Aman peaceful
Member
- Mar 2, 2018
- 89
- 63
Wasaalamu WanaJf popote mlipo..!
Nimeona ni bora leo tukaukumbuka ufalme wa Prodyuza mkali bongo na East Africa kwa ujumla ndugu Paul Majani!
Ukiachilia mbali Kipaji chake cha kutengeneza midundo mikali ya wasanii mbalimbali, P majani anafahamika pia kwa Ukorofi wake hasa ukimzingua! rejea ..kipigo heavy alichomshushia Afande Sele!
Bila shaka kwa mziki wa Bongo hapa ulipofikia karibu Asilimia 85 zinamhusu Majani mwenyew na ninakiri wazi kuwa yeye ni legend wa Music Bongo!
Wasanii wengi wakubwa hasa wa hiphop wamepita ktk mkono wa Majani! achilia mbali vibao vikali sana vya kitambo unavoweza kudhani labda vimepikwa jana tu! Mfano; zali la mentali by Prof. Jay!
Hapa Bongo, P Majani amekumbana na visa vingi tu ikiwemo Beef lake na mzazi mwenzie, Kajala, Kumproduze kimwil rayc bila kusahau kitu cha jamaica!
Ninaomba tujikumbushe Mafanikio yake katk muziki, visa vyake mbalimbali na mastaa wa bongo, bila kusahau maisha yake kwa ujumla kama njia mojawapo ya kuendelea kufurahia uwepo wake katika industry ya muziki hapa bongo!
Ameifanyia makubwa sana Industry ya muziki Hapa Tz, He is a living Legend indeed!
Respect Sana P!
Nimeona ni bora leo tukaukumbuka ufalme wa Prodyuza mkali bongo na East Africa kwa ujumla ndugu Paul Majani!
Ukiachilia mbali Kipaji chake cha kutengeneza midundo mikali ya wasanii mbalimbali, P majani anafahamika pia kwa Ukorofi wake hasa ukimzingua! rejea ..kipigo heavy alichomshushia Afande Sele!
Bila shaka kwa mziki wa Bongo hapa ulipofikia karibu Asilimia 85 zinamhusu Majani mwenyew na ninakiri wazi kuwa yeye ni legend wa Music Bongo!
Wasanii wengi wakubwa hasa wa hiphop wamepita ktk mkono wa Majani! achilia mbali vibao vikali sana vya kitambo unavoweza kudhani labda vimepikwa jana tu! Mfano; zali la mentali by Prof. Jay!
Hapa Bongo, P Majani amekumbana na visa vingi tu ikiwemo Beef lake na mzazi mwenzie, Kajala, Kumproduze kimwil rayc bila kusahau kitu cha jamaica!
Ninaomba tujikumbushe Mafanikio yake katk muziki, visa vyake mbalimbali na mastaa wa bongo, bila kusahau maisha yake kwa ujumla kama njia mojawapo ya kuendelea kufurahia uwepo wake katika industry ya muziki hapa bongo!
Ameifanyia makubwa sana Industry ya muziki Hapa Tz, He is a living Legend indeed!
Respect Sana P!