Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni desturi ya wanajf kutumia fake I'd ingawa hakuna aliyekatazwa kuweka jina lake halisi km unavyodaiKwan jF ni chaka la magaidi kwamba unaogopa kukamatwa wewe Kama unafanya kazi ambayo inatambulika kwenye jamii iweke wazi
Mkuu inabidi ufanye kazi na Don Nalimison, au unaonaje mkuu😂😂😂Mimi ndiye naenda kushika usukani sasa..MUNGU ibariki kazi ya mikono yangu[emoji120]
halafu jamaa ana jina kubwa ila bado mshamba mshamba hata mikato yake ya kigoloko sanaTasnia ya utengenezaji wa video za wasanii wa Bongo fleva imeanza kitambo sana.
Kumekuwa na Directors wengi lakini mapinduzi ya video yamekuwa yakifanywa na Directors ili kuanzisha either trend mpya au Directors wenyewe kulazimika kukua baada ya wasanii kutaka video zenye ubora.
Kuna wakati Adam Juma ( Next Level ) alifanya mapinduzi makubwa sana kwenye hii tasnia lakini ghafla akatokea Nisher ( kijana wa Arusha )
Ujio wa Nisher kwenye tasnia uliwafanya wasanii wengi kufunga safari kuelekea Arusha kwaajili ya video.
Uwepo wa Nisher ndio uliomzalisha Hanscana na Khalfan.
Zaidi ya asilimia 80 ya video za wasanii wakubwa bongo zimekuwa zikifanywa na Hanscana kwa hapa Tanzania.
Fast foward sasa hivi, kumekuwa na Directors kibao wanaofanya vizuri kiasi kwamba choices zimekuwa nyingi.
Kuna Ivan, Elvis, Kenny, Msafiri, etc
Na kibaya zaidi wasanii wengine wamekuwa wakianzisha kama ilivyo kwa studio zao wenyewe, kampuni zao za video shooting.
1- Wasafi wana Zoom Extra
2- Kondegang ( tetesi wanamiliki Redshot )
Na hakuna asiyejua kuwa hawa ndio wasanii wenye kazi nyingi za video na malipo yasiyo na shaka.
Hali hii naona imesababisha Hanscana apate "Mhaho" kutokana ushindani uliojitokeza. Na asipojiangalia atapotea kama Adam Juma halafu ajifanye kastaafu🤣
Sasa hivi Hanscana amekuwa anaanzisha migogoro na wasanii isiyo na sababu, kitu ambacho kinaonekana ni PANIC ya ushindani anaoupata.
Kama hataendelea kujifua, atakuwa wa kawaida sana maana kwasasa kuna vijana wako moto sana.
Mkuu humu kuna member watatu tunawalinda balaa🤣🤣Mkuu hukunitendea haki kabisa
Yani unajua jamaa ni kiazi lkn hukunambia,Hadi nikawa nahangaika nae
Hao wawili nawajua vizuri sn Ila huyu pdidy ndy sijajuaMkuu humu kuna member watatu tunawalinda balaa
Don Nalimison mtu mbaya....jamaa ana anakaribia 50 bado ni underground wa kutupwa lakini ana mashabiki wa kufa za kupona[emoji23][emoji23]. Huwa anadai mwana FA alimwibia wimbo wake.
PDidy: Huyu mzee ana mwandiko mbaya sana halafu nyuzi zake huwa anaandika kwa herufi kubwa mwanzo mwisho. Mkosoe uone unavyorukiwa na wadau. Anaheshimika balaa na watu wa kubet[emoji23][emoji23]
Mshana jr: Huyu ni sangoma mkubwa tu, hivyo ukimkosoa watu wanakukanya ili asije akakuroga.
Ni orientation course nakupa. Ukikutana na hizo Id wewe sifia kisha sepa[emoji3][emoji3]
Mambo ya kununua views ni upuuzi tu anaousema. Adanganye wajinga.Niliona ile clip yake, nadhani ungejibu hoja yake,na siyo kumuataki personal......alisema kuna wasanii wananunua views.......hoja iko hapo haya mengine uliyoandika ni roho mbaya tu.....jibu hoja alichokisema kwanza.....majibu ni mawili tu KWELI/SIKWELI
Ungejibu hoja yake sasa,na siyo ulichoandika hapa,ili nawengine waeleweMambo ya kununua views ni upuuzi tu anaousema. Adanganye wajinga.
Hivi unafikiri Google ni Chikumbalaga. Hawajui Google huyo.
Konsani yangu hujajibu hoja ya huyo dairecta ila umemuataki........hoja hujibiwa kwa hoja .......ungekuja na haya kwenye uzi wakoMkuu Google ni akili nyingine. Views unaweza kununua kwa kufanya promotion ( sponsored pekee ) na siyo vinginevyo.
Unamaanisha nini kumtaki mtu ?Konsani yangu hujajibu hoja ya huyo dairecta ila umemuataki........hoja hujibiwa kwa hoja .......ungekuja na haya kwenye uzi wako
Sawa mtaalamu umeshindaUnamaanisha nini kumtaki mtu ?
Nimezungumzia pua, mwili, nguo, nywele au chochote personal?
Au uelewa wako ukoje maana kila mtu ana uelewa wake.