Mwasapile
JF-Expert Member
- Apr 20, 2020
- 214
- 448
Hivi madaktari wa siku hizi wana shida gani! mbona kama ni hawajui kitu tena!? Yaani siku hizi ukienda hospitali utapata tiba ya haraka kama unaumwa magonjwa yaliozoeleka kama malaria,typhoid, u.t.i nk lakini kama unaumwa kitu ambacho hakijazoeleka unaweza ukafia hapo wanakuangalia.
Yaani imefika mahala mtu ukiumwa unaona hakuna umuhimu wa kwenda hospitali kwasababu unajua kabisa utakavyoambiwa na dawa utakazopewa.
Na wamekuwa wabishi sana hata ukijaribu kuwaelezea ni jinsi gani unaumwa na unavyojisikia wao wanaconclude mambo yao fasta fasta bila kujali hali ya mgonjwa.
NIliwahi kupata tatizo linaitwa Acute Pancreatitis miaka ya nyuma, nikashauriwa kuwa atleast kila mwaka nifanye check-up ya kongosho ili nijue utendaji kazi wake kama upo sawa au la...ili nisije kupata complications za kufeli kwa kongosho kama kupata ugonjwa wa kisukari ambao tayari nishaupata.
Nilijaribu kila mara kwenda kwenye hosp tofauti tofauti mikoani hadi kwenye hosp za rufaa za baadhi ya mikoa lakini cha ajibu utakuta umemuelezea daktari aina ya tatizo ulilopata inakuwa ni kama unamfundisha na yeye hajui chochote, yaaani uwe na historia ya acute pancreatits halafu daktari anakuandika ukapimwe u.t.i.
Are these doctors serious! maana hata afya yangu ilipofikia madaktari pia wamechangia kunifikisha cos ningefahamika mapema kuwa kogosho yangu haijakaa sawa basi ningeanza mapema matibabu huwenda nisingepata kisukari.
Yaani imefika mahala mtu ukiumwa unaona hakuna umuhimu wa kwenda hospitali kwasababu unajua kabisa utakavyoambiwa na dawa utakazopewa.
Na wamekuwa wabishi sana hata ukijaribu kuwaelezea ni jinsi gani unaumwa na unavyojisikia wao wanaconclude mambo yao fasta fasta bila kujali hali ya mgonjwa.
NIliwahi kupata tatizo linaitwa Acute Pancreatitis miaka ya nyuma, nikashauriwa kuwa atleast kila mwaka nifanye check-up ya kongosho ili nijue utendaji kazi wake kama upo sawa au la...ili nisije kupata complications za kufeli kwa kongosho kama kupata ugonjwa wa kisukari ambao tayari nishaupata.
Nilijaribu kila mara kwenda kwenye hosp tofauti tofauti mikoani hadi kwenye hosp za rufaa za baadhi ya mikoa lakini cha ajibu utakuta umemuelezea daktari aina ya tatizo ulilopata inakuwa ni kama unamfundisha na yeye hajui chochote, yaaani uwe na historia ya acute pancreatits halafu daktari anakuandika ukapimwe u.t.i.
Are these doctors serious! maana hata afya yangu ilipofikia madaktari pia wamechangia kunifikisha cos ningefahamika mapema kuwa kogosho yangu haijakaa sawa basi ningeanza mapema matibabu huwenda nisingepata kisukari.