RIGHT MARKER
Senior Member
- Apr 30, 2018
- 129
- 473
Mhadhara - 51:
Right Marker
Dar es salaam
Inaleta ukakasi kwa mwanafunzi mdogo (kiumri) anayefanya mitihani ya taifa ya kuhitimu elimu ya shule ya msingi kuandika matusi kwenye karatasi la majibu (Answer sheets).
Napendekeza ufanyike uchunguzi kwa wanafunzi ambao wanaandika matusi, huenda nyuma ya hii tabia kuna watu wazima wanawashawishi watoto kufanya hivyo ili watimize maovu yao kiurahisi.
• CONNECT THE DOTS
Zifuatazo ni Dots nne (4) ambazo zinaweza kuleta uhusiano kati ya matukio yanayotokea - na hii tabia ya wanafunzi kuandika matusi kwenye mitihani ya taifa.
DOT 1: Matukio ya wazazi na walezi ambao wanaozesha (wanafungisha ndoa) watoto wao ambao bado ni wanafunzi.
DOT 2: Matukio ya kubakwa kwa watoto ambayo yanatokea maeneo mbalimbali nchini.
DOT 3: Matukio ya wanafunzi wa kike kupewa mimba, au kutoroshwa na vijana wahuni.
DOT 4: Matukio ya wanafunzi wa kiume kuacha shule kwa sababu mbalimbali ambazo zinasababishwa na wazazi/walezi/majirani, au watu wengine.
Hizo ni Dots nne (4) ambazo tukiziunganisha zinaweza kuleta uhusiano wa wanafunzi kuandika matusi kwenye mitihani ya taifa. Hivyo haipaswi kupuuzia, bali ufanyike uchunguzi ili endapo kama kuna watu nyuma yao wanashawishi watoto wajifelishe makusudi - wachukuliwe hatua za kisheria.
Napendekeza ufanyike uchunguzi kwa wanafunzi ambao wanaandika matusi, huenda nyuma ya hii tabia kuna watu wazima wanawashawishi watoto kufanya hivyo ili watimize maovu yao kiurahisi.
• CONNECT THE DOTS
Zifuatazo ni Dots nne (4) ambazo zinaweza kuleta uhusiano kati ya matukio yanayotokea - na hii tabia ya wanafunzi kuandika matusi kwenye mitihani ya taifa.
DOT 1: Matukio ya wazazi na walezi ambao wanaozesha (wanafungisha ndoa) watoto wao ambao bado ni wanafunzi.
DOT 2: Matukio ya kubakwa kwa watoto ambayo yanatokea maeneo mbalimbali nchini.
DOT 3: Matukio ya wanafunzi wa kike kupewa mimba, au kutoroshwa na vijana wahuni.
DOT 4: Matukio ya wanafunzi wa kiume kuacha shule kwa sababu mbalimbali ambazo zinasababishwa na wazazi/walezi/majirani, au watu wengine.
Hizo ni Dots nne (4) ambazo tukiziunganisha zinaweza kuleta uhusiano wa wanafunzi kuandika matusi kwenye mitihani ya taifa. Hivyo haipaswi kupuuzia, bali ufanyike uchunguzi ili endapo kama kuna watu nyuma yao wanashawishi watoto wajifelishe makusudi - wachukuliwe hatua za kisheria.
Right Marker
Dar es salaam