bar all the connections and other fees?
 
Mimi ni mtanzania mlipa Kodi.

Ninaomba wenye kuweza kunielewesha jambo hili.

Je ndege iliyo tumika kumpeleka Rais Samia Africa ya kusini kwenda kwenye uapisho wa Ramaphosa aina ya Boeing 787 inabeba abiria wangapi?

Nikipata jibu nitauliza swali la pili?
Siyo 787 ni 737-9 max, huwa anaitumia kama anasafiri na delegation kubwa, kwani G550 ni private jet yake inayombeba yeye na wasaidizi wake muhimu tu.
 
Natumaini alipanda ndege ya ATCL VIP class ikiwa na abiria wengine au alipanda mwenyewe na watu wachache?.
 
Mimi ni mtanzania mlipa Kodi.

Ninaomba wenye kuweza kunielewesha jambo hili.

Je ndege iliyo tumika kumpeleka Rais Samia Africa ya kusini kwenda kwenye uapisho wa Ramaphosa aina ya Boeing 787 inabeba abiria wangapi?

Nikipata jibu nitauliza swali la pili?
Huyu mama ana roho mbaya sana kwa kwa watanganyika. Hana huruma kwa kodi zetu, anajichotea, anagawa na kutawanya kama Mali yake binafsi
 
Back
Top Bottom