Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Mkorofi wewe😂😂Uliona wapi Sumaku imeshindwa kuvuta kitu chenye asili ya chuma?[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkorofi wewe😂😂Uliona wapi Sumaku imeshindwa kuvuta kitu chenye asili ya chuma?[emoji3]
Pole mkuu, alikuingiza chaka.Ngiri
Ni kweli hakuna kinachoshindika ila form failure waliopata alama D wanaishia uku uku level ya zahanati hawana nafasi zaidi ya hapo na ndio hao hao wanaozalisha matatizo sugu,,utakuta clinical officer au assistant clinical officer anatoa dawa kwa mtu ambaye hana history ya hypertension wala dalali za hypertension ghafla tu pressure ipo juu moja kwa moja anakurupuka anampa dawa za pressure hajacheck renal function test,liver,ecg,eco nkNdugu hamna kinachoshndikana kwenye nchi hii sawa mtoa mada kaeleza aliyo kutana nayo wewe unabisha
Mimi niliwahi kutoa maoni hum kwenye uzi wa aina hii watu wakapuuza kumbe ni watu wengi wanakutana na mambo haya!!Hivi madaktari wa siku hizi wana shida gani! mbona kama ni hawajui kitu tena!? Yaani siku hizi ukienda hospitali utapata tiba ya haraka kama unaumwa magonjwa yaliozoeleka kama malaria,typhoid, u.t.i nk lakini kama unaumwa kitu ambacho hakijazoeleka unaweza ukafia hapo wanakuangalia.
Yaani imefika mahala mtu ukiumwa unaona hakuna umuhimu wa kwenda hospitali kwasababu unajua kabisa utakavyoambiwa na dawa utakazopewa.
Na wamekuwa wabishi sana hata ukijaribu kuwaelezea ni jinsi gani unaumwa na unavyojisikia wao wanaconclude mambo yao fasta fasta bila kujali hali ya mgonjwa.
NIliwahi kupata tatizo linaitwa Acute Pancreatitis miaka ya nyuma, nikashauriwa kuwa atleast kila mwaka nifanye check-up ya kongosho ili nijue utendaji kazi wake kama upo sawa au la...ili nisije kupata complications za kufeli kwa kongosho kama kupata ugonjwa wa kisukari ambao tayari nishaupata, nilijaribu kila mara kwenda kwenye hosp tofauti tofauti mikoani hadi kwenye hosp za rufaa za baadhi ya mikoa lakini cha ajibu utakuta umemuelezea daktari aina ya tatizo ulilopata inakuwa ni kama unamfundisha na yeye hajui chochote, yaaani uwe na historia ya acute pancreatits halafu daktari anakuandika ukapimwe u.t.i!!
Are these doctors serious! maana hata afya yangu ilipofikia madaktari pia wamechangia kunifikisha cos ningefahamika mapema kuwa kogosho yangu haijakaa sawa basi ningeanza mapema matibabu huwenda nisingepata kisukari.
JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala TANZANIAN DOCTORS
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkorofi wewe[emoji23][emoji23]
Ndugu yangu alikaa miezi kadhaa haponi mguu alioungwa Muhi2, baada ya kupelekwa hospital moja iko maeneo ya Temboni ikagundulika wataalamu waliegesha tu screws kwenye chumaYaani imefika mahala mtu ukiumwa unaona hakuna umuhimu wa kwenda hospitali kwasababu unajua kabisa utakavyoambiwa na dawa utakazopewa.
[emoji26]Ndugu yangu alikaa miezi kadhaa haponi mguu alioungwa Muhi2, baada ya kupelekwa hospital moja iko maeneo ya Temboni ikagundulika wataalamu waliegesha tu screws kwenye chuma
Ndio maana veternary medicine ni watu na nusu.Labda nikuweke wazi kiongoz, sisi Ma Dr hatuna tatizo kwenye kuelekeza mgonjwa nini chakufanya,
Unachotakiwa kujua ni kwamba maelezo yako kwa lugha nyepesi utakavo jieleza vizur ndivo utakavo nisaidia kujua nini kinakusumbua .
Ila ukishindwa kujieleza ndipo hapo aslimia kubwa utakuta tunatumia lessons ya clinical feature.
Pengine ni stress za mishahara midogo na ugumu wa maisha, matokeo yake madktari na wauguzi wamekuwa wakitafuta fursa za kuongeza kipato badala ya kufanya kazi kwa utashi na moyo wa kujitoa kama watoa huduma.Hivi madaktari wa siku hizi wana shida gani! mbona kama ni hawajui kitu tena!? Yaani siku hizi ukienda hospitali utapata tiba ya haraka kama unaumwa magonjwa yaliozoeleka kama malaria,typhoid, u.t.i nk lakini kama unaumwa kitu ambacho hakijazoeleka unaweza ukafia hapo wanakuangalia.
Yaani imefika mahala mtu ukiumwa unaona hakuna umuhimu wa kwenda hospitali kwasababu unajua kabisa utakavyoambiwa na dawa utakazopewa.
Na wamekuwa wabishi sana hata ukijaribu kuwaelezea ni jinsi gani unaumwa na unavyojisikia wao wanaconclude mambo yao fasta fasta bila kujali hali ya mgonjwa.
NIliwahi kupata tatizo linaitwa Acute Pancreatitis miaka ya nyuma, nikashauriwa kuwa atleast kila mwaka nifanye check-up ya kongosho ili nijue utendaji kazi wake kama upo sawa au la...ili nisije kupata complications za kufeli kwa kongosho kama kupata ugonjwa wa kisukari ambao tayari nishaupata.
Nilijaribu kila mara kwenda kwenye hosp tofauti tofauti mikoani hadi kwenye hosp za rufaa za baadhi ya mikoa lakini cha ajibu utakuta umemuelezea daktari aina ya tatizo ulilopata inakuwa ni kama unamfundisha na yeye hajui chochote, yaaani uwe na historia ya acute pancreatits halafu daktari anakuandika ukapimwe u.t.i.
Are these doctors serious! maana hata afya yangu ilipofikia madaktari pia wamechangia kunifikisha cos ningefahamika mapema kuwa kogosho yangu haijakaa sawa basi ningeanza mapema matibabu huwenda nisingepata kisukari.
Sio hivyo bana. Kubali tuu Uzembe upo. Na huwa unatokea.Labda nikuweke wazi kiongoz, sisi Ma Dr hatuna tatizo kwenye kuelekeza mgonjwa nini chakufanya,
Unachotakiwa kujua ni kwamba maelezo yako kwa lugha nyepesi utakavo jieleza vizur ndivo utakavo nisaidia kujua nini kinakusumbua .
Ila ukishindwa kujieleza ndipo hapo aslimia kubwa utakuta tunatumia lessons ya clinical feature.
Tamaa ya pesa mzee sikuhz wahonjwa wengi hufia hosptal siku si zao yani unyama kbsa utu haupo...Hivi madaktari wa siku hizi wana shida gani! mbona kama ni hawajui kitu tena!? Yaani siku hizi ukienda hospitali utapata tiba ya haraka kama unaumwa magonjwa yaliozoeleka kama malaria,typhoid, u.t.i nk lakini kama unaumwa kitu ambacho hakijazoeleka unaweza ukafia hapo wanakuangalia.
Yaani imefika mahala mtu ukiumwa unaona hakuna umuhimu wa kwenda hospitali kwasababu unajua kabisa utakavyoambiwa na dawa utakazopewa.
Na wamekuwa wabishi sana hata ukijaribu kuwaelezea ni jinsi gani unaumwa na unavyojisikia wao wanaconclude mambo yao fasta fasta bila kujali hali ya mgonjwa.
NIliwahi kupata tatizo linaitwa Acute Pancreatitis miaka ya nyuma, nikashauriwa kuwa atleast kila mwaka nifanye check-up ya kongosho ili nijue utendaji kazi wake kama upo sawa au la...ili nisije kupata complications za kufeli kwa kongosho kama kupata ugonjwa wa kisukari ambao tayari nishaupata.
Nilijaribu kila mara kwenda kwenye hosp tofauti tofauti mikoani hadi kwenye hosp za rufaa za baadhi ya mikoa lakini cha ajibu utakuta umemuelezea daktari aina ya tatizo ulilopata inakuwa ni kama unamfundisha na yeye hajui chochote, yaaani uwe na historia ya acute pancreatits halafu daktari anakuandika ukapimwe u.t.i.
Are these doctors serious! maana hata afya yangu ilipofikia madaktari pia wamechangia kunifikisha cos ningefahamika mapema kuwa kogosho yangu haijakaa sawa basi ningeanza mapema matibabu huwenda nisingepata kisukari.
Na hapa ndipo shida kubwa ilivyo.Labda nikuweke wazi kiongoz, sisi Ma Dr hatuna tatizo kwenye kuelekeza mgonjwa nini chakufanya,
Unachotakiwa kujua ni kwamba maelezo yako kwa lugha nyepesi utakavo jieleza vizur ndivo utakavo nisaidia kujua nini kinakusumbua .
Ila ukishindwa kujieleza ndipo hapo aslimia kubwa utakuta tunatumia lessons ya clinical feature.
Hahaha hamna mzee ukisema uzembe maanake unataka kuishi duniani miaka 200 , sisi tunapambana kunusuru maisha ya wanadamu ila inapofika hatua tunamwachia alieko juu afanye yakeSio hivyo bana. Kubali tuu Uzembe upo. Na huwa unatokea.