Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
P funk mtoto wa kishua kwao wana helaHivi sa hv P Funky majan anafanya nn make sisikii kazi zake labda kuna mishe anafanya tujuzane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
P funk mtoto wa kishua kwao wana helaHivi sa hv P Funky majan anafanya nn make sisikii kazi zake labda kuna mishe anafanya tujuzane
Majani.
Ila beat nyingi kali za majani zilikuwa kwa nature..ukute kiroboto kashika chorus kwny beat ya majani ni balaa
Hii ngoma siikosagi kwenye playlist zangukamua babaa kamuaaa hahaa hatariii sana mkuu
Oya huyo jamaa beat zake noma sana mtu mbayaaa. Sema mini kama una nyimbo ya brotherman ya juma nature nsogezee.Yaan beat za majani unaweza sikiliza bila mtu kuimba bado ukaenjoy ..jamaa aliku genius wa beats moja ya ma producers wangu bora wa mziki bongo muda wote kwa nini tusirud enzi za old skul ata kidogo [emoji3] kule ndio mziki ulikuwa mziki acha tarabu na makanjanja ya mziki wa saivi
Oya huyo jamaa beat zake noma sana mtu mbayaaa. Sema mini kama una nyimbo ya brotherman ya juma nature nsogezee.Yaan beat za majani unaweza sikiliza bila mtu kuimba bado ukaenjoy ..jamaa aliku genius wa beats moja ya ma producers wangu bora wa mziki bongo muda wote kwa nini tusirud enzi za old skul ata kidogo [emoji3] kule ndio mziki ulikuwa mziki acha tarabu na makanjanja ya mziki wa saivi
Nitajie beat za Bonny love
kuna huu ukwel mkuu! nature alkuwa mtt wa nyumban aseeNaskia kurecors BONGO REC ilikuwa foleni, lakini Sir Nature muda wowote akitokea, hakai foleni! Km ilishafika zamu yk lazima uwe mpole
Majani alikuwa na vichwa vyake, akikukubali basi ujue anakushushia beats za maana chukulia mfano beats za mangwair, juma nature, wanaume, TID, Jaymoe
Hivi p funk na master j walishawahi Kuwa na beef
Yeah ndio ilivyokuwaga, kama hujamteka viwango anakupa beat nyepesi!Umesema kweli kaka,kila nkiwaza beats za ngwair ni noma mpaka leo zikipigwa watu wanabang kama vile zimetoka jana
Daah ume nikumbusha mbali san hizo myimbo mkuu nipo primary hiyo Majani ni mtu sana tuki enjey sana Bongo fleva kizaz chetuBeat zifuaazo ndizo nazikubari
Ya leo kali - wachuja nafaka
Hili gane - nature
Nipe tano - daz baba
Elimu dunia - daz baba
Usiwe na hasira - solo thang ft nguza
Yote maisha - madee
Ningeweza - ksal
Yatima hadekezwi - ft squeezer
Alikufa kwa ngoma - f.a
She got gwan - ngwair
Dakika yako moja - ngwair
Latifah - mb doggy
Si uliniambia - mb doggy
Nakupenda - Mike T
Maisha ya boarding - jmo
Kabinti - Bamboo
Chagua moja
Mzee wa busara - nature ft inspector
Pamba nyepesi - gangwe mob
Darubini kali - afande sele
Dunia ina mambo - afande sele
Ratiba zetu - ngwair & sna lee
Mitaa ya kati by Imam Abas
Yes, Master Jay kilichombeba ni uchache wa studio na shule, ila idea za beat alikuwa kawaida sana hata kwa kina Mika Mwamba hasogei. Mfano beat ya wimbo wa Wagosi 'Lidandasi' nilikuwa naona kinyaa kusikiliza, sema wasanii kipindi hicho walikuwa wanaandika sana so hata kama beat mbovu tunasikiliza mashairi. Wasanii wengine waliofanya kazi nyingi na Master Jay ni Mr Ebbo (RIP), Jonny Walker(RIP), Ras Lion, Caz T, Mr Paul, Stara Thomas,Wakali Kwanza n.k.Master J ni upepo tu, kama ushasikiza album ya wagosi wa kaya ile ya Tanga kunani plus album ya Mr.Nice na ikiwa unaijua program ya kutengenezea beats al maarufu kama FL Studio utaona ni ushuzi gani alikuwa anatufyatulia master J sema ni kutokujua tu.
Beats zake zina basic instruments tu. Kick, snare, hats, bass na mlio mmoja wa ziada(sample au kinanda flani). Hamna creativity yeyote ya hali ya juu.
Huyo naye alikuwa mzuri sema kazi zake zilikuwa chacheIngekuwa vipi- Fa
Mi na mabinti dam dam
Jebby
Waswahili
Jose mtambo etc
Wadau watamalizia nyingine.