Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Bayer 04 Leverkusen Wameitandika Werder Bremen 5 -0 na kutwaa ubingwa .
Game imeisha .
Game imeisha .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Xavi ni Xabi alonsoNimefurahi sna angalau ligi imeleta maana Bayern apigwe benchi angalau misimu 5 ili ligi ikae sawa Germany ni ligi Bora sana ilikuwa inaharibiwa na hii total dominance ya Bayern Viva Xavi master sana jamaa
YahSio Xavi ni Xabi alonso
Hana bahati. 😁Imemchukua Msimu mmoja harry kane kubadilisha Bayern Kuwa Tottenham
Huyu jamaa basi tuu apambane na uefa sasaHana bahati. 😁
Hiyo inaitwa Gundu .comImemchukua Msimu mmoja harry kane kubadilisha Bayern Kuwa Tottenham
UEFA hawana maisha marefu. Msimu huu wanatoka kapa.Huyu jamaa basi tuu apambane na uefa sasa
hahaImemchukua Msimu mmoja harry kane kubadilisha Bayern Kuwa Tottenham
Hili ni balaa , hata magoli wanayofunga ni ya Kikatiri mno !Bayern Leverkusen kachukua ubingwa bila kufungwa.
Na hii ni Baada ya miaka 119 Mzee💪
Moto wao nahisi watabeba EuropaHili ni balaa , hata magoli wanayofunga ni ya Kikatiri mno !
Aje amuone mwamposa😂Hiyo inaitwa Gundu .com
😂😂😂Mzee wa dataBayern Leverkusen kachukua ubingwa bila kufungwa.
Na hii ni Baada ya miaka 119 Mzee💪
Naam niite Mr future b, au the proffesor 🤓🤓🤓😂😂😂Mzee wa data
Ujugu mwenye Uhaya ndani yako😂Naam niite Mr future b, au the proffesor 🤓🤓🤓