Ufanisi wa madaktari wa Tanzania umeshuka, tatizo ni nini?

Ufanisi wa madaktari wa Tanzania umeshuka, tatizo ni nini?

Mwasapile

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2020
Posts
214
Reaction score
448
Hivi madaktari wa siku hizi wana shida gani! mbona kama ni hawajui kitu tena!? Yaani siku hizi ukienda hospitali utapata tiba ya haraka kama unaumwa magonjwa yaliozoeleka kama malaria,typhoid, u.t.i nk lakini kama unaumwa kitu ambacho hakijazoeleka unaweza ukafia hapo wanakuangalia.

Yaani imefika mahala mtu ukiumwa unaona hakuna umuhimu wa kwenda hospitali kwasababu unajua kabisa utakavyoambiwa na dawa utakazopewa.

Na wamekuwa wabishi sana hata ukijaribu kuwaelezea ni jinsi gani unaumwa na unavyojisikia wao wanaconclude mambo yao fasta fasta bila kujali hali ya mgonjwa.

NIliwahi kupata tatizo linaitwa Acute Pancreatitis miaka ya nyuma, nikashauriwa kuwa atleast kila mwaka nifanye check-up ya kongosho ili nijue utendaji kazi wake kama upo sawa au la...ili nisije kupata complications za kufeli kwa kongosho kama kupata ugonjwa wa kisukari ambao tayari nishaupata.

Nilijaribu kila mara kwenda kwenye hosp tofauti tofauti mikoani hadi kwenye hosp za rufaa za baadhi ya mikoa lakini cha ajibu utakuta umemuelezea daktari aina ya tatizo ulilopata inakuwa ni kama unamfundisha na yeye hajui chochote, yaaani uwe na historia ya acute pancreatits halafu daktari anakuandika ukapimwe u.t.i.

Are these doctors serious! maana hata afya yangu ilipofikia madaktari pia wamechangia kunifikisha cos ningefahamika mapema kuwa kogosho yangu haijakaa sawa basi ningeanza mapema matibabu huwenda nisingepata kisukari.
 
Kuna mabadiliko ya kudahili, Udaktari unasomea hata kama form four ulipata division four ilimradi una D zako kadhaa.
Hakuna Daktari mwenye hizo alama akakaa referral hospital labda zahanati na ndugu mgonjwa ameenda refferal hospital na zonal refferal hospital .
 
Hakuna Daktari mwenye hizo alama akakaa referral hospital labda zahanati na ndugu mgonjwa ameenda refferal hospital na zonal refferal hospital .
Ndugu hamna kinachoshndikana kwenye nchi hii sawa mtoa mada kaeleza aliyo kutana nayo wewe unabisha
 
Unalolisema n sahihi,madaktar wa sasa kuna vitu wanavifanya mpaka unaona hii sio sawa

Nikwambie kitu tz hii madaktar na mafundi wa magar,pikpik,redio,sm,tv hawatofautian wanafanya kaz kwa kubahatisha

Hospital zetu hz kuna watu wengi wanakufa kwa makosa ya madaktar

Daktar anafungulia drip ya dawa kwa kias kikubwa mara mgonjwa anarud nyumban na pressure ambayo hapo awali hakuwa nayo,

Daktar anamuandikia mgonjwa dawa aina tatu ambazo zinatibu tatzo moja la maumivu
 
HV inakuaje unaekwenda hospitali unaumwa wew alfu anatokea mtu unamsimulia jinsi unavyojisikia na yey anakusililiza alfu anakupa ushauri wa juu ya nn kifanyike sijui San ila naona kbsa Kama Ni Bora aitwe mshauri na siyo doctor
 
Back
Top Bottom