Ufaransa ilijitoa NATO kwa amani, Urusi anashambulia nchi zinazotaka kujiunga

Ufaransa ilijitoa NATO kwa amani, Urusi anashambulia nchi zinazotaka kujiunga

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Ufaransa ilikuwa mwanachama wa NATO mpaka mwaka 1966 ilipoamua kujitoa na kubaki Neutral state huku wanachama wote wakibariki maamuzi hayo hatukuona Makombora ya Iskander yakivurumishwa Paris.

Kwa upande wa pili mambo ni kinyume kabisa nikimaanisha nchi zilizokua za Kisoviet ukitaka kutoka huko na kujiunga na NATO unakumbana na makombora ya Iksander ya kutosha tu.
Swali jepesi,
makubaliano yanasema ukitaka kujiunga NATO lazima Mrusi akushambulie? wamekubaliana hivyo?

Sweden na Finland ni neutral state ila wameanza tetesi za kutaka kujiunga NATO ila tiyari Mrusi keshawapa vitisho and good enough siku Sweden anatangaza mpango wake huo kuna ndege za Urusi kama sio mbili zilivunja sheria na kuruka anga la Sweden.

Swali Jepesi.
Kwanini Mrusi anawachagulia nchi huru maisha yao ya kuishi?

Kuna nchi baada ya kuonyesha mrengo wa kujiunga NATO au kinyume na Sera za Urusi zimekula makombora ya Iskander ya kutosha japo nyingine zilijiunga kibabe ref Georgia, Poland, Latvia, Chenchya, Romania, Hungary, etc zote hizo zina makovu ya makombora ya Iskander kutoka kwa Mrusi

Na leo hii wote ni mashuhuda angalia kinachoendelea Ukraine kila aina ya makombora yanatumika kutoka angani, baharini, nchi kavu kote huko zinatoka Iskander, Hypersonic, Vacuum, thermoballic Bomu...nk.

Swali jepesi.

Je Mrusi anaamini sana katika vita ndio njia ya kutafuta muafaka au ni Ubabe wake na kauli ya hakuna wa kunifanya kitu.

Vita niya kupingwa ni wapenda amani wote wanakufa watu wasio na hatia baada ya Vita ya Vietnam/Vietcong baada ya watu kushuhudima matokeo ya vita walikuja na kauli hii " VITA NI SULUHISHO LA MWISHO KABISA ENDAPO NJIA ZOTE ZA MAZUNGUMZO ZIMESHINDIKANA"

Kataa vita penda Amani.
 
Ufaransa ilikuwa mwanachama wa NATO mpaka mwaka 1966 ilipoamua kujitoa na kubaki Neutral state huku wanachama wote wakibariki maamuzi hayo hatukuona Makombora ya Iskander yakivurumishwa Paris.

Kwa upande wa pili mambo ni kinyume kabisa nikimaanisha nchi zilizokua za Kisoviet ukitaka kutoka huko na kujiunga na NATO unakumbana na makombora ya Iksander ya kutosha tu.
Swali jepesi,
makubaliano yanasema ukitaka kujiunga NATO lazima Mrusi akushambulie? wamekubaliana hivyo?

Sweden na Finland ni neutral state ila wameanza tetesi za kutaka kujiunga NATO ila tiyari Mrusi keshawapa vitisho and good enough siku Sweden anatangaza mpango wake huo kuna ndege za Urusi kama sio mbili zilivunja sheria na kuruka anga la Sweden.

Swali Jepesi.
Kwanini Mrusi anawachagulia nchi huru maisha yao ya kuishi?

Kuna nchi baada ya kuonyesha mrengo wa kujiunga NATO au kinyume na Sera za Urusi zimekula makombora ya Iskander ya kutosha japo nyingine zilijiunga kibabe ref Georgia, Poland, Latvia, Chenchya, Romania, Hungary, etc zote hizo zina makovu ya makombora ya Iskander kutoka kwa Mrusi

Na leo hii wote ni mashuhuda angalia kinachoendelea Ukraine kila aina ya makombora yanatumika kutoka angani, baharini, nchi kavu kote huko zinatoka Iskander, Hypersonic, Vacuum, thermoballic Bomu...nk.

Swali jepesi.

Je Mrusi anaamini sana katika vita ndio njia ya kutafuta muafaka au ni Ubabe wake na kauli ya hakuna wa kunifanya kitu.

Vita niya kupingwa ni wapenda amani wote wanakufa watu wasio na hatia baada ya Vita ya Vietnam/Vietcong baada ya watu kushuhudima matokeo ya vita walikuja na kauli hii " VITA NI SULUHISHO LA MWISHO KABISA ENDAPO NJIA ZOTE ZA MAZUNGUMZO ZIMESHINDIKANA"

Kataa vita penda Amani.
We una maswali ya kijinga sana, Je, wakati Marekani anazichagulia nchi za kiarabu marais na hata kuwaua hadharani akina Sadam, Gadafi na kushambulia kwa nia ya kumuondoa Assad wa Syria alipata baraka za nani? na kwa nini hulisemi hilo? au kwako Mmarekani kushambulia nchi huru na kuziharibu yeye ndio ana haki sana? wacheni mrusi atetee maslahi yake na mkae kimya kama mlivyokaa kimya siku Marekani wanamchomoa rais wa nchi huru ya Iraq kwenye shimo na kwenda kumnyonga hadharani bila hatia, tena nyamaza kabisa nyambaaf!!
 
We una maswali ya kijinga sana, Je, wakati Marekani anazichagulia nchi za kiarabu marais na hata kuwaua hadharani akina Sadam, Gadafi na kushambulia kwa nia ya kumuondoa Assad wa Syria alipata baraka za nani? na kwa nini hulisemi hilo? au kwako Mmarekani kushambulia nchi huru na kuziharibu yeye ndio ana haki sana? wacheni mrusi atetee maslahi yake na mkae kimya kama mlivyokaa kimya siku Marekani wanamchomoa rais wa nchi huru ya Iraq kwenye shimo na kwenda kumnyonga hadharani bila hatia, tena nyamaza kabisa nyambaaf!!
My friend wrong is wrong even if every body is wrong na kosa moja sio kosa la kuhalalisha uovu mwingine mwishoni nimesema sipendi vita yes Marekani alikua wrong je naye Putin afanye kisa Marekani alifanya tujifunze kuiga mazuri.

Leo anafanya Russia, Kesho anafanya China, kesho kutwa Korea kaskazini unadhani dunia itakua sehemu salama.
 
We una maswali ya kijinga sana, Je, wakati Marekani anazichagulia nchi za kiarabu marais na hata kuwaua hadharani akina Sadam, Gadafi na kushambulia kwa nia ya kumuondoa Assad wa Syria alipata baraka za nani? na kwa nini hulisemi hilo? au kwako Mmarekani kushambulia nchi huru na kuziharibu yeye ndio ana haki sana? wacheni mrusi atetee maslahi yake na mkae kimya kama mlivyokaa kimya siku Marekani wanamchomoa rais wa nchi huru ya Iraq kwenye shimo na kwenda kumnyonga hadharani bila hatia, tena nyamaza kabisa nyambaaf!!
Binafsi sioni mantiki ya kuhalalisha Uvamizi Wa Urusi kule Ukraine eti kwa vile Marekani walivamia nchi nyingine..

Ina maana Misri naye akiamua kuvurumisha mabomu Tanzania kwa madai ya kulinda maslahi yao tutakaa kimya pia?

Je Vita ndiyo njia sahihi ya kutafuta suluhu pindi tukikwazana?
 
Binafsi sioni mantiki ya kuhalalisha Uvamizi Wa Urusi kule Ukraine eti kwa vile Marekani walivamia nchi nyingine..

Ina maana Misri naye akiamua kuvurumisha mabomu Tanzania kwa madai ya kulinda maslahi yao tutakaa kimya pia?

Je Vita ndiyo njia sahihi ya kutafuta suluhu pindi tukikwazana?
Hakuna mantiki zaidi ya kumwaga damu za raia wasio na hatia na uharibifu wa nchi ya watu ila wanasema malipo ni hapa hapa duniani hela za mafuta & gas zinampa kiburi.
 
We una maswali ya kijinga sana, Je, wakati Marekani anazichagulia nchi za kiarabu marais na hata kuwaua hadharani akina Sadam, Gadafi na kushambulia kwa nia ya kumuondoa Assad wa Syria alipata baraka za nani? na kwa nini hulisemi hilo? au kwako Mmarekani kushambulia nchi huru na kuziharibu yeye ndio ana haki sana? wacheni mrusi atetee maslahi yake na mkae kimya kama mlivyokaa kimya siku Marekani wanamchomoa rais wa nchi huru ya Iraq kwenye shimo na kwenda kumnyonga hadharani bila hatia, tena nyamaza kabisa nyambaaf!!
Jibu linatosha kufunga uzi[emoji120]
 
Binafsi sioni mantiki ya kuhalalisha Uvamizi Wa Urusi kule Ukraine eti kwa vile Marekani walivamia nchi nyingine..

Ina maana Misri naye akiamua kuvurumisha mabomu Tanzania kwa madai ya kulinda maslahi yao tutakaa kimya pia?

Je Vita ndiyo njia sahihi ya kutafuta suluhu pindi tukikwazana?
Alichosema hapo ni kwamba tusiwe wanafiki kwenye scenario zinazofanana bora kuwa neutral tu
 
My friend wrong is wrong even if every body is wrong na kosa moja sio kosa la kuhalalisha uovu mwingine mwishoni nimesema sipendi vita yes Marekani alikua wrong je naye Putin afanye kisa Marekani alifanya tujifunze kuiga mazuri.

Leo anafanya Russia, Kesho anafanya China, kesho kutwa Korea kaskazini unadhani dunia itakua sehemu salama.
Dunia bila vita haiendi, toka enzi za vitabu vya Mungu vita ndio inafanya nchi ziheshimiane. Ili taifa liwe kubwa na kupata heshima kwa mataifa mengine ni lazima wapigane tu...
 
Dunia bila vita haiendi, toka enzi za vitabu vya Mungu vita ndio inafanya nchi ziheshimiane. Ili taifa liwe kubwa na kupata heshima kwa mataifa mengine ni lazima wapigane tu...
Unayoyasema assume yangekua yanafanyika ndani ya nchi yako yani wewe na familia yako wote mfe kisa Taifa linatafuta ukubwa,, u can't be serious bro unasema hivyo kisa unashuhudia kwenye Tv omba yasikukute waulize wale Watz walikua Ukraine vita inafananaje watakwambia.
 
Soma vizuri kaka nimesema Ufaransa ni Neutral state tunaita nchi zisizofungamana na upande wowote
Sasa mfaransa unamfananisha vp na Ukraine? Kwanza hajawahi kuwa Soviet, pili sio jirani wa karibu na mrusi hivyo sio tishio
 
Ufaransa ilikuwa mwanachama wa NATO mpaka mwaka 1966 ilipoamua kujitoa na kubaki Neutral state huku wanachama wote wakibariki maamuzi hayo hatukuona Makombora ya Iskander yakivurumishwa Paris.

Kwa upande wa pili mambo ni kinyume kabisa nikimaanisha nchi zilizokua za Kisoviet ukitaka kutoka huko na kujiunga na NATO unakumbana na makombora ya Iksander ya kutosha tu.
Swali jepesi,
makubaliano yanasema ukitaka kujiunga NATO lazima Mrusi akushambulie? wamekubaliana hivyo?

Sweden na Finland ni neutral state ila wameanza tetesi za kutaka kujiunga NATO ila tiyari Mrusi keshawapa vitisho and good enough siku Sweden anatangaza mpango wake huo kuna ndege za Urusi kama sio mbili zilivunja sheria na kuruka anga la Sweden.

Swali Jepesi.
Kwanini Mrusi anawachagulia nchi huru maisha yao ya kuishi?

Kuna nchi baada ya kuonyesha mrengo wa kujiunga NATO au kinyume na Sera za Urusi zimekula makombora ya Iskander ya kutosha japo nyingine zilijiunga kibabe ref Georgia, Poland, Latvia, Chenchya, Romania, Hungary, etc zote hizo zina makovu ya makombora ya Iskander kutoka kwa Mrusi

Na leo hii wote ni mashuhuda angalia kinachoendelea Ukraine kila aina ya makombora yanatumika kutoka angani, baharini, nchi kavu kote huko zinatoka Iskander, Hypersonic, Vacuum, thermoballic Bomu...nk.

Swali jepesi.

Je Mrusi anaamini sana katika vita ndio njia ya kutafuta muafaka au ni Ubabe wake na kauli ya hakuna wa kunifanya kitu.

Vita niya kupingwa ni wapenda amani wote wanakufa watu wasio na hatia baada ya Vita ya Vietnam/Vietcong baada ya watu kushuhudima matokeo ya vita walikuja na kauli hii " VITA NI SULUHISHO LA MWISHO KABISA ENDAPO NJIA ZOTE ZA MAZUNGUMZO ZIMESHINDIKANA"

Kataa vita penda Amani.
siasa ngumu sana
 
Back
Top Bottom