Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mimi sijasemaHelicopter inamfaa huyo
Dhambi ya Jiwe,Kuna siku Moja atajisahau alipandeIla mimi sijasema
Rais aliondoka na abiria 230 au alikuwa na abiria kumi angani?
2. Hii ndio ncho maskini ?
Hiyo pesa wanayolipia unajua ni kodi. Wajitahidi kuwa na nidhamu ya matumizi ya kodi/tozohata kama ni abiria 1 au 0 maadamu wamelipia full gharama sioni ratizo, ila kama ilienda bure basi yaani wamiliki wa ndege hawakulipwa kuna tatizo …
Jitahidi utaona pia!Licha ya kuitaka malipo ya serikali sio siri
Kuna siku litakuwa ile KQMaza ndio huwa analitumia hilo dude kwenye safari zake...
Would it be cheaper kupanda ya wazungu kama ruto alivyofanya au kuchukua commercial yenye connection ya Nairobi au Addis?Matumizi mabaya ya Kodi za watanganyika!
Hiyo pesa wanayolipia unajua ni kodi. Wajitahidi kuwa na nidhamu ya matumizi ya kodi/tozo
Helicopter inamfaa huyo bibi
Waka gombania siti za dirishaniUnakumbuka watawala wa shithole walipandishwa chai maharage pale London kwenye msiba wa queen [emoji146]
Siyo 787 ni 737-9 max, huwa anaitumia kama anasafiri na delegation kubwa, kwani G550 ni private jet yake inayombeba yeye na wasaidizi wake muhimu tu.Mimi ni mtanzania mlipa Kodi.
Ninaomba wenye kuweza kunielewesha jambo hili.
Je ndege iliyo tumika kumpeleka Rais Samia Africa ya kusini kwenda kwenye uapisho wa Ramaphosa aina ya Boeing 787 inabeba abiria wangapi?
Nikipata jibu nitauliza swali la pili?
Huyu mama ana roho mbaya sana kwa kwa watanganyika. Hana huruma kwa kodi zetu, anajichotea, anagawa na kutawanya kama Mali yake binafsiMimi ni mtanzania mlipa Kodi.
Ninaomba wenye kuweza kunielewesha jambo hili.
Je ndege iliyo tumika kumpeleka Rais Samia Africa ya kusini kwenda kwenye uapisho wa Ramaphosa aina ya Boeing 787 inabeba abiria wangapi?
Nikipata jibu nitauliza swali la pili?
IPIserikali ilikodi!
Wapi!