Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Wanabodi, twende mbele, turudi nyuma, wafanya kazi wengi wa serikali (zaidi ya 70%) hawana ufanisi katika kazi zao. Ni kama serikali inawalipa mishahara ya bure kabisa.
Kada za ualimu, afya, ulinzi/usalama (Polisi, Magereza, Wanajeshi), sheria(mahakimu) zinajitahidi sana hata kuingia kazini mapema, kuchelewa kutoka kutokana na majukumu yao....
Watumishi wengi wa serikali kwenye hizi Halmashauri zetu hawafanyi kazi kabisa, wanaenda kazini kupiga stori tu. Mtu anaenda kazini saa 2 asubuhi, saa 4 anatoka kwenda kunywa chai lisaa lizima, saa 8 mchana mtu ananyanyuka huyoo anarudi nyumbani, halafu anaenda kumwambia mkewe/mumewe kuwa katoka kazini. Ni uongo mkubwa.
Usione mtu anaonekana smart serikalini, kavaa vizuri anawakaa....performance yake ni ndogo mno. Hawana outputs kabisa yaani. Watu wanavizia genji tu hasa kwenye shughuli kuu za kitaifa hasa uchaguzi, mitihani, sensa, ziara za viongozi wakuu wa kitaifa n.k!
Mshahara ambao serikali inawalipa watumishi wa umma unatosha sana. Tusidanganye umma.
Kada za ualimu, afya, ulinzi/usalama (Polisi, Magereza, Wanajeshi), sheria(mahakimu) zinajitahidi sana hata kuingia kazini mapema, kuchelewa kutoka kutokana na majukumu yao....
Watumishi wengi wa serikali kwenye hizi Halmashauri zetu hawafanyi kazi kabisa, wanaenda kazini kupiga stori tu. Mtu anaenda kazini saa 2 asubuhi, saa 4 anatoka kwenda kunywa chai lisaa lizima, saa 8 mchana mtu ananyanyuka huyoo anarudi nyumbani, halafu anaenda kumwambia mkewe/mumewe kuwa katoka kazini. Ni uongo mkubwa.
Usione mtu anaonekana smart serikalini, kavaa vizuri anawakaa....performance yake ni ndogo mno. Hawana outputs kabisa yaani. Watu wanavizia genji tu hasa kwenye shughuli kuu za kitaifa hasa uchaguzi, mitihani, sensa, ziara za viongozi wakuu wa kitaifa n.k!
Mshahara ambao serikali inawalipa watumishi wa umma unatosha sana. Tusidanganye umma.