Ufahamu; Ndege aliyotumia Rais kwenda SA kwenye uapisho wa Ramaphosa ,Boeing 787 inabeba abiria wangapi?

hata kama ni abiria 1 au 0 maadamu wamelipia full gharama sioni ratizo, ila kama ilienda bure basi yaani wamiliki wa ndege hawakulipwa kuna tatizo …
Hapa ndipo watanzania tunapofeli kufanya biashara rasmi. Ile ndege ina ratiba ya kwenda Chine na India kwa wiki tena iko moja, kuikodisha kwa Serikali ni kuingilia ratiba yake ambayo ikifanyika kwa ukamilifu wake inaipa kampuni yetu ya ndege kuaminika na kushindana na mashirika mengine. Je wasafiri waliopaswa kusafiri siku iliyoenda RSA, kama walifaulishwa kwenye ndege nyingine, unafikiri Air Tanzania itaweza kuingia kwenye ranking ya mashirika na makampuni bora ya ndege Africa? Achilia mbali kimataifa ambapo tunafanya mambo yetu kienyeji?🧐
 

siwezi kujibu hayo maswali kwa maana sina data zozote kuhusu ndege za airtz, nimetumia logic tu kama ndege ilikodiwa na gharama ililipwa yote sikuona tatizo kwa maana ndege kukodishwa ni swala la kawaida sana tu, sasa hayo mengine kama ruti zilikuwa cancelled sababu hiyo, hilo ni swala lingine …
 
Rais aliondoka na abiria 230 au alikuwa na abiria kumi angani?
2. Hii ndio ncho maskini ?
Na vipi kama angeenda na hao abiria 230, unajua gharama ya comvoy hiyo yote kuwalipa ingekuwaje? Je umejiuliza pia capacity ya magari yao ni watu wangapi na huwa wanakaa wangapi wanapokuwa kwenye misafara?
 
ndege kukodishwa ni swala la kawaida sana tu
Air Tanzania haipaswi kukodisha ndege ambazo ziko kwenye scheduled routes. Tanzania Flight Agency ndio wenye jukumu la kukodisha ndege kwa Serikali kama wanazo.
Angalia Ruto ilibidi akakodi ndege binafsi kutoka uarabuni ili aende Amerika. Ulisikia mziki wake? KQ hawako tayari kuharibu reputation yao kwenye tasinia ya usafirishaji wa anga ili kuwaridhisha wanasiasa wabinafsi......
Mwisho wa mwaka utasikia tena kuwa ATCL imetengeneza hasara nyingine. Hili huwezi kulijua kama sio mfanyabiashara.
 

wanasiasa kutumia national Carriers ni kawaida, kuna nchi hata hazina ndege ya raisi na raisi husafiri kwa kutumia national carriers, again sina details za airtz kuhusu hilo kama walicancel ruti zao sababu ya kumbeba raisi hilo silifahamu lkn ninachokijua ni kawaida sana tu nchi nyingi raisi wa nchi kutumia national carrier anaposafiri …
 
Kwani hizi ndege zimeshakabidhiwa kwa atcl? Si nakumbuka mmiliki ni serikali na ndo inawakodisha atcl
 
Hajajaza wasanii humo..maana trip hii aisee tumepata Rais - Kikwete akasome.
 
Ndiyo maana kuna muda huna nikipata mwanya wa kutolipa kodi na mute. Ujinga mtupu. inauma
 
Kwani hizi ndege zimeshakabidhiwa kwa atcl? Si nakumbuka mmiliki ni serikali na ndo inawakodisha atcl
Hapo ndipo lilipo tatizo kubwa, bado ndege ni za Serikali na ATCL wamekabidhiwa ili wafanye biashara kichaa. Mkuu akitamani kwenda Oman na kundi la wateule wake anatoa amri tu kwa CEO wa ATCL kuwa ndege itahitajika kusafiri kwenda Honolulu na ujumbe wake....
 
Huna akili
 
Shughulika na maendeleo yako Bibi,acha majungu.Hata kama inabeba abiria 1000 itakuongezea nini au kukupunguzia nini.Ingekuwa ndege imeenda haijarudi tungesema labada una jambo.Lakini ndege imeenda na imerudi salama,nini tena.
 
Shughulika na maendeleo yako Bibi,acha majungu.Hata kama inabeba abiria 1000 itakuongezea nini au kukupunguzia nini.Ingekuwa ndege imeenda haijarudi tungesema labada una jambo.Lakini ndege imeenda na imerudi salama,nini tena.
Tunasali akiwa huko angani iwe ile KQ ya kenya
 
Reputations kama hizi na airline kuwa reliable ndio lengo la kampuni, kwamba Ruto na chawa kunguni na viroboto wake hawana nafasi ya kutumia National Carrier hovyo hovyo kama tunavyofanywa. Hii inaiweka KQ kuwa na ujiko wa kuingia kwenye airline ranking za kimataifa.....Tutaacha lini ushamba jamani? 😢
 
hata kama ni abiria 1 au 0 maadamu wamelipia full gharama sioni ratizo, ila kama ilienda bure basi yaani wamiliki wa ndege hawakulipwa kuna tatizo …

..waliolipia ni familia ya Mama Abduli, Waarabu, au Serikali?
 
kama watanzania wanampenda lisianguke huko angani...ila kama ndo hvyo basi lifanye hvyo... copy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…